< Gesami Hea:su 3 >

1 Hina Gode! Nama ha lai dunu da bagohame gala. Dunu bagohamedafa da nama ougiwane ba: sa.
Zaburi ya Daudi. Alipomkimbia mwanawe Absalomu. Ee Bwana, tazama adui zangu walivyo wengi! Ni wengi kiasi gani wanaoinuka dhidi yangu!
2 Ilia na hou adoda amola amane sia: sa, “Amo dunu da Gode Ea fidisu hame ba: mu.”
Wengi wanasema juu yangu, “Mungu hatamwokoa.”
3 Be Di, Hina Gode! Di da mae fisili, na da: igene ga: su defele na gaga: sa. Di da nama hasalasisu hou iaha, amola na dogo denesisa.
Lakini wewe, Ee Bwana, ni ngao pande zote; umeniwekea utukufu na kuinua kichwa changu.
4 Na da Hina Godema wele sia: sa. Amola E da Ea sema agolo amoga nama defele noga: le adole iaha.
Ninamlilia Bwana kwa sauti kuu, naye ananijibu kutoka mlima wake mtakatifu.
5 Na diasa: ili gasia golai dialoba, amola gasi huluane ganodini, Hina Gode da na gaga: sa.
Ninajilaza na kupata usingizi; naamka tena, kwa maana Bwana hunitegemeza.
6 Nama ha lai dunu osea: idafa da na dialebe guba: le sisiga: i ba: sa. Be na da ilima hame beda: i.
Sitaogopa makumi elfu ya adui, wanaojipanga dhidi yangu kila upande.
7 Hina Gode misa! Na Gode! Na gaga: ma! Di da nama ha lai dunu ilima se iaha. Ilia da gasa hameba: le nama se imunu da hamedei ba: sa.
Ee Bwana, amka! Niokoe, Ee Mungu wangu! Wapige adui zangu wote kwenye taya, vunja meno ya waovu.
8 Hina Gode Hi fawane da hasalasu hou iaha. E da Ea fi dunu amo hahawane dogolegele fidimu da defea.
Kwa maana wokovu watoka kwa Bwana. Baraka yako na iwe juu ya watu wako.

< Gesami Hea:su 3 >