< Gesami Hea:su 59 >

1 Na Gode! Nama ha lai dunu ilia na fane legesa: besa: le, Dia na gaga: ma! Nama ha lai dunu da nama doagala: be amoga na gaga: ma!
Uniokoe dhidi ya adui zangu, Mungu wangu; uniweke mahali pa juu mbali na wale wanaoinuka dhidi yangu.
2 Amo wadela: i hamosu dunu ili na fane legesa: besa: le, na gaga: ma.
Uniweke salama mbali na wafanyao kazi ya uovu, na uniokoe dhidi ya watu wenye kiu ya damu.
3 Ba: ma! Ilia da na fane legemusa: oulela. Dodona: gi dunu ilia da na fane legemusa: gegedosa. Bai na wadela: i hou hamoiba: le, hame amaha.
Maana, tazama, wanasubiria uvamizini waniue. Wafanya maovu wenye nguvu hujikusanya wenyewe pamoja dhidi yangu, lakini sio kwa sababu ya makosa yangu au dhambi yangu, Yahwe.
4 Hina Gode! Na da giadofale hame hamoi. Be ilia da hedolowane na doagala: musa: oulelefula.
Wao wanajiandaa kunikimbiza ingawa sina kosa; amka unisaidie na unitazame.
5 Hina Gode Bagadedafa! Na fidimusa: wale gadoma! Isala: ili Gode! Disu ba: ma! Walegadole, wadela: i hamosu dunuma se bidi ima! Wadela: i hohonosu dunu ilima mae asigima!
Ewe, Yahwe Mungu wa majeshi, Mungu wa Israeli, inika uwaadhibu mataifa yote; usiwe na huruma kwa mhalifu mwovu yeyote. (Selah)
6 Ilia da wa: mega gesenebe agoane, daeya bu misini, moilai bai bagade ganodini gegesenesa ahoa.
Wao wanarudi jioni, wanabweka kama mbwa na kuuzungukia mji.
7 Ilia odagia gadesa amola magagisu hou amo nabima! Ilia lafi ganodini gona: su da gegesu gobihei agoai gala. Be ilia hamobe amo da enoga hame nabahayale, ilisu dawa: sa.
Tazama, wanapiga kelele mbaya kwa midomo yao; panga ziko kwenye midomo yao, maana wanasema, “Ni nani anaye tusikia?”
8 Be Hina Gode! Di da iliba: le ousa! Di da wadela: i hamosu dunu huluane amoba: le oufesega: sa.
Lakini wewe, Yahwe, utawacheka; wewe huwadhihaki mataifa yote.
9 Gode! Di da gasa bagadeba: le, na da hahawane bagade Dia hou dafawaneyale dawa: sa. Gode! Di da na wamoaligisu sogebi gala.
Mungu, nguvu yangu, nitakuwa msikivu kwako; wewe ni mnara wangu mrefu.
10 Na Gode da nama asigisa. Amola E da nama fidimusa: misunu. E da na siga ba: ma: ne, nama ha lai dunu ili hasalimu.
Mungu atakutana nami akiwa na uaminifu wa agano lake; Mungu atanifanya nione shauku yangu juu ya adui zangu.
11 Gode! Na fi dunu ilia Dia hou gogolesa: besa: le, nama ha lai dunu mae fane lelegema. Be ninia Hina Gode! Ninia Gaga: su! Dia gasaga ili afagogolesili, ili hasalima.
Usiwaue, hivyo watu watasahau. Uwatawanye kwa nguvu zako na uwaangushe, Bwana ngao yetu.
12 Ilia wadela: i hou da ilia lafi gadofo da: iya diala. Ilia sia: be huluanedafa da wadela: i sia: fawane sia: sa. Ilila: gasa hidale hou hamobeba: le, ilia da fedege agoane saniga sa: i dagoi ba: mu da defea.
Kwa ajili ya dhambi za midomo yao na maneno ya midomo yao, wakamatwe katika majivuno yao, na kwa laana na uongo ambao wao huelezea.
13 Ilia da wadela: i sia: amola ogogosu bagade sia: beba: le, Dia ougi hou amoga ili dafawanedafa gugunufinisima. Amasea, dunu huluanedafa da Gode da Isala: ili fi dunu amola osobo bagade fifi asi gala dunu huluanedafa ili ouligisa, amo dawa: mu.
Uwamalize katika gadhabu yako, uwamalize ili kwamba wasiwepo tena; wajue kuwa Mungu anatawala katika Yakobo na mwisho wa nchi. (Selah)
14 Nama ha lai dunu, ilia da wa: mega gesenebe agoane, daeya bu misini, moilai ganodini gegesenesa ahoa.
Wakati wa jioni wao hurudi, wakibweka kama mbwa wakiuzungukia mji.
15 Ilia da wa: me ha: i manu hogola labe amola ha: i manu hame galea gaga: nosa labe, agoai gala.
Wanatangatanga wakitafuta chakula na wanabweka kama mbwa kama hawajatosheka.
16 Be na da Dia gasa dawa: beba: le, gesami hea: mu. Hahabe huluanedafa, na da Dia mae fisili asigidafa hou amoma nodoma: ne, gesami ha: gidafa hea: mu. Di da na bidi hamosu ba: i eso amoga, na wamoaligisu sogebi dialebe ba: i.
Lakini nitaimba kuhusu nguvu zako, na asubuhi nitaimba kuhusu upendo wako imara! maana umekuwa mnara wangu mrefu na kimbilio la usalama katika siku ya taabu.
17 Na Gaga: sudafa! Na da Dima nodomu! Na wamoaligisu sogebi da Gode! Amola Gode da nama hahawane dogolegesu gala.
Kwako, nguvu yangu, nitaimba sifa; kwa kuwa Mungu ni mnara wangu mrefu, Mungu wa uaminifu wa agano.

< Gesami Hea:su 59 >