< Gesami Hea:su 60 >

1 Gode! Di da nini higale, nini hasali. Di da ninima ougi galu. Be wali ninima bu beba: ma!
Kwa mwimbishaji. Mtindo wa “Shushani Eduthi.” Utenzi wa Daudi wa kufundisha. Wakati alipopigana na Waaramu kutoka Aramu-Naharaimu na Aramu-Soba, naye Yoabu akarudi nyuma na kuwaua Waedomu 12,000 katika Bonde la Chumvi. Ee Mungu, umetukataa na kutokea ghafula juu yetu, umekasirika: sasa turejeshe upya!
2 Di da soge fogoma: ne hamoi amola Di da soge damuni, a:lesi. Soge da agele sa: imu gadeneiba: le, ea fa: ginisi amo uhinisima.
Umetetemesha nchi na kuipasua; uiponye mavunjiko yake, kwa maana inatetemeka.
3 Dia hamobeba: le, Dia fi da se bagade naba. Ninia da adini ba: i dunu defele, amane gigiawasa ahoa.
Umewaonyesha watu wako nyakati za kukata tamaa; umetunywesha mvinyo unaotuyumbisha.
4 Di da dunu Dima beda: be, ilima diwaneya udidibi amo mae ba: ma: ne sisai dagoi.
Kwa wale wanaokucha wewe, umewainulia bendera, ili iweze kutwekwa dhidi ya upinde.
5 Dia gasa bagade amoga nini gaga: ma! Dunu amo da Dia dogolegei, ilia da gaga: su ba: ma: ne, ninia sia: ne gadosu amoma dabe adole ima.
Tuokoe na utusaidie kwa mkono wako wa kuume, ili wale uwapendao wapate kuokolewa.
6 Ea hadigi sogebi amogainini, Gode da amane sia: i “Na da hasalasili, Siegeme moilai bai bagade amola Sagode Fago amo alalo hahamone, huluane momogili Na fi dunuma imunu.
Mungu amenena kutoka patakatifu pake: “Nitaigawa Shekemu kwa ushindi na kulipima Bonde la Sukothi.
7 Gilia: de da Na: Ma: na: sa amola da Na: Ifala: ime da Na dialuma figisu amola Yuda da Na Hina Bagade Dagulu.
Gileadi ni yangu na Manase ni yangu; Efraimu ni kofia yangu ya chuma, nayo Yuda ni fimbo yangu ya utawala.
8 Be Na da Moua: be amo na lobo dodofesu ofodo hamomu. Amola Na da Idome amo Ni lai dagoi, amo enoga dawa: digima: ne, Na da emo salasu gisa: le, Idomema galagamu! Filisidini dunu da Nama bagadewane hasalasibiba: le, Nama ha: gi wele sia: su hamomu, ilia da dawa: bela: ? Amane hame!”
Moabu ni sinia langu la kunawia, juu ya Edomu natupa kiatu changu; nashangilia kwa kushindwa kwa Ufilisti.”
9 Gode! Nowa da na oule, gasa bagade gagili sali moilai fi amoga heda: ma: bela: ? Nowa da na sigi aligili, Idome amoga masa: bela: ?
Ni nani atakayenipeleka hadi mji wenye ngome? Ni nani atakayeniongoza hadi nifike Edomu?
10 Di da dafawane nini higale fisiagabela: ? Di da ninia dadi gagui dunu ilima gilisili mogodigili gadili masa: bela: ?
Ee Mungu, si ni wewe uliyetukataa sisi, na hutoki tena na majeshi yetu?
11 Ninima ha lai dunu da nini hasalasa: besa: le, Dia nini fidima. Bai osobo bagade dunu ilia fidisu da hamedeidafa gala.
Tuletee msaada dhidi ya adui, kwa maana msaada wa mwanadamu haufai kitu.
12 Gode da ninimagasea, ninia da ili hasalasimu. E da ninima ha lai dunu ili hasalimu.
Kwa msaada wa Mungu tutapata ushindi, naye atawaponda adui zetu.

< Gesami Hea:su 60 >