< Gesami Hea:su 24 >

1 Osobo bagade amola liligi huluane amo ganodini dialebe da Hina Gode Ea: fawane. Osobo bagade dunu fifilai huluane amo ganodini esala da Hina Gode Ea: fawane.
Zaburi ya Daudi. Dunia ni mali ya Bwana, na vyote vilivyomo ndani yake, ulimwengu, na wote waishio ndani yake,
2 Ea da osobo bagade amo hano lugudu osobo hagudu dialebe amo da: iya hiougi. Amola Ea da hano wayabo bagade amo, ea lugudu sogebi amoga osobo bagade ea bai fa: si.
maana aliiwekea misingi yake baharini na kuifanya imara juu ya maji.
3 Nowa dunu da Hina Gode Ea agoloba: le heda: mu da defele galoma: bela: ? Nowa dunu da Ea sia: ne gadosu hadigi diasu ganodini golili sa: imu da defele galoma: bela: ?
Nani awezaye kuupanda mlima wa Bwana? Ni nani awezaye kusimama patakatifu pake?
4 Nowa ilia hou amola asigi dawa: su amo ganodini ledo hame galea, amola loboga hamoi liligi amoma hame sia: ne gadobeba: le, amola ogogosu hou hame dawa: beba: le, amo dunu fawane da Hina Godema heda: mu defele ba: mu.
Ni yule mwenye mikono safi na moyo mweupe, yule ambaye hakuinulia sanamu nafsi yake au kuapa kwa kitu cha uongo.
5 Hina Gode da amo dunuma hahawane bagade imunu. Amola E da ilia wadela: i hou da dodofei dagoi sia: mu.
Huyo atapokea baraka kutoka kwa Bwana, na hukumu ya haki kutoka kwa Mungu Mwokozi wake.
6 Dunu amo da Godema maha, ilia hou da agoaiwane gala. Agoai dunu da Ya: igobe Ea Gode Ea midadini maha.
Hiki ndicho kizazi cha wale wamtafutao, wale wautafutao uso wako, Ee Mungu wa Yakobo.
7 Logo ga: su ha: gi gaguia gama! Hina Bagade ganodini misa: ne, hea logo ga: su, ili doasima!
Inueni vichwa vyenu, enyi malango, inukeni enyi milango ya kale, ili mfalme wa utukufu apate kuingia.
8 Amo Hina Bagade da nowala: ? E da Hina Gode amola E da baligili gasa bagade. E da gegesu ganodini hasala.
Ni nani huyu Mfalme wa utukufu? Ni Bwana aliye na nguvu na uweza, ni Bwana aliye hodari katika vita.
9 Logo ga: su ha: gi gaguia gama! Hina Bagade ganodini misa: ne, hea logo ga: su, ili doasima!
Inueni vichwa vyenu, enyi malango, viinueni juu enyi milango ya kale, ili Mfalme wa utukufu apate kuingia.
10 Amo Hina Bagade da nowala: ? Hasalasu Hina Gode, Hi fawane da amo Hina Bagadedafa.
Ni nani yeye, huyu Mfalme wa utukufu? Ni Bwana Mwenye Nguvu Zote; yeye ndiye Mfalme wa utukufu.

< Gesami Hea:su 24 >