< Gesami Hea:su 2 >
1 Abuliba: le soge bagade fi dunu ilia gegemusa: ilegesala: ? Abuliba: le, ilia da udigili gegemusa: sia: dabela: ?
Kwa nini mataifa wanafanya dhoruba, kwa nini watu wanafanya njama ambazo zitafeli?
2 Ilia hina bagade dunu ilia gegemusa: dawa: , amola ilia ouligisu dunu ilia Hina Godema higasa amola Hina Bagade E ilegele lai Ema higasa.
Wafalme wa nchi kwa pamoja hushikilia misimamo yao na watawala kwa pamoja hufanya njama kinyume na Yahwe na kinyume na Masihi, wakisema,
3 Ilia amane sia: sa, “Be ninia da ilia hamoma: ne sia: i agoema afafamu da defea, amola ilia ouligi yolesimu da defea.”
“Ngoja tuzikate pingu walizo tufingia sisi na kuzitupa pingu zao.”
4 Hina Gode da Hi Hebene fafai fisu da: iya fila heda: le ousa, amola ilia sia: dasu amo nabalu ousa.
Yeye aketie katika mbingu atacheka kwa dharau mbele yao; Bwana atawadhihaki wao.
5 Amolalu, E da ougi gasa bagadewane sisasu sia: olelesa. E da Ea gasa ilima olelebeba: le, ilia beda: sa.
Kisha ataongea nao katika hasira yake na kuwaogofya kwa gadhabu yake, akisema,
6 Gode da amane sia: sa, “Saione (amo da Na hadigi sema goumi) amo da: iya, Na da Na Hina Bagade amogai asunasi.
“Mimi mwenyewe nilimpaka mafuta mfalme wa Sayuni, mlima wangu mtakatifu.”
7 Na da Hina Gode Ea sia: dilima sia: mu. E da nama amane sia: i, “Di da Nagofe. Wali da Na Dia Ada hamoi.
Nami nitatangaza amri ya Yahwe. Yeye aliniambia, “wewe ni mwanangu! Leo hii nimekuwa baba yako.
8 Adole ba: ma, amola Na soge fi huluane Dima imunu osobo bagade huluane da Dia: ganumu.
Uniombe, nami nitakupa wewe taifa kwa ajili ya urithi na mikoa ya nchi iliyo bora kwa ajili ya umiliki wako.
9 Dia da ili ouli fesonoi amoga fane fili fasimu, amola Dia da huluane osoboga hahamoi yaeya amo gagoudane fofonobone fasisu amo defele ili gagoudane fasimu.”
Wewe utawavunja wao kwa fimbo ya chuma; kama vile mtungi wa mfinyanzi, wewe utawavunja wao vipande vipande.”
10 Dilia osobo bagade hina bagade dunu! Na sisasu sia: olelesu noga: le nabima!
Hivyo sasa, ninyi wafalme; mchukue tahadhari; mjirekebishe.
11 Hina Gode Ema beda: iwane fa: no bobogema.
Mwabuduni Yahwe kwa hofu na mfurahi mkitetemeka.
12 Ema beda: ga yaguguiwane muguni bugila sa: ima. Amai hame hamosea, Ea ougi hou da hedolowane heda: mu galebe, amola dilia da hedolowane bogomu. Nowa da Ema gaga: ma: ne ahoasea da Ea hahawane dogolegesu hou ba: mu.
Mumbusu mwana vinginevyo atawakasirikia, na mtakufa pale pale hasira yake ikiwaka. Ni jinsi gani wamebarikiwa wale wote watafutao usalama ndani yake.