< Gesami Hea:su 27 >

1 Hina Gode da na hadigi amola na gaga: su gala. Na da eno dunuba: le hame beda: mu. Hina Gode da na se nabasu huluane mae ba: ma: ne, gaga: sa. Na da hamedafa beda: mu.
Zaburi ya Daudi. Bwana ni nuru yangu na wokovu wangu, nimwogope nani? Bwana ni ngome ya uzima wangu, nimhofu nani?
2 Wadela: i hamosu dunu ilia da na medole legemusa: doagala: sea, ilia da didigabone dafasa.
Waovu watakaposogea dhidi yangu ili wanile nyama yangu, adui zangu na watesi wangu watakaponishambulia, watajikwaa na kuanguka.
3 Dadi gagui dunu wa: i da na fane legemusa: eale sisiga: le disisia, na da hame beda: mu. Amola nama ha lai dunu da na doagala: sea amolawane, na da gebewane Godema dafawaneyale dawa: lalumu.
Hata jeshi linizunguke pande zote, moyo wangu hautaogopa; hata vita vitokee dhidi yangu, hata hapo nitakuwa na ujasiri.
4 Na da Hina Godema liligi afae fawane adole ba: i. Na da liligi afae fawane hanai gala. Na hanai amo da, Na da eso huluane esalea, Hina Gode Ea diasu ganodini esalumu na da hanai. Na da amogawi ea noga: idafa hou amoma fofogadigili nodone ba: mu, amola Ema E da Ea hou nama olelema: ne adole ba: mu.
Jambo moja ninamwomba Bwana, hili ndilo ninalolitafuta: niweze kukaa nyumbani mwa Bwana siku zote za maisha yangu, niutazame uzuri wa Bwana na kumtafuta hekaluni mwake.
5 Bidi hamosu esoga, E da na ougihalesimu. E da na Ea Debolo diasu ganodini gemu. Amola magufu sedade, amo da: iya E da na gemu.
Kwa kuwa siku ya shida, atanihifadhi salama katika maskani yake, atanificha uvulini mwa hema yake na kuniweka juu kwenye mwamba.
6 Amaiba: le, na da nama ha lai dunu nama eale sisiga: le disibi ili hasalimu. Na da nodone wele sia: nanawane Hina Gode Ea Debolo diasu amo ganodini Ema gobele salasu hamomu. Amola na da Hina Godema gesami hea: mu amola nodone sia: mu.
Kisha kichwa changu kitainuliwa juu ya adui zangu wanaonizunguka. Katika maskani yake nitatoa dhabihu kwa kelele za shangwe; nitamwimbia Bwana na kumsifu.
7 Hina Gode! Na da Dima wele sia: sea, na wele sia: be nabima! Nama asigiba: le, na sia: alofema!
Isikie sauti yangu nikuitapo, Ee Bwana, unihurumie na unijibu.
8 Di da nama, “Nama nodone sia: ne gadola misa!” amane sia: noba, na da bu adole i, “Hina Gode! Na da misunu!
Moyo wangu unasema kuhusu wewe, “Utafute uso wake!” Uso wako, Bwana “Nitautafuta.”
9 Di da nama mae wamoaligima!” Nama mae ougima! Na da dia hawa: hamosu dunu. Dia na hamega mae fisiagama. Di da na fidisu dunu galu. Gode, na Gaga: sudafa! Na mae yolesiagama!
Usinifiche uso wako, usimkatae mtumishi wako kwa hasira; wewe umekuwa msaada wangu. Usinikatae wala usiniache, Ee Mungu Mwokozi wangu.
10 Na ada amola ame ela da na gogolesa ganoma: bela: ? Na hame dawa: Be Hina Gode da na noga: le ouligimu.
Hata kama baba yangu na mama wakiniacha, Bwana atanipokea.
11 Hina Gode! Dia na hamoma: ne hanai amo nama olelema. Nama ha lai dunu da bagohame gala. Amaiba: le, Dia na oule, se hame nabimu logo amoga oule masa.
Nifundishe njia yako, Ee Bwana, niongoze katika njia iliyonyooka kwa sababu ya watesi wangu.
12 Nama ha lai dunu da ogogosu amola beda: ma: ne magagisu amoga na doagala: sa. Ilia da nama hasalasisa: besa: le, na mae yolesiagama.
Usiniachilie kwa nia za adui zangu, kwa maana mashahidi wa uongo wameinuka dhidi yangu, wakipumua ujeuri.
13 Na da na osobo bagadega esalusu amo ganodini, Hina Gode Ea noga: idafa hou ba: mu, amo na da dawa: digisa.
Nami bado nina tumaini hili: nitauona wema wa Bwana katika nchi ya walio hai.
14 Hina Gode Ea hou dafawaneyale dawa: ma! Baligili da: i dione mae heawini dawa: ma! Hina Gode Ea hou dafawaneyale dawa: ma!
Mngojee Bwana, uwe hodari na mwenye moyo mkuu, nawe, umngojee Bwana.

< Gesami Hea:su 27 >