< Gesami Hea:su 50 >

1 Hina Gode Bagadedafa da sia: sa. E da osobo bagade fifi asi gala huluanedafa, gusudili asili guma: dini, ilima wele sia: sa.
Mungu, Mwenye nguvu, Yahwe, amenena naye aliita nchi toka mawio ya jua mpaka machweo yake.
2 Saione Moilai Bai Bagade da isisima: goi ida: iwanedafa. Amoganini, Gode Ea hadigi da diga: sa.
Tokea Sayuni, Mungu ameangaza, ukamilifu wa uzuri.
3 Ninia Gode da manebe. Be E da ouiya: lewane hame maha. Gegemoi lalu da E bisili ahoa. Amola mulu bagade da E sisiga: le disisa.
Mungu wetu huja naye hakai kimya; mbele yake moto hula, na kuna dhoruba kubwa karibu naye.
4 E da Ea fi dunuma fofada: musa: , mu amola osobo bagade ba: su hou hamoma: ne elama ilegele wele sia: sa.
Yeye huziita mbingu zilizo juu na nchi ili kwamba aweze kuwahukumu watu wake:
5 E da amane sia: sa, “Na mae fisili fa: no bobogesu dunu, ilia da Nama gobele salawane gousa: su hamoi, amo huluane Nama gegedole oule misa!”
Kwa pamoja kusanyikeni waaminifu wangu kwangu, wale waliofanya nami agano kwa sadaka.”
6 Mu da amane sisia: laha, “Gode da moloidafa amola Hisu da fofada: su dunudafa!”
Mbingu zitatangaza haki yake, kwa maana Mungu mwenyewe ndiye jaji. Serah
7 Hina Gode da amane sia: sa, “Na fi dunu! Nabima! Na da sia: mu! Na da dilia, Isala: ili dunu dilima diwaneya udidimu. Na da Gode! Na da dilia Gode!
Sikilizeni, watu wangu, nami nitazungumza; mimi ni Mungu, Mungu wenu.
8 Dilia da mae fisili gobei gobele salasu Nama gaguli maha. Amoga, Na da dilima hame gagabole sia: sa.
Sitawakaripia ninyi kwa ajili ya sadaka zenu; sadaka zenu za kuteketeza ziko nami siku zote.
9 Be bulamagau gawali dilia afugi amoga lai amola goudi dilia goudi fofoi wa: i amoga lai, amo Na da hame hanasa.
Sitachukua ng'ombe katika nyumba yenu, wala beberu katika mazizi yenu.
10 Bai ohe huluane iwilaga esala da Na: fawane. Amola bulamagau agolo osea: idafa amoga esala da Na: fawane.
Kwa maana kila mnyama wa msituni ni wangu, nao ng'ombe kwenye milima elfu ni wangu.
11 Sigua sio huluanedafa da Na: fawane. Amola liligi huluane amo da moifufu sogega esalebe, da Na: fawane.
Ninawajua ndege wa mlimani, na wanyama pori katika shamba ni wangu.
12 Na da ha: i ganiaba, Na da dilima hame adola: loba. Bai osobo bagade amola liligi huluane amo ganodini gala da Na: fawane.
Kama ningekuwa na njaa, nisingewaambia ninyi; maana ulimwengu ni wangu, na vyote vilivyomo.
13 Na da bulamagau gawali ilia hu nabela: ? Na da goudi ilia maga: me nabela: ? Hame naha!
Je! sitakula nyama ya ngombe na kunywa damu ya mbuzi?
14 Be dilia Godema gobele salasu hou dafawanedafa da Ema nodone sia: su. Amola Hina Bagadedafa Ema dilia imunu ilegei amo huluane defele Ema ima.
Mtoleeni Mungu sadaka za shukurani, na mlipe viapo vyenu kwa Aliye Juu.
15 Bidi hamosu da dilima doaga: sea, Nama fidima: ne wele sia: ma! Amasea, Na da dili gaga: mu. Amola dilia da Nama nodomu.”
Mniite katika siku ya shida; nami nitawaokoa
16 Be Gode da wadela: i hamosu dunu ilima amane sia: sa, “Dilia da abuliba: le Na hamoma: ne sia: i amo sia: daha? Dilia da abuliba: le Na gousa: su hamoi, amoga fada: i sia: dahabela: ?
Lakini kwa waovu Mungu anasema, “Inawahusu nini kuitangaza hali yangu, kwamba ninyi mmeliweka agano langu mdomoni mwenu,
17 Na gagabole sia: amo dilia higasa. Amola Na hamoma: ne sia: i higale, nabawane hame hamosa.
wakati ninyi mnayachukia maelekezo na mnayatupa maneno yangu?
18 Dilia da nowa wamolasu dunu ba: sea, amo dilia dogolegei sama agoane hamosa. Amola dilia da inia uda adole lasu dunu ilima gilisisa.
Mumuanapo mwizi, ninyi hukubaliana naye; ninyi na mnashirikiana na wale wafanyao uasherati.
19 Dilia da eso huluane wadela: i hou fuligala: ma: ne sia: musa: momagele esala. Amola hedolowane ogogole sia: daha.
Mwautoa mdomo wenu kwa mabaya, huelezea udanganyifu.
20 Dilia da diolalalidafa ilima diwaneya udidima: ne momagele esala. Amola ilia giadofai hogole, hedolowane olelesa.
Mnakaa na kuongea dhidi ya ndugu yenu; na kukashfu mwana wa mama yenu.
21 Amo hou huluane, dilia da hamoi dagoi. Be Na da dilima hame sia: i. Amaiba: le, dilia da Na hou da dilia hou defele dawa: i. Be wali Na da dilima gagabole sia: sa. Dilia wadela: le hamoi, amo Na da dili noga: le dawa: ma: ne, dilima olelesa.
Mmefanya mambo haya, lakini nimekaa kimya, hivyo mlidhani kuwa ni mtu flani nilliye kama ninyi mlivyo. Lakini nitawakaripia ninyi na kuwafunua, mbele ya macho yenu, mambo yote miliyofanya.
22 Dilia Nama hame dawa: digisu dunu! Na sia: nabima! Dilia da Na sia: hame nabasea, Na da dili wadela: lesimu. Amola dilia da gaga: su dunu hame ba: mu.
Mlitilie maanani hili, ninyi mnao msahau Mungu, vinginevyo nitawakata ninyi vipande vipande, na hatakuwepo yeyote wakuja kuwasaidia!
23 Nama gobele salasu houdafa da Nama nodone sia: ne gadosu hou, amo fawane. Amola nowa da Na sia: nabawane hamosea, Na da amo dunu dafawane gaga: mu.”
Yule atoaye sadaka ya shukurani hunitukuza, na yeyote apangaye njia zake katika namna iliyo sahihi nitamuonesha wokovu wa Mungu.”

< Gesami Hea:su 50 >