< Gesami Hea:su 26 >

1 Hina Gode! Na da moloidafa dunu agoane, Di sia: ma! Bai na da moloi hou fawane hamosa amola Dima molole dafawaneyale dawa: sa.
Unihukumu mimi, Yahwe, kwa kuwa nimeenenda katika uadilifu; nimeamini katika Yahwe bila kusita.
2 Na hou abodele ba: ma amola adoba: ma! Na dawa: su amola na hanai hou amo ba: lu fofada: ma!
Unichunguze, Yahwe, na unijaribu; uujaribu usafi wa sehemu zangu za ndani na moyoni mwangu!
3 Dia mae fisili asigidafa hou da na logo olelesu gala. Dia hame fisisu hou da eso huluane na sigi ahoa.
Kwa maana uaminifu wa agano lako uko mbele ya macho yangu, na mwenendo wangu ni katika uaminifu wako.
4 Na da hamedei wadela: i dunu ilima hame gilisisa. Na da dabua fawane moloi dunu ilima hame gilisisa.
Mimi sichangamani na watu waovu, wala sichangamani na watu wanafiki.
5 Na da wadela: i dunu ilima gilisimu higasa. Na da ilima hame gilisisa.
Ninachukia waovu, na siishi na waovu.
6 Hina Gode! Na da wadela: i hou hame hamosa. Amo olelema: ne, na lobo ni dodofesa. Amola na da nodone sia: ne gadoiwane, Dia gobele salasu oloda amo beba: le mogodigili sisiga: la.
Ninaosha mikono yangu kounesha sina hatia, na kuikaribia madhabahu yako, Yahwe,
7 Na da Dima nodone gesami hea: sa amola Dia noga: idafa hamobe houba: le, eno dunuma alofele adodosa.
kuimba wimbo wa sauti ya sifa na kutoa taarifa ya matendo yako yote ya ajabu.
8 Hina Gode! Na da Dia esalebe diasu amo bagade hanasa. Bai amo ganodini Dia hadigi da diga: i dialebeba: le.
Yahwe, ninaipenda nyumba ninayoishi, mahali ambapo utukufu wako unaishi!
9 Di da wadela: i hamosu dunu amo wadela: lesisia, na ilima mae gilisilisima. Fane legesu dunu (dunu amo da eso huluane wadela: i hou hamonana amola eso huluane hano suligimusa: momagele esala) amo dunu ilia se dabe lasu amoga na gaheginisima.
Usiniangamize pamoja na wenye dhambi, au maisha yangu na watu wenye kiu ya kumwaga damu,
ambao katika mikono yao kuna njama, na ambao mkono wa kuume umejaa rushwa.
11 Be nina: da moloidafa hamosa. Nama asigima amola na gaga: ma.
Lakini kwangu mimi, nitaenenda katika uadilifu; uniokoe na unihurumie.
12 Na da se nabasu amoga huluane gaga: i ba: sa. Hina Gode Ea fi ilia gilisisu ganodini, na Hina Godema nodone sia: sa.
Miguu yangu husimama sehemu salama; katika kusanyiko la watu nitambariki Yahwe!

< Gesami Hea:su 26 >