< Gesami Hea:su 36 >

1 Wadela: i hou da wadela: i hamosu dunu ea dogo ganodini osodogone sia: daha. E da Godema higale amola Ema hame nodosa.
Dhambi hunena kama unabii katika moyo wa mwovu; machoni mwake hamna hofu ya Mungu.
2 E da Gode da ea wadela: i hou hame ba: sayale amola amoga se dabe hame ima: bela: le dawa: lala. Bai hi da hidale hina: musu baligili gadodafa dafawaneyale dawa: lala.
Kwa maana yeye hujifariji mwenyewe, akifikiria kuwa dhambi zake hazitagundulika na kuchukiwa.
3 Ea sia: da wadela: idafa amola ogogosu amoga nabai gala. E da noga: le dawa: su hou amola noga: idafa hou, amo fisi dagoi.
Maneno yake ni yenye dhambi na udanganyifu; hataki kuwa mwenye hekima na kutenda mema.
4 E da ea golasu da: iya diala, wadela: le hamomusa: ilegele dadawa: lala. Ea hamobe amoga afae noga: idafa hame gala. Amola wadela: i hou amoga ea higamu afae da hame gala.
Alalapo kitandani, hupanga namna ya kutenda dhambi; yeye hukaa nje kwenye nja ya uovu; yeye hakatai uovu.
5 Hina Gode! Dia mae fisili asigidafa hou da heda: le, muagado amoga sasanosa. Dia mae fisili fidisu hou da muagado amoga sasanosa.
Uaminifu wa agano lako, Yahwe, unafika mbinguni; uaminifu wako unafika mawinguni.
6 Dia moloidafa hou da goumi agoane gagilisa heda: sa. Dia moloidafa fofada: su hou da hano wayabo lugudu oso dogoi defele gala. Di da dunu amola ohe fi ouligisa.
Haki yako ni kama milima ya Mungu; hukumu yako ni kama kina kirefu. Yahwe, wewe huwahifadhi wote wanadamu na wanyama.
7 Gode! Dia mae fisili asigidafa hou da bidiga lamu hamedei galebe! Ninia da Dia ougiaha gaga: su ba: sa.
Ni jinsi gani uaminifu wa aganao lako ni wa thamani, Mungu! Watu hukimbilia usalama chini ya uvuli wa mbawa zako.
8 Dia da ninima ha: i manu bagohame iabeba: le, ninia da sadini naha. Dia noga: idafa hou da hano agoane, amola ninia da amo moma: ne, Dia da logo doasisa.
Nao watatoshelezwa tele na utajiri wa chakula nyumbani mwako; utawafanya wanywe kutoka katika mto wa baraka zako za thamani.
9 Di da esalusu huluane ea baidafa gala. Amola Di da Hadigidafa. Amaiba: le, ninia da hadigi ba: sa. amola moloidafa hou hamonanebe, ilima asigima!
Kwa kuwa mna chemichemi ya uzima; na katika mwanga wako tutaiona nuru.
10 Dia mae fisili, dunu ilia da Dima dawa: i dialebe amola moloidafa hou hamonanebe, ilima asigima!
Uupanue uaminifu wa agano lako kikamilifu kwa wale wanao kujua wewe, ulinzi wako uwe juu ya wanyoofu wa moyo.
11 Gasa fi dunu ilia da nama mae doagala: ma: ma! amola wadela: i hamosu dunu na hobeale masa: ne, mae sefasima: ma!
Usiuache mguu wa mwenye kiburi unisogelee. Usiiache mkono wa mwovu unitoweshe.
12 Wadela: i hamosu dunu ilia dafai hou ba: ma! Amogai ilia da diala, amola wa: legadomu gogolesa.
Kule wafanyao maovu wameanguka; wameharibiwa hawawezi kuinuka.

< Gesami Hea:su 36 >