< Gesami Hea:su 22 >
1 Na Gode! Na Gode! Dia abuliba: le na fisidigibala: ? Na da ha: giwane, Dia na fidima: ne disu. Be Dia da na hame fidila misi.
Kwa mwimbishaji. Mtindo wa utenzi wa “Kulungu wa Alfajiri.” Zaburi ya Daudi. Mungu wangu, Mungu wangu, mbona umeniacha? Kwa nini uko mbali hivyo kuniokoa? Mbali hivyo na maneno ya kuugua kwangu?
2 Na Gode! Ha huluane amoga na Dima wele sia: sa. Be Di da nama hame alofesa. Na da gasi huluane Di wele sia: sa. Be na da sidagaiwane esala.
Ee Mungu wangu, ninalia mchana, lakini hunijibu, hata usiku, sinyamazi.
3 Be Di da Hadigidafa Hina Gode. Dia fisu da gadodafa gaguia gadoi. Amola Isala: ili dunu fi ilia da Dima nodosa.
Hata hivyo umesimikwa katika kiti cha enzi kama Uliye Mtakatifu; wewe ni sifa ya Israeli.
4 Ninia musa: fi aowa ilia Dima dafawaneyale dawa: beba: le, Dia ili gaga: i dagoi.
Kwako wewe baba zetu waliweka tumaini lao, walikutumaini nawe ukawaokoa.
5 Ilia se nabasu doaga: beba: le, Dima wele sia: i amola Di fidi. Ilia Dima dafawaneyale dawa: i amomane se nabasu hame ba: i.
Walikulilia wewe na ukawaokoa, walikutegemea wewe nao hawakuaibika.
6 Be na da dunudafa agoai hame. Na da daba: agoai. Dunu huluane ilia da nama hagasa.
Mimi ni mnyoo wala si mwanadamu, wanaume wamenibeza, na watu wamenidharau.
7 Dunu huluane ilia da na ba: sea, nama lasogole oufesega: sa. Amola gona: su da: da: gini, dialuma fofoga: ne dodona: gisa.
Wote wanionao hunidhihaki, hunivurumishia matusi, wakitikisa vichwa vyao:
8 Ilia amane sia: sa, “Di da Hina Gode Ea hou lalegagui dagoi. E da abuliba: le di hame gaga: sala: ? E da dima asigi galea, abuliba: le di hame fidisala: ?”
Husema, “Anamtegemea Bwana, basi Bwana na amwokoe. Amkomboe basi, kwa maana anapendezwa naye.”
9 Di da na dudubuhadiga lalelegeba, Dia na noga: le ouligi. Amola na mano fonobahadiga, Dia na noga: le ouligi.
Hata hivyo ulinitoa tumboni, ukanifanya nikutegemee, hata nilipokuwa ninanyonya matiti ya mama yangu.
10 Di da na dudubuhadigiga lalelegeba, Dia na noga: le ouligi. Di da eso huluane na: Gode esala.
Nimekabidhiwa kwako tangu kuzaliwa, toka tumboni mwa mama yangu umekuwa Mungu wangu.
11 Dia na mae yolesili esaloma. Se nabasu da nama gadenene misi. Be amomane na fidisu dunu da hame.
Usiwe mbali nami, kwa maana shida iko karibu na hakuna wa kunisaidia.
12 Na ha lai dunu ilia da na sisiga: le halo daha. Amo da Ba: isia: ne bulamagau gawali ilia halo sa: i agoai.
Mafahali wengi wamenizunguka, mafahali wa Bashani wenye nguvu wamenizingira.
13 Ilia da laione wa: me agoane na gasomanusa: , ea lafi dagale amola bese ini gasomanusa: gesenenanebe ba: sa.
Simba wangurumao wanaorarua mawindo yao hupanua vinywa vyao dhidi yangu.
14 Na gasa da hamedafa, amo da hano osobo da: iya sogadigi agoai. Na mese disisi da duduga: i agoane amola na dogo da daeane sa: i dagoi.
Nimemiminwa kama maji, mifupa yangu yote imetoka katika viungo vyake. Moyo wangu umegeuka kuwa nta, umeyeyuka ndani yangu.
15 Na gona: su amola da: gisu da mage da: gimu hamedei agoai gala. Amaiba: le, na gona: su da lafi gadofo bidiga legela heda: i diala. Dia da na mage hafoga: le bogoma: ne yolesi dagoi.
Nguvu zangu zimekauka kama kigae, ulimi wangu umegandamana na kaakaa la kinywa changu, kwa sababu umenilaza katika mavumbi ya kifo.
16 Wadela: i bagade dunu ilia da na sisiga: sa. Wa: me gilisi agoai ilia na doagala: musa: maha. Ilia da na lobo amola emo a: le manusa: mina maha.
Mbwa wamenizunguka, kundi la watu waovu limenizingira, wametoboa mikono yangu na miguu yangu.
17 Na da geloga: iba: le, gasa dabua ba: lala, amola na ha lai dunu ilia nama si godonasili sosodolala.
Naweza kuhesabu mifupa yangu yote, watu wananikodolea macho na kunisimanga.
18 Ilia da na abula lamusa: ululuasu hedelalu, abula momogili ladilala.
Wanagawana nguo zangu wao kwa wao, na vazi langu wanalipigia kura.
19 Hina Gode! Na mae yolesiagama! Na gaga: musa: , hedolo misa.
Lakini wewe, Ee Bwana, usiwe mbali. Ee Nguvu yangu, uje haraka unisaidie.
20 Na da gobiheiga fane legesa: besa: le, hedolo gaga: ma. Wadela: i wa: me agoai dunu ilia na fane legesa: besa: le, Dia na esalusu gaga: ma.
Okoa maisha yangu na upanga, uhai wangu wa thamani kutoka nguvu za mbwa.
21 Laione wa: mega gasonasa: besa: le, gema! Sigua nimi bagade bulamagau gawali da na fane legesa: besa: le, Dia na gema.
Niokoe kutoka kinywani mwa simba, niokoe kutoka pembe za mafahali mwitu.
22 Dia da nama noga: le hamoi. Dia nama hamoi, amo na fi dunu da gilisisia, na da ilima adole imunu.
Nitalitangaza jina lako kwa ndugu zangu, katika kusanyiko nitakusifu wewe.
23 Dilia! Hina Gode Ea hawa: hamosu dunu! Hina Godema nodoma! Dilia! Ya: igobe egaga fi dunu. Hina Godema nodone dawa: ma! Isala: ili fi dunu! Ema nodone sia: ne gadoma!
Ninyi ambao mnamcha Bwana, msifuni! Ninyi nyote wazao wote wa Yakobo, mheshimuni yeye! Mcheni yeye, ninyi wazao wote wa Israeli!
24 E da hame gagui dunu hame yolesisa, amola ilia se nabasu Ea dawa: lala. E da ilima hame baligi fa: sa, be ilia Ema fidima: ne wele sia: sea, E da alofesa.
Kwa maana hakupuuza wala kudharau mateso ya aliyeonewa; hakumficha uso wake bali alisikiliza kilio chake ili amsaidie.
25 Dunu huluane da gilisisu hamosea, na da Dia hamobeba: le, Dima nodomu. Dunu huluane da Dima nodone sia: ne gadosa, amo dunu ilia ba: ma: ne, na da gobele salasu na Dima imunusa: sia: i, amo hamomu.
Kwako wewe hutoka kiini cha sifa zangu katika kusanyiko kubwa, nitatimiza nadhiri zangu mbele ya wale wakuchao wewe.
26 Hame gagui dunu, ili sadima: ne, ili hanai defele manu. Nowa dunu da Hina Gode Ea hou lalegagusia, da Ema nodomu. Ilia da bagade gaguiwane mae bogole esalalalumu da defea.
Maskini watakula na kushiba, wale wamtafutao Bwana watamsifu: mioyo yenu na iishi milele!
27 Osobo bagade fifi asi gala huluane da Hina Gode dawa: mu. Ilia da sinidigili, Ema fa: no bobogemu. Fifi asi gala, sia: hisu hisu, amola hou hisu hisu da Ema nodone sia: ne gadomu.
Miisho yote ya dunia itakumbuka na kumgeukia Bwana, nazo jamaa zote za mataifa watasujudu mbele zake,
28 Hina Gode da Hina Bagadedafa! E da fifi asi gala huluane ouligisa.
kwa maana ufalme ni wa Bwana naye hutawala juu ya mataifa.
29 Gasa fi dunu huluane da Ema begudumu. Osobo bagade dunu huluanedafa da Ema begudumu.
Matajiri wote wa dunia watasherehekea na kuabudu. Wote waendao mavumbini watapiga magoti mbele yake, wote ambao hawawezi kudumisha uhai wao.
30 Hobea fifi mabe dunu, ilia da Ema hawa: hamomu. Dunu oda da hobea fifi mabe dunu ilima, Hina Gode Ea sia: olelemu.
Wazao wa baadaye watamtumikia yeye; vizazi vijavyo vitajulishwa habari za Bwana.
31 Ilia da dunu wali hame lalelegei, ilima amane olelemu, “Hina Gode da Ea fi dunu amo gaga: i dagoi.”
Watatangaza haki yake kwa watu ambao hawajazaliwa bado, kwa maana yeye ametenda hili.