< Gesami Hea:su 55 >

1 Gode! Na sia: ne gadobe nabima! Na Dima edegebe amo mae yolesima!
Uyategee sikio maombi yangu, Mungu; nawe usijifiche mbali na kusihi kwangu.
2 Na sia: nabima amola na sia: be goea bu dabe adole ima. Na da gufia: ne hamoiba: le, gasa hame gala.
Unitazame kwa makini na unijibu; Sina pumziko katika shida zangu
3 Nama ha lai da nama magagibiba: le, na da bagade beda: i. Wadela: i hamosu dunu da na banenesibiba: le, na da gala: la sa: i dagoi. Ilia da nama bidi hamosu gaguli maha. Ilia da nama ougi gala amola na higasa.
kwa sababu ya sauti ya adui zangu, kwa sababu ya ukandamizaji wa waovu; maana wananiletea matatizo na kunitesa wakiwa na hasira.
4 Na da baligili beda: i. Na da bogosa: besa: le bagade beda: i, amola banenesi dagoi ba: sa.
Moyo wangu wasumbuka ndani yangu, na hofu ya kifo imeniangukia.
5 Na da beda: ga yagugulala. Na da beda: ne se nabasu amoga gagulaligi.
Uwoga na kutetemeka kumenijia, nayo hofu imenielemea.
6 Na da ougia hamoi ‘dafe’ sio agoai ganeya: be. Amai ganiaba, na da amoga hagili asili, helefimu soge hogola: loba.
Nikasema, “Oh, kama tu ningekuwa na mabawa kama njiwa! Ningelipaa mbali na kupata pumziko.
7 Na da hagili badiliadafa hafoga: i sogega fifi lasu hamona: noba.
Tazama, ningeenda mbali; ningekaa jangwani. (Selah)
8 Na da fo amola mulu gulubagebe amoga fasa: besa: le, ougiha wamoaligimusa: hedolowane fimusa: hogola: loba.
Ningefanya haraka kuja mafichoni mwako kuzikimbia dhoruba na tufani.”
9 Hina Gode! Nama ha lai dunu ilia sia: mu liligi huluane ededenanesima! Na da moilai bai bagade ganodini, gegesu amola bidi hamosu bagadewane ba: lala.
Uwaangamize, Bwana, vuruga lugha zao! Kwa maana nimeona vurugu na ugomvi katika mji.
10 Amo bidi hamosu da bagadeba: le, gasia amola hayoga fedege agoane moilai bai bagade sisiga: le disisa.
Mchana na usiku wao huenda kwenye kuta zake; uchafu na ufisadi uko katikati yake.
11 Gugunufinisi hou da soge huluane ganodini ba: sa. Moilai bai bagade logo da banenesisu hou amola fedele wamolasu amoga nabai gala.
Uovu uko katikati yake; ukandamizaji na uongo hauiachi mitaa yake.
12 Be nama ha lai dunu da nama lasogole sia: sa ganiaba, na da hame da: i dione dawa: la: loba. Amola nama dabesu dunu da nama hidale sia: sa ganiaba, na da ema hobeale wamoaligimu dawa: la: loba.
Kwa maana hakuwa adui aliye nikemea, hivyo ningevumilia; wala ingekuwa ni yule aliye nichukia aliyejiinua mwenyewe dhidi yagu, hivyo ningejificha asinione.
13 Be di, na dogolegei sama disu da nama lasogole amola hidale sia: nana.
Lakini ulikuwa wewe, mtu sawa na mimi, mwenzangu na rafiki yangu.
14 Ani da musa: gilisili osodogone sia: dasu. Ania da Debolo ganodini Godema nodone sia: ne gadosu.
Tulikuwa na ushirika mtamu pamoja; tuliingia katika nyumba ya Mungu tukiwa na umati mkubwa.
15 Nama ha lai dunu ilia da ilia bogosu eso mae doaga: le, bogomu da defea. Ilia da esaleawane, bogoi sogega gudu sa: imu da defea. Wadela: i hou da ilia diasu gaguli gagai amola ilia dogo amo ganodini dialebe ba: sa. (Sheol h7585)
Kifo na kiwapate ghafla; na washuke wakiwa hai kuzimuni, maana ndiko waishiko waovu, hapo hapo kati yao. (Sheol h7585)
16 Be na da Hina Godema, na fidima: ne wele sia: sa. Amasea, E da na gaga: mu.
Lakini kwangu mimi, nitamwita Mungu, na Yahwe ataniokoa.
17 Hahabe amola esomogoa amola gasia, na egasu sia: amola na gogonomosu da Ema heda: sa. Amola E da na sia: nabimu.
Wakati wa jioni, asubuhi na mchana ninalalamika na kuomboleza; yeye atasikia sauti yangu.
18 Na da nama ha lai dunu bagohame ilima gegena ahoa. Be Hina Gode da na gaga: iwane bu goeguda: oule misunu.
Kwa usalama kabisa atayaokoa maisha yangu na vita dhidi yangu, kwa maana wale waliopigana nami walikuwa ni wengi.
19 Gode da musa: hemoneganini, ouligisa mana wali doaga: i. E da na sia: nabimu amola nama ha lai dunu ili hasalimu. Bai ilia da afadenemu higasa amola Godema hame beda: sa.
Mungu, yule unayetawala milele, atawasikia na kuwaaibisha wao. (Selah) Hawabadiliki, na hawamhofu Mungu.
20 Na musa: dogolegei sama da ea sama ili amo doagala: le, amola e da ea ilelegele sia: i amo fi dagoi.
Rafiki yangu ameinua mikono yake dhidi ya wale waliokuwa na amani naye; Hakuheshimu agano alilokuwa nalo.
21 Ea sia: da ha: i manu gugui defele nabi. Be ea dogo ganodini, ougili higasu fawane galu. Ea sia: da susuligi noga: i defele nabi. Be amo sia: da gegesu gobihei agesoi defele, fa: ginisi.
Mdomo wake ulikuwa laini kama siagi, lakini moyo wake ulikuwa adui; maneno yake yalikuwa laini kuliko mafuta, lakini yalikuwa ni panga zilizochomolewa.
22 Dilia! Dilia da: i dioi amola se nabasu huluane amo Godema yolesima. Amasea, E da dili gaga: mu. Ea fidibiba: le, moloidafa dunu da hamedafa hasali dagoi ba: sa.
Umtwike mizigo yako Yahwe, naye atakusaidia; yeye hataruhusu mtu mwenye haki kuyumbayumba.
23 Be Di, Gode! Di da amo fane legesu dunu amola wamolasu dunu amo fane legemu. Ilia esalusu dogoa hame doaga: i galeawane, Di da ili bogoi uli dogosu sogebi amoga oule masunu. Be amomane na da Dima fawane dafawaneyale dawa: mu.
Bali wewe, Mungu, utawaleta waovu chini kwenye shimo la uharibifu; watu wenye kiu ya kumwaga damu na waongo hawataishi hata nusu ya maisha kama wengine, lakini mimi nitakuamini wewe.

< Gesami Hea:su 55 >