< Gesami Hea:su 6 >

1 Hina Gode! Nama Di mae ougima amola gagabole mae sia: ma. Nama dia ougi amoga se mae ima.
Kwa mwimbishaji. Kwa ala za nyuzi za muziki. Mtindo wa sheminithi. Zaburi ya Daudi. Ee Bwana, usinikemee katika hasira yako, wala usiniadhibu katika ghadhabu yako.
2 Hina Gode! Na da gufia: ne gala: i galebe. Nama asigima! Na da: i da gasa hamedei galebe. Di nama gasa ima.
Unirehemu Bwana, kwa maana nimedhoofika; Ee Bwana, uniponye, kwa maana mifupa yangu ina maumivu makali.
3 Na da: i huluane da se nabala Hina Gode! Di da habowali ouesalu na fidima: bela: ?
Nafsi yangu ina uchungu mwingi. Mpaka lini, Ee Bwana, mpaka lini?
4 Hina Gode! Fidila misa! Di da asigiba: le, na bogosa: besa: le, Dia na gaga: ma.
Geuka Ee Bwana, unikomboe, uniokoe kwa sababu ya fadhili zako.
5 Osobo bagade fi bogosu sogebi amo ganodini ilia da Di hame dawa: sa. Amogawi, Dima nodomu da hamedei. (Sheol h7585)
Hakuna mtu anayekukumbuka akiwa amekufa. Ni nani awezaye kukusifu akiwa kuzimu? (Sheol h7585)
6 Na da da: i dioi bagade nababeba: le, gasa hame galebe. Gasi huluane, na wibi fa: i da na si hano amoga nanegai ba: sa. Na busafugulu amola da na si hano amoga nanegai ba: sa.
Nimechakaa kwa kulia kwa huzuni; usiku kucha nafurikisha kitanda changu kwa machozi; nimelowesha viti vyangu vya fahari kwa machozi.
7 Nama ha lai da nama se bagade iabeba: le, na da bagadewane disa. Na si da fofaiba: le, ba: mu gogolei.
Macho yangu yamedhoofika kwa kuhuzunika, yamedhoofika kwa sababu ya adui zangu wote.
8 Dilia wadela: i hou hamosu dunu! Nama mae gadenena misa. Hina Gode da na disu naba.
Kaeni mbali nami, ninyi nyote mtendao mabaya, kwa maana Bwana amesikia kulia kwangu.
9 Gode da na fidima: ne dibi naba amola na sia: ne gadobe bu alofele imunu.
Bwana amesikia kilio changu kwa huruma, Bwana amekubali sala yangu.
10 Nama ha lai ilia da dafamuba: le bagadewane gogosiamu. Di da ili sefasimuba: le, ilia da hedolowane gogolele dafugili hobeamu.
Adui zangu wote wataaibika na kufadhaika, watarudi nyuma kwa aibu ya ghafula.

< Gesami Hea:su 6 >