< Gesami Hea:su 45 >

1 Na da Hina Bagade ema imunusa: , amo gesami laha. Na asigi dawa: su da noga: idafa sia: amoga nabai gala. Noga: i dedesu dunu ea nusi defele na gona: su da gesami lamusa: momagei diala.
Moyo wangu unafurika kwa neno zuri; nitasoma kwa sauti maneno niliyo yaandika kuhusu mfalme; ulimi wangu ni kalamu ya mwandishi mwenye ustadi.
2 Dia noga: i ba: su da eno dunu ilima ba: su baligisa. Di da dedenoma: ne sia: dasu dunu gala. Gode da eso huluane, Dima hahawane hamoi dagoi.
Wewe u mzuri sana kuliko mwanadamu yeyote; neema imemiminwa midomoni mwako; Kwa hiyo tunajua ya kuwa Mungu amekubariki milele.
3 Hina bagade! Dia gegesu gobihei sanawene idiniginisima! Di da hadigi amola bagadedafa.
Weka upanga wako upande wako, wewe uliye mwenye nguvu, katika utukufu wako na enzi yako.
4 Hosi fila heda: le, gasa bagadewane hasalimusa: masa! Dafawane hou amola moloidafa hou noga: le ouligima. Di da gasa bagadeba: le, ha lai dunu bagohame hasalimu.
Katika enzi yako enenda katika ushindi kwa sababu ya uaminifu, upole, na haki; mkono wako wa kuume utakufundisha mambo ya kutisha.
5 Dia dadi da agesoi noga: idafa. Ilia da Dia ha lai ilia dogo sosa. Fifi asi gala dunu da Dia emo bega: dafamu.
Mishale yako ni mkali; watu huanguka chini yako; mishale yako imo ndani ya mioyo ya adui za mfalme.
6 Gode da Dima Hinadafa Hou i dagoi. Amo da eso huluane mae yolele gebewane dialumu. Dia da moloidafawane Dia dunu ouligisa.
Kiti chako cha enzi, Mungu ni cha milele na milele; na fimbo ya haki ni fimbo ya utawala wako.
7 Di da noga: idafa hou hanasa amola wadela: i hou higasa. Amaiba: le, Gode (Dia Gode) da Di ilegei dagoi. Amola E da Dima hahawane hou (amo da eno hina bagade ilia hahawane hou baligisa) bagadedafa i dagoi.
Umeipenda haki na kuchukia uovu; kwa hiyo Mungu, Mungu wako, amekupaka mafuta ya furaha kuliko wenzako.
8 Dia abula amoga ‘me’ amola ‘a: lousi’ ilia gabusiga: da naba. Hina bagade diasu gaguli gagai ganodini (‘aifoli’ amoga nina: hamoi) gesami hea: su amola baidama dusu dunu ilia da Di nabima: ne hea: lala.
Mavazi yako yote hunukia manemane, udi, na mdalasini; kukoka katika majumba ya pembe vyombo vya muziki wa nyuzi vimekufurahisha.
9 Dia hina bagade diasu sosogo fi gilisisu amo ganodini da hina bagade ilia idiwilali da esalebe ba: sa. Amola Dia fisu lobodafadili la: idi, Hina Bagade ea udadafa da lelebe ba: sa. E da gouliga nina: hamosu liligi amoga gaga: i.
Binti za wafalme ni kati ya wake zako waheshimiwa; na mkono wako wa kuume amesimama malikia aliye vaa mavazi ya dhahabu ya Ofiri.
10 hina bagade idua! Na sia: nabima! Dia fidafa amola fi dunu amo gogolema!
Sikiliza, mwanangu, tafakari na utege sikio lako; uwasahahu watu wako na watu wa nyumba ya baba yako.
11 Di da noga: idafa ba: beba: le, hina Bagade da di hanamu. E da dia Ouligisu Dunu. Amaiba: le, Ea sia: nabawane hamoma!
Hivyo mfalme atautamani uzuri wako; yeye ni Bwana wako; umstahi.
12 Daia fi dunu da dima hahawane dogolegele iasu liligi gaguli misunu. Bagade gagui dunu da di ili hahawane ba: ma: ne, dima hahawane hamomu.
Binti wa Tiro atakuwepo akiwa na zawadi; matajiri kati wa watu watajipendekeza kwako.
13 Eno soge hina bagade idiwi da hina bagade diasu ganodini esala. E da noga: idafa ba: sa. Ea abula da gouliga gobia ha: i amoga hamoi.
Binti mfalme katika jumba la kifahari ana utukufu wote; mavazi yake yametengenezwa kwa dhahabu.
14 Ilia da amo ea noga: idafa abulaga salawene, Hina Bagadema oule ahoa. Ea fidisu a: fini da ema fa: no bobogesa amola ilia amolawane da Hina Bagade Ema oule misi dagoi ba: sa.
Naye ataongozwa kwa mfalme akiwa katika mavazi ya dhahabu; mabikra, wenzake wanoumfuata, wataletwa kwako mafalme.
15 Ilia hahawane bagadewane maha. Ilia Hina Bagade Ea diasu ganodini golili daha.
Wao wataongozwa kwa furaha na shangwe; wataingia mahali pa mfalme.
16 Na Hina Bagade! Dia mano da bagohame esalebe ba: mu! Ilia da Dia aowalali amoga fa: no misunu amola hina bagade hou hamomu. Amola Di da ili osobo bagade huluane ouligima: ne, ili hamomu.
Katika mahali pa baba zako watoto wako watakuwepo, ambao wewe utawafanya kuwa wakuu katika nchi yote.
17 Na da amo gesami hamoiba: le osobo bagade dunu ilia da Dia hou eso huluane mae fisili dawa: digimu. Amola eso huluane, mae fisili, dunu huluane da Dima nodonanumu.
Nami nitalifanya jina lako kukumbukwa katika uzao wote; kwa hiyo watu watakushukuru milele na milele.

< Gesami Hea:su 45 >