< Gesami Hea:su 52 >

1 Gasa fi dunu! Abuliba: le di da dia wadela: i houba: le hidasala: ? Gode Ea asigidafa hou da eso huluane dialalalumu.
Kwa mwimbishaji. Utenzi wa Daudi. Baada ya Doegi, Mwedomu kumwendea Sauli na kumjulisha kuwa: “Daudi amekwenda nyumbani kwa Ahimeleki.” Ewe jitu, mbona unajivunia ubaya? Kwa nini unajivuna mchana kutwa, wewe ambaye ni fedheha mbele za Mungu?
2 Di da eno dunu wadela: lesimusa: ilegesa. Dia gona: su da gobimedai mei agoai gala. Di da mae fisili, eso huluane ogogosu sia: hahamonesilala.
Ulimi wako hupanga mashauri mabaya ya maangamizi. Ni kama wembe mkali, ninyi mfanyao hila.
3 Di da wadela: i hou hanane, hou noga: i amo higasa. Di da ogogosu hanane, dafawane sia: amo higasa.
Unapenda mabaya kuliko mema, uongo kuliko kusema kweli.
4 Di da ogogosu dunu! Di da dia sia: ga eno dunu se nabima: ne hanasa.
Unapenda kila neno lenye kudhuru, ewe ulimi wenye hila!
5 Amaiba: le Gode da di eso huluane amane dialoma: ne wadela: lesimu. E da di gaguli, dia diasu amoga di mae esaloma: ne di fadegale fasimu. E da di medole legemu.
Hakika Mungu atakushusha chini kwa maangamizi ya milele: atakunyakua na kukuondoa kwa nguvu kutoka hema yako, atakungʼoa kutoka nchi ya walio hai.
6 Moloidafa dunu da amo hou ba: beba: le, beda: mu. Amasea, ilia da dima oufesega: ne, amane sia: mu,
Wenye haki wataona na kuogopa, watamcheka, wakisema,
7 “Ba: ma! Amo dunu da Godema gaga: su lama: ne hame asi. Be e da ea bagade gagui hou amola ea wadela: i hou amoga e gaga: ma: beyale dawa: i.
“Huyu ni yule mtu ambaye hakumfanya Mungu kuwa ngome yake, bali alitumainia wingi wa utajiri wake, na akawa hodari kwa kuwaangamiza wengine!”
8 Be na da olife ifa Gode Ea diasu ganodini heda: lebe, agoane ba: sa. Na da Ea maedafa fisili asigidafa hou amo dafawaneyale dawa: lala.
Lakini mimi ni kama mti wa mzeituni unaostawi katika nyumba ya Mungu, nautegemea upendo wa Mungu usiokoma milele na milele.
9 Gode! Na da eso huluane Dia nama hamobe amoba: le Dima nodone sia: nana. Amola Dia fi dunu ilia si da: iya, Dia noga: idafa hou amo olelelalumu.
Nitakusifu milele kwa yale uliyoyatenda, nitatumaini jina lako, kwa kuwa jina lako ni jema. Nitakusifu mbele ya watakatifu wako.

< Gesami Hea:su 52 >