< Gesami Hea:su 2 >

1 Abuliba: le soge bagade fi dunu ilia gegemusa: ilegesala: ? Abuliba: le, ilia da udigili gegemusa: sia: dabela: ?
Kwa nini mataifa wanashauriana kufanya mabaya, na kabila za watu kula njama bure?
2 Ilia hina bagade dunu ilia gegemusa: dawa: , amola ilia ouligisu dunu ilia Hina Godema higasa amola Hina Bagade E ilegele lai Ema higasa.
Wafalme wa dunia wanajipanga na watawala wanajikusanya pamoja dhidi ya Bwana na dhidi ya Mpakwa Mafuta wake.
3 Ilia amane sia: sa, “Be ninia da ilia hamoma: ne sia: i agoema afafamu da defea, amola ilia ouligi yolesimu da defea.”
Wanasema, “Tuvunje minyororo yao na kuvitupilia mbali vifungo vyao.”
4 Hina Gode da Hi Hebene fafai fisu da: iya fila heda: le ousa, amola ilia sia: dasu amo nabalu ousa.
Yeye atawalaye mbinguni hucheka, Bwana huwadharau.
5 Amolalu, E da ougi gasa bagadewane sisasu sia: olelesa. E da Ea gasa ilima olelebeba: le, ilia beda: sa.
Kisha huwakemea katika hasira yake na kuwaogopesha katika ghadhabu yake, akisema,
6 Gode da amane sia: sa, “Saione (amo da Na hadigi sema goumi) amo da: iya, Na da Na Hina Bagade amogai asunasi.
“Nimemtawaza Mfalme wangu juu ya Sayuni, mlima wangu mtakatifu.”
7 Na da Hina Gode Ea sia: dilima sia: mu. E da nama amane sia: i, “Di da Nagofe. Wali da Na Dia Ada hamoi.
Nitatangaza amri ya Bwana: Yeye aliniambia, “Wewe ni Mwanangu, leo mimi nimekuzaa.
8 Adole ba: ma, amola Na soge fi huluane Dima imunu osobo bagade huluane da Dia: ganumu.
Niombe, nami nitayafanya mataifa kuwa urithi wako, miisho ya dunia kuwa milki yako.
9 Dia da ili ouli fesonoi amoga fane fili fasimu, amola Dia da huluane osoboga hahamoi yaeya amo gagoudane fofonobone fasisu amo defele ili gagoudane fasimu.”
Utawatawala kwa fimbo ya chuma na kuwavunjavunja kama chombo cha mfinyanzi.”
10 Dilia osobo bagade hina bagade dunu! Na sisasu sia: olelesu noga: le nabima!
Kwa hiyo, ninyi wafalme, kuweni na hekima; mwonyeke, enyi watawala wa dunia.
11 Hina Gode Ema beda: iwane fa: no bobogema.
Mtumikieni Bwana kwa hofu na mshangilie kwa kutetemeka.
12 Ema beda: ga yaguguiwane muguni bugila sa: ima. Amai hame hamosea, Ea ougi hou da hedolowane heda: mu galebe, amola dilia da hedolowane bogomu. Nowa da Ema gaga: ma: ne ahoasea da Ea hahawane dogolegesu hou ba: mu.
Mbusu Mwana, asije akakasirika nawe ukaangamizwa katika njia yako, kwa maana hasira yake inaweza kuwaka ghafula. Heri wote wanaomkimbilia.

< Gesami Hea:su 2 >