< Gesami Hea:su 36 >
1 Wadela: i hou da wadela: i hamosu dunu ea dogo ganodini osodogone sia: daha. E da Godema higale amola Ema hame nodosa.
Kwa mwimbishaji. Zaburi ya Daudi mtumishi wa Bwana. Kuna neno moyoni mwangu kuhusu hali ya dhambi ya mwovu. Hakuna hofu ya Mungu mbele ya macho yake.
2 E da Gode da ea wadela: i hou hame ba: sayale amola amoga se dabe hame ima: bela: le dawa: lala. Bai hi da hidale hina: musu baligili gadodafa dafawaneyale dawa: lala.
Kwa kuwa machoni pake mwenyewe hujisifu mno hata hawezi kugundua au kuichukia dhambi yake.
3 Ea sia: da wadela: idafa amola ogogosu amoga nabai gala. E da noga: le dawa: su hou amola noga: idafa hou, amo fisi dagoi.
Maneno ya kinywa chake ni maovu na ya udanganyifu, ameacha kuwa mwenye hekima na kutenda mema.
4 E da ea golasu da: iya diala, wadela: le hamomusa: ilegele dadawa: lala. Ea hamobe amoga afae noga: idafa hame gala. Amola wadela: i hou amoga ea higamu afae da hame gala.
Hata kitandani mwake hupanga hila mbaya, hujitia katika njia ya dhambi na hakatai lililo baya.
5 Hina Gode! Dia mae fisili asigidafa hou da heda: le, muagado amoga sasanosa. Dia mae fisili fidisu hou da muagado amoga sasanosa.
Upendo wako, Ee Bwana, unafika hadi mbinguni, uaminifu wako hadi kwenye anga.
6 Dia moloidafa hou da goumi agoane gagilisa heda: sa. Dia moloidafa fofada: su hou da hano wayabo lugudu oso dogoi defele gala. Di da dunu amola ohe fi ouligisa.
Haki yako ni kama milima mikubwa, hukumu zako ni kama kilindi kikuu. Ee Bwana, wewe huwahifadhi mwanadamu na mnyama.
7 Gode! Dia mae fisili asigidafa hou da bidiga lamu hamedei galebe! Ninia da Dia ougiaha gaga: su ba: sa.
Upendo wako usiokoma ni wa thamani mno! Watu wakuu na wadogo hujificha uvulini wa mbawa zako.
8 Dia da ninima ha: i manu bagohame iabeba: le, ninia da sadini naha. Dia noga: idafa hou da hano agoane, amola ninia da amo moma: ne, Dia da logo doasisa.
Wanajifurahisha katika wingi nyumbani mwako, nawe utawanywesha katika mto wa furaha zako.
9 Di da esalusu huluane ea baidafa gala. Amola Di da Hadigidafa. Amaiba: le, ninia da hadigi ba: sa. amola moloidafa hou hamonanebe, ilima asigima!
Kuwa pamoja nawe ni kijito cha uzima, katika nuru yako twaona nuru.
10 Dia mae fisili, dunu ilia da Dima dawa: i dialebe amola moloidafa hou hamonanebe, ilima asigima!
Dumisha upendo wako kwa wale wanaokujua wewe, haki yako kwa wale walio wanyofu wa moyo.
11 Gasa fi dunu ilia da nama mae doagala: ma: ma! amola wadela: i hamosu dunu na hobeale masa: ne, mae sefasima: ma!
Mguu wa mwenye kiburi usije dhidi yangu, wala mkono wa mwovu usinifukuze.
12 Wadela: i hamosu dunu ilia dafai hou ba: ma! Amogai ilia da diala, amola wa: legadomu gogolesa.
Angalia jinsi watenda mabaya walivyoanguka: wametupwa chini, hawawezi kuinuka!