< Gesami Hea:su 27 >
1 Hina Gode da na hadigi amola na gaga: su gala. Na da eno dunuba: le hame beda: mu. Hina Gode da na se nabasu huluane mae ba: ma: ne, gaga: sa. Na da hamedafa beda: mu.
Yahwe ni nuru yangu na wokovu wangu; nimuogope nani? Yahwe ni salama ya maisha yangu; ni mhofu nani?
2 Wadela: i hamosu dunu ilia da na medole legemusa: doagala: sea, ilia da didigabone dafasa.
Wakati waovu waliponijia kunila mwili wangu, wapinzani wangu na adui zangu walijikwaa na wakaanguka.
3 Dadi gagui dunu wa: i da na fane legemusa: eale sisiga: le disisia, na da hame beda: mu. Amola nama ha lai dunu da na doagala: sea amolawane, na da gebewane Godema dafawaneyale dawa: lalumu.
Ingawa jeshi hujipanga kupigana na mimi, moyo wangu hautaogopa; japo vita vijapo inuka kupigana nami hata hapo nitabaki kuwa jasiri.
4 Na da Hina Godema liligi afae fawane adole ba: i. Na da liligi afae fawane hanai gala. Na hanai amo da, Na da eso huluane esalea, Hina Gode Ea diasu ganodini esalumu na da hanai. Na da amogawi ea noga: idafa hou amoma fofogadigili nodone ba: mu, amola Ema E da Ea hou nama olelema: ne adole ba: mu.
Kitu kimoja nimekiomba kwa Yahwe, nami nitakitafuta hicho: kwamba niweze kukaa katika nyumba ya Yahwe siku zote za maisha yangu, kuutazama uzuri wa Yahwe na kutafakari hekaruni mwake.
5 Bidi hamosu esoga, E da na ougihalesimu. E da na Ea Debolo diasu ganodini gemu. Amola magufu sedade, amo da: iya E da na gemu.
Kwa kuwa katika siku ya shida atanificha nyumbani mwake; atanificha katika mfuniko wa hema lake. Yeye ataniinua juu ya mwamba!
6 Amaiba: le, na da nama ha lai dunu nama eale sisiga: le disibi ili hasalimu. Na da nodone wele sia: nanawane Hina Gode Ea Debolo diasu amo ganodini Ema gobele salasu hamomu. Amola na da Hina Godema gesami hea: mu amola nodone sia: mu.
Kisha kichwa changu kitainuliwa juu ya maadui wote wanizungukao, nami nitatoa sadaka ya furaha hemani mwake! Nitaimba na kutunga nyimbo kwa Yahwe!
7 Hina Gode! Na da Dima wele sia: sea, na wele sia: be nabima! Nama asigiba: le, na sia: alofema!
Sikia, sauti yangu nikuitapo, Yahwe! Unihurumie, na unijibu!
8 Di da nama, “Nama nodone sia: ne gadola misa!” amane sia: noba, na da bu adole i, “Hina Gode! Na da misunu!
Moyo wangu huongea kuhusu wewe, “Utafute uso wake!” Nami nautafuta uso wako, Yahwe!
9 Di da nama mae wamoaligima!” Nama mae ougima! Na da dia hawa: hamosu dunu. Dia na hamega mae fisiagama. Di da na fidisu dunu galu. Gode, na Gaga: sudafa! Na mae yolesiagama!
Usiufiche uso wako mbali na mimi; usinikasirikie mimi mtumishi wako! Wewe umekuwa msaada wangu; usiniache wala kunitelekeza, Mungu wa wokovu wangu!
10 Na ada amola ame ela da na gogolesa ganoma: bela: ? Na hame dawa: Be Hina Gode da na noga: le ouligimu.
Hata kama baba yangu na mama yangu wakiniacha, Yahwe utanitunza kwako.
11 Hina Gode! Dia na hamoma: ne hanai amo nama olelema. Nama ha lai dunu da bagohame gala. Amaiba: le, Dia na oule, se hame nabimu logo amoga oule masa.
Unifundishe njia yako, Yahwe! Kwa sababu ya adui zangu uniongoze katika njia salama.
12 Nama ha lai dunu da ogogosu amola beda: ma: ne magagisu amoga na doagala: sa. Ilia da nama hasalasisa: besa: le, na mae yolesiagama.
Usiwaache adui zangu wanifanyie watamanivyo, kwa sababu mashahidi wa uongo wameinuka kinyume namimi, nao wanapumua vurugu!
13 Na da na osobo bagadega esalusu amo ganodini, Hina Gode Ea noga: idafa hou ba: mu, amo na da dawa: digisa.
Kitu gani kingeweza kunitokea kama nisingeamini kuwa nitauona uzuri wa Yahwe katika nchi ya walio hai?
14 Hina Gode Ea hou dafawaneyale dawa: ma! Baligili da: i dione mae heawini dawa: ma! Hina Gode Ea hou dafawaneyale dawa: ma!
Umngoje Yahwe; uwe imara, na moyo wako uwe jasiri! Umngoje Yahwe!