< Gesami Hea:su 63 >
1 Gode! Di da Na: Gode! Amola na da Di fofagili dadawa: lala! Na da: i amoga Dima hanasu da hafoga: i soge hano hamedei isui agoai gala amo da hano hanai, amo defele, na a: silibu da Dima hanai.
Mungu, wewe ni Mungu wangu! Ninakutafuta wewe kwa bidii, moyo wangu unakiu yako, mwili wangu unakutamani sana wewe, katika ukame na nchi iliyochoka mahali ambapo hakuna maji.
2 Na da Dia Hadigi Sogebi amo ganodini ba: ma: ma! Amola na da Dia Bagadedafa hou amola Dia Hadigi hou ba: ma: ma.
Hivyo nimekutafuta wewe katika watu watakatifu kuona nguvu zako na utukufu wako.
3 Dia maedafa fisili asigidafa hou da osobo bagade esalusu amo baligi! Amaiba: le, na da Dima nodone sia: mu.
Kwa sababu uaminifu wa agano lako ni bora kuliko uhai, midomo yangu itakusifu wewe.
4 Na da na fifi ahoanusu huluanedafa amo ganodini Dima nodone sia: nanumu. Amola na da lobo gaguia gadole, Dima nodone sia: ne gadomu.
Hivyo nitakutukuza wewe niwapo hai; kwa jina lako nitainua mikono yangu juu.
5 Na a: silibu da lolo maiba: le, bagade sadi ba: mu, amola na da obenanewane dima nodone gesami hea: mu.
Itakuwa kana kwamba nilikula mlo wa mafuta na wenye kunona, kwa midomo ya furaha kinywa changu kitakusifu wewe,
6 Na da golasu da: iya diala, daeya asili hahabe Dima dadawa: lala.
nikufikiripo kitandani mwangu na kukutafakari wewe wakati wa saa za usiku.
7 Bai Di da nama eso huluane fidisu. Dia ougiaga ougi gala: i amo ganodini, na da nodone gesami hea: lala.
Kwa maana umekuwa msaada wangu, na katika uvuli wa mbawa zako ninafurahia.
8 Na da Dima madelagili gilisisa. Amola na da Dia loboga gebewane gaga: i diala.
Ninashikamana nawe; mkono wako wa kuume unanisaidia.
9 Dunu amo da na fane legemusa: dawa: lebe, ilia da bogosu sogebi amoga gudu sa: imu.
Lakini wale watafutao kuuharibu uhai wangu wataenda chini kwenye sehemu ya chini kabisa ya nchi;
10 Ilia da gegesu amo ganodini fane lelegei ba: mu, amola ilia da: i hodo huluane da wufi sigua wa: mega na dagoi ba: mu.
watakabidhiwa kwa wale ambao mikono yao hutumia upanga, nao watakuwa chakula cha mbweha.
11 Bai Gode da ema hasalasu hou iabeba: le, Hina bagade dunu da Ema nodomu. Nowa da Gode Ea Dioba: le ilegele sia: sea, ilia da Ema nodone sia: mu. Be ogogole sia: su dunu ilia lafi da gadulisi dagoi ba: mu.
Bali mfalme atashangilia katika Mungu; yeyote anaye apa kupitia yeye atajivunia yeye, lakini vinywa ya wale wasemao uongo watanyamazishwa.