< Gesami Hea:su 20 >
1 Se nabasu da dima doaga: sea, Hina Gode da di fidimu da defea. Ya: igobe ea Gode da di gaga: mu da defea.
Kwa mwimbishaji. Zaburi ya Daudi. Bwana na akujibu unapokuwa katika dhiki, jina la Mungu wa Yakobo na liwe kinga yako.
2 E da Ea Debolo diasuga dima fidisu iasimu amola Saione Goumia dima fidisu iasimu da defea.
Na akutumie msaada kutoka patakatifu na akupatie msaada kutoka Sayuni.
3 E da dia hahawane dogolegele iasu huluane lamu da defea. E da dia gobele salasu huluane hahawane ba: mu da defea.
Na azikumbuke dhabihu zako zote, na azikubali sadaka zako za kuteketezwa.
4 E da dia hanai huluane dima imunu amola dia fa: no hamomu sia: hahamoi amo huluane didima: ne hamomu da defea.
Na akujalie haja ya moyo wako, na aifanikishe mipango yako yote.
5 Amasea, di da hasalasi dagoi ba: sea, ninia da hahawane bagade wele sia: mu. Amola dia hasalasi dawa: ma: ne, Godema bagadewane nodomu. Gode da dia adole ba: su huluane amo defele adole imunu da defea.
Tutashangilia kwa furaha utakaposhinda, tutainua bendera zetu kwa jina la Mungu wetu. Bwana na akupe haja zako zote.
6 Na da wali dawa: , Hina Gode da Ea ilegei hina bagade ema hasalasu hou iaha. E da Ea hadigi Hebene soge amoga hina bagadema adole iaha amola Ea gasaga ema hasalasu hou bagade iaha.
Sasa nafahamu kuwa Bwana humwokoa mpakwa mafuta wake, humjibu kutoka mbingu yake takatifu kwa nguvu za wokovu wa mkono wake wa kuume.
7 Dunu mogili da ilia gegesu sa: liode amoga ilia ha lai amoga hasalasimusa: dawa: lala. Mogili da gegesu hosi, bagohame gaguiba: le, hasalasimusa: dawa: Be ninia da ninia Hina Gode Ea gasa bagade dafawaneyale dawa: beba: le fawane, hasalasimusa: dawa:
Wengine wanatumaini magari ya vita, na wengine farasi, bali sisi tutalitumainia jina la Bwana, Mungu wetu.
8 Dunu mogili da didigabone dafamu. Be ninia da wa: legadole, gasawane lelumu.
Wao wameshushwa chini na kuanguka, bali sisi tunainuka na kusimama imara.
9 Hina Gode! Di da hina bagade ema hasalasu hou ima. Ninia wele adole ba: su amoma Dia dabe adole ima.
Ee Bwana, mwokoe mfalme! Tujibu tunapokuita!