< Gesami Hea:su 42 >

1 Gode! ‘Dia’ gebo da hano anegagi manusa: hohogola ahoa amo defele Na da Di hogosa.
Kama ayala ayatamanivyo maji ya mto. ndivyo hivyo ninakiu yako, Mungu.
2 Esalusudafa Gode! Na Dima hanai da hano hanai defele gala. Na da habogala Dia midadi, Dima nodone sia: ne gadomusa: masa: bela: ?
Ninakiu yako Mungu, Mungu uliye hai, ni lini nitaonekana mbele zako?
3 Eso haga amola gasia huluane na da disa, amola na si hano da na ha: i manu agoane gala. Eso huluane nama ha lai dunu da nama amane adole ba: sa, “Dia Gode da habila: ?”
Machozi yangu yamekuwa ni chakula changu mchana na usiku, wakati maadui zangu siku zote wanasema, “Yuko wapi Mungu wako?”
4 Na da ni musa: hamoi amo dadawa: sea, na dogo da sesa. Na da Hina Gode Ea diasu ganodini masunusa: gilisi amo ilima madelale ili da na bisili oule ahoasu, amola amo gilisisu ilia da Godema hahawane gesami hehea: la amola wele sia: sa ahoasu.
Mambo haya niayakumbuka ninapoumimina roho yangu: nilipoenda na umati wa watu na kuwaongoza kwenye nyumba ya Mungu kwa sauti ya shangwe na kusifu, ni wengi tulisherekea.
5 Abuliba: le na da bagadewane da: i dioi ganabela: ? Abuliba: le na da na dogo ganodini bagadewane se nabawane dawa: sala: ? Na da dafawane hamoma: beyale dawa: su amo Godema fawane dawa: mu, amola na da bu enowane Ema nodone, “Na Gaga: su amola na Gode,” agoane sia: mu.
Roho yangu, kwa nini unainama? Kwa nini unahuzuni ndani yangu? Mtumaini Mungu, Kwa kuwa kwa mara nyingine nitamsifu yeye ambaye ni wokovu wangu.
6 Na da goeguda: mugululi misi. Amola na da na dogo ganodini bogomuwane se naba. Amaiba: le, na da na asigi dawa: su Godema bu sinidigili dawa: sa. E da nama se bagadedafa iasi. Bidi hamosu da hano heda: i defele nama gosa. Bidi hamosu da Hemone Goumi amola Misa Goumi amoga hano nawa: li mogosobe, Yodane Hano amoga gudu daha, amo defele, gugelebe agoane nama gole wesa.
Mungu wangu, roho yangu imeinama ndani yangu, kwa hiyo ninakukumbuka toka nchi ya Yordani, toka kwenye vilele vitatu vya mlima Hermoni, na toka mlima wa Mizari.
7
Kina huita kina kwenye kelele za maporomoko ya maji yako; mawimbi na mafuriko yako yote yako juu yangu.
8 Hina Gode da Ea mae fisili asigidafa hou amo esoga olelemu da defea. Amasea na da gasia Ema gesami hea: mu amola na esalusu ouligisu Gode, Ema sia: ne gadomu.
Wakati wa mchana Yahwe ataamuru uaminifu wa agano lake; na usiku wimbo wake utakuwa nami, ombi kwa Mungu wa uhai wangu.
9 Na da na gaga: su Gode, Ema sia: sa, “Dia da abuliba: le na gogoleila: ? Nama ha lai gasa fi dunu da nama gebewane se iaha. Na da abuliba: le eso huluane se nabala: ?
Nami nitasema kwa Mungu wangu, mwamba wangu, “Kwa nini umenisahau? Kwa nini ninaenenda katika maombolezo kwa sababu ya ukandamizaji wa adui yangu?”
10 Ilia da nama gebewane odagia gadele sia: beba: le, na da gala: la sa: i dagoi ba: sa. Ilia da gebewane nama amane adole ba: lala, “Dia Gode da habila: ?”
Kama upanga mifupani pangu, maadui zangu wananikemea, siku zote wakiniambia, “Yuko wapi Mungu wako?”
11 Na da abuliba: le baligili da: i diobela: ? Na da abuliba: le dogo se nabawane esalabela: ? Na Godema dafawane hamoma: beyale dawa: mu. Na da bu enowane Ema nodone sia: mu. Bai E da na Gaga: sudafa amola na Godedafa.
Roho yangu, kwa nini umeinama chini? Kwa nini unahuzuni ndani yangu? Mtumaini Mungu kwa kuwa nitamsifu tena yeye aliye wokovu wangu na Mungu wangu.

< Gesami Hea:su 42 >