< Gesami Hea:su 38 >

1 Hina Gode! Dia ougiba: le, nama se bidi mae ima!
Yahwe, usinikemee katika hasira yako; usiniadhibu katika ghadhabu yako.
2 Di da na Dia dadi amoga fa: ginisi, amola na fane sanasi.
Kwa kuwa mishale yako hunichoma, na mkono wako huniangusha chini.
3 Dia da nama ougiba: le, na se baligili nabala. Na wadela: i hou hamobeba: le, na da: i huluane da olo bagade madelasa.
Mwili wangu wote unaumwa kwa sababu ya hasira yako; kwa sababu ya dhambi zangu mifupa yangu haina afya.
4 Na da nina: wadela: i hamonana fedege agoane hano heda: i amoga gela daha. Na wadela: i hou da fedege agoane, liligi bagadedafa aguni masunu hamedei agoai ba: sa.
Kwa maana maovu yangu yamenielemea; yamekuwa mzigo mzito kwangu.
5 Bai na da gagaoule hamobeba: le, na aiya da dasale gahasa.
Vidonda vyangu vimeoza na vinanuka kwa sababu ya upumbavu wa dhambi zangu.
6 Na da se nabawane beguduli, gala: la sa: i. Na da hahabe asili daeya, mae fisili, dinana.
Nimepindika na kuwa mnyonge kila siku; ninaenenda katika maombolezo siku zote.
7 Na da asugiba: le, da: i goaeasa. Amola na da bogomu gadenei ba: sa.
Kwa maana ndani yangu, ninaungua; hakuna afya katika mwili wangu.
8 Na da gasa hamedene, dafawane gala: la sa: i. Na da da: i dioi, amola se nababeba: le gayasa.
Nimedhohofika na kulemewa sana; ninaugua kwa sababu ya dhiki yangu.
9 Hina Gode! Na hanai amo Dia dawa: ! Na gayabe huluane Dia naba!
Bwana, wewe unaielewa shauku ya ndani kabisa ya moyo wangu, na kuugua kwangu hakujifichika kwako.
10 Na habe da ha: ha: sa, amola na gasa da asi dagoi. Na si da mobi sa: i dagoi.
Moyo wangu unapwita pwita, nguvu zangu zinaniisha, macho yangu yanafifia.
11 Na da aiya bagohame madelaiba: le, na sama amola na na: iyado fi dunu ilia da nama hame gadenena maha. Na sosogodafa amolalia na hagasa.
Marafiki na ndugu zangu wamenitenga kwa sababu ya hali; majirani zangu hukaa mbali nami.
12 Dunu da na medole legemusa: dawa: be, ilia da na sa: ima: ne sanenisa. Amola dunu da nama se ima: ne dawa: be, ilia da na wadela: lesimusa: magagisa. Ilia da na wadela: lesimusa: sia: fane ilegesu hou hame yolesisa.
Wale wanaoutafuta uhai wangu hutega mitego kwa ajili yangu. Wao ambao hutafuta kunidhuru huongea maneno ya uharibifu na husema maneno ya uongo siku nzima.
13 Na da ge ga: i dunu defele, hame naba. Amola na da sia: hamedei dunu agoane, hame sia: da.
Lakini, niko kama mtu kiziwi na sisikii lolote; niko kama mtu bubu ambaye hasemi lolote.
14 Na da ge ga: iba: le, dabe adole imunu hamedei dunu agoai gala.
Niko kama mtu asiye sikia na mbaye hawezi kujibu.
15 Hina Gode, na da dima dafawaneyale dawa: sa, amola Di da na Hina Godeba: le, nama dabe adole imunu.
Hakika ninakungoja wewe, Yahwe; wewe utanijibu, Bwana Mungu wangu.
16 Na da se nabasu baligilidafa nababeba: le, nama ha lai dunu da na mae habosesema: ma. Ilia da na dafai hou ba: beba: le, Dia mae habosesele sia: ma: ma!
Ninasema hivi ili kwamba maadui zangu wasije wakafurahia juu yangu. Ikiwa mguu wangu utateleza, watanifanyia mambo mabaya.
17 Na da maedafa fisili, se naba. Amola na da dafamu gadenei ba: sa.
Kwa kuwa niko karibu mashakani, na niko katika maumivu ya mara kwa mara.
18 Na da na wadela: i hou sisane fofada: sa. Be na da amo dawa: beba: le, bagadewane beda: sa.
Ninatubu makosa yangu; ninahuzunika kwa dhambi zangu.
19 Na ha lai dunu da dagumui noga: i amola gasa fi gala. Nama ha lai dunu bagohame da nama bai hamedene, higale ba: sa.
Lakini maadui zangu ni wengi; wale wanichukiao ni wengi.
20 Dunu amo da noga: le hamobe dunuma wadela: i dabe iaha, ilia da na higale ba: sa. Bai na da moloi hou amoga hamomusa: , logo hogobeba: le.
Wao wananilipa mabaya kwa mema; wanavurumiza shutuma kwangu ingawa nimefuata lililo jema.
21 Hina Gode! Dia na mae fisiagama! Na Gode! Nama gasigale mae aligima!
Usinitelekeze, Yahwe, Mungu wangu, usikae mbali nami.
22 Hina Gode! Na Gaga: sudafa! Wahadafa, na fidima!
Njoo haraka unisaidie, Bwana, wokovu wangu.

< Gesami Hea:su 38 >