< Gesami Hea:su 56 >

1 Gode! Nama asigiba: le, fidima! Bai nama ha lai dunu da nama doagala: sa. Ilia da eso huluane, nama se iaha.
Kwa mwimbishaji. Mtindo wa “Njiwa mkimya wa mbali.” Utenzi wa Daudi. Baada ya kukamatwa na Wafilisti huko Gathi. Ee Mungu unihurumie, maana watu wananifuatia vikali; mchana kutwa wanazidisha mashambulizi yao.
2 Hahabe asili daeya mae fisili, ilia da nama doagala: sa. Nama gegebe dunu da bagohamedafa.
Wasingiziaji wangu wananifuatia mchana kutwa, wengi wananishambulia kwa kiburi chao.
3 Hina Gode Bagadedafa! Na da beda: i galea, na da Dima dafawaneyale dawa: mu.
Wakati ninapoogopa, nitakutumaini wewe.
4 Na da Godema dafawaneyale dawa: beba: le, hame beda: sa. Na da Ea hamomusa: ilegei amo ba: beba: le, Ema nodosa. Be osobo bagade dunu da na wadela: lesimu hame dawa:
Katika Mungu, ambaye neno lake ninalisifu, katika Mungu ninatumaini; sitaogopa. Mwanadamu apatikanaye na kufa, atanitenda nini?
5 Nama ha lai dunu da hahabe asili daeya amo na se nabima: ne, bidi hamosu hamonana. Ilia da esoha huluane mae fisili, na se nabima: ne ilegelala.
Mchana kutwa wanayageuza maneno yangu, siku zote wanapanga shauri la kunidhuru.
6 Ilia da wamoaligisu sogebi amo ganodini gilisili, na hamobe huluane ba: lala. Ilia da na medole legemu hanai.
Wananifanyia hila, wanajificha, wanatazama hatua zangu, wakiwa na shauku ya kuutoa uhai wangu.
7 Gode! Ilia wadela: i hou hamobeba: le, ilima se dabe ima. Dia amo dunuma ougili hasalima.
Wasiepuke kwa vyovyote, Ee Mungu, katika hasira yako yaangushe mataifa.
8 Na se nabasu huluane, amo Di dawa: Di da na disa si hano amo idili dedena sa: i diala. Amo da Dia buga ganodini dedei diala.
Andika maombolezo yangu, orodhesha machozi yangu katika gombo lako: je, haya hayapo katika kumbukumbu zako?
9 Esoha amoga na da Dima wele sia: sea, nama ha lai dunu da sinidigili, sefasi dagoi ba: mu. Amo na dawa: Bai Gode da namagai gala.
Ndipo adui zangu watarudi nyuma ninapoita msaada. Kwa hili nitajua kwamba Mungu yuko upande wangu.
10 E da Hina Godedafa amola na da Ea sia: i ilegei amoma nodosa.
Katika Mungu, ambaye neno lake ninalisifu, katika Bwana, ambaye neno lake ninalisifu,
11 Na da Ema dafawaneyale dawa: sa. Amaiba: le, na da hame beda: mu! Amola osobo bagade dunu da na wadela: lesimu hamedeidafa.
katika Mungu ninatumaini, sitaogopa. Mwanadamu anaweza kunitenda nini?
12 Gode! Na da Dima imunusa: ilegei liligi amo Dima dafawane imunu. Na da Dia nodoma: ne gobele salasu amo Dima imunu.
Ee Mungu, nina nadhiri kwako, nitakutolea wewe sadaka zangu za shukrani.
13 Bai Dia da na mae bogoma: ne, na gaga: i dagoi. Amola nama ha lai ilia na mae hasalima: ne hamoi. Amaiba: le na da Gode Ea midadi, hadigi amo da esalebe dunuma diga: be, amo ganodini lala.
Kwa kuwa umeniokoa toka kwenye mauti na miguu yangu kwenye kujikwaa, ili niweze kuenenda mbele za Mungu katika nuru ya uzima.

< Gesami Hea:su 56 >