< Gesami Hea:su 53 >

1 Gagaoui dunu da ilisu amane sia: sa, “Gode da hamedafa esala.” Ilia huluane da wadela: i hou hamoi dagoi. Dunu afae hou moloidafa hamosu, amo da hame ba: su.
Kwa mwimbishaji. Mtindo wa mahalathi. Utenzi wa Daudi. Mpumbavu anasema moyoni mwake, “Hakuna Mungu.” Wameharibika, na njia zao ni za uovu kabisa, hakuna hata mmoja atendaye mema.
2 Hina Gode da Ea Hebene esalebe amoga osobo bagade dunu ba: lala. E da bagade dawa: su dunu Ema nodosu hamosu dunu hogosa.
Mungu anawachungulia wanadamu chini kutoka mbinguni aone kama wako wenye akili, wowote wanaomtafuta Mungu.
3 Be hame ba: sa. Ilia huluane giadofai dagoi. Ilia da huluane defele wadela: idafa. Dafawane! Dunu afae da hou moloi hamedafa hamosa.
Kila mmoja amegeukia mbali, wameharibika wote pamoja, hakuna atendaye mema. Naam, hakuna hata mmoja!
4 Hina Gode da amane adole ba: sa, “Ilia da hame dawa: bela: ? Amo wadela: i hamosu dunu huluane da hame dawa: su dunula: ? Ilia da hawa: hamosu hame hamosa. Be Na fi dunu ilima wamolasu fawane hamosa. Amola, ilia da Nama hame sia: ne gadosa.”
Je, watendao mabaya kamwe hawatajifunza: wale ambao huwala watu wangu kama watu walavyo mkate, hao ambao hawamwiti Mungu?
5 Be amomane ilia da baligili beda: i bagade ba: mu. Bai Gode da Ea fima ha lai dunu ilia gasa amo afagogolesimu. Hina Gode da wadela: i dunu higale, ili huluane fisiagai dagoi. Amaiba: le, Isala: ili fi da ili dafawane hasalasimu.
Hapo waliingiwa na hofu kuu, ambapo hapakuwa cha kutetemesha. Mungu alitawanya mifupa ya wale waliokushambulia; uliwaaibisha, kwa sababu Mungu aliwadharau.
6 Na sia: ne gadosu da agoane. Hina Gode da Saione Goumi amoga Isala: ili fi ilima hasalasu hou imunu da defea. Amasea, Hina Gode da Isala: ili fi dunu ilima gagui hou bagade bu iasea, ilia da hahawane bagade ba: mu.
Laiti wokovu wa Israeli ungalikuja kutoka Sayuni! Wakati Mungu arejeshapo wafungwa wa watu wake, Yakobo na ashangilie, Israeli na afurahi!

< Gesami Hea:su 53 >