< Gesami Hea:su 19 >

1 Mu da Gode Ea hadigi hou noga: le olelesa. Mu da Ea hahamoi hou moloidafa olelesa.
Kwa mwimbishaji. Zaburi ya Daudi. Mbingu zinatangaza utukufu wa Mungu, anga zahubiri kazi ya mikono yake.
2 Eso afae da fa: no mabe eso amoga Ea hadigi olelesa. Amola gasi afae da fa: no mabe eso amoga olelesa.
Siku baada ya siku zinatoa habari, usiku baada ya usiku zinatangaza maarifa.
3 Ado amola sia: da hame sia: sa. Amola ga: da hame naba.
Hakuna msemo wala lugha, ambapo sauti zao hazisikiki.
4 Be osobo bagade fifi asi gala huluanedafa da amo olelesu naba. Gode da muagado ganodini, eso ea diasu gagui.
Sauti yao imeenea duniani pote, nayo maneno yao yameenea hadi miisho ya ulimwengu. Katika mbingu amepiga hema kwa ajili ya jua,
5 Eso da hahabe hahawane uda lamu dunu agoane maha. Amola e da hehenasu dunu defele hehenasu ganodini baligimusa: dawa:
linafanana na bwana arusi akitoka chumbani mwake, kama shujaa afurahiavyo kukamilisha kushindana kwake.
6 Eso ea digagala: su da mu la: idi bega: asili la: idi bega: doaga: sa. Ea dogolo amoga wamoaligimu da hamedafa.
Huchomoza upande mmoja wa mbingu, na kufanya mzunguko wake hadi upande mwingine. Hakuna kilichojificha joto lake.
7 Hina Gode Ea sema da ida: iwanedafa. Ea hamoma: ne sia: i da gasa gaheabolo ninima iaha. Hina Gode Ea hamoma: ne sia: i da moloidafa. Ilia da dawa: su hame gala dunu ilima dawa: su iaha.
Sheria ya Bwana ni kamilifu, ikihuisha nafsi. Shuhuda za Bwana ni za kuaminika, zikimpa mjinga hekima.
8 Hina Gode Ea sema da moloidafa amola nowa dunu ilia fa: no bobogesea da hahawane ganumu. Hina Gode Ea hamoma: ne sia: i da fofada: su moloidafa iaha, amola dunu ea asigi dawa: su amoga dawa: su noga: i iaha.
Maagizo ya Bwana ni kamili, nayo hufurahisha moyo. Amri za Bwana huangaza, zatia nuru machoni.
9 Hina Godema nodone beda: su hou da noga: i. Amo hou da eso huluane dialalalumu. Hina Gode Ea fofada: su hou da eso huluane moloi fawane ba: sa.
Kumcha Bwana ni utakatifu, nako kwadumu milele. Amri za Bwana ni za hakika, nazo zina haki.
10 Hina Gode Ea sia: da gouli ida: iwane gala ea haboda: i amo baligisa. Ninia amo sia: hanaiwane dawa: mu da defea. Ea sia: da hedaidafa amola agime hano ea hedai amo baligisa.
Ni za thamani kuliko dhahabu, kuliko dhahabu iliyo safi sana, ni tamu kuliko asali, kuliko asali kutoka kwenye sega.
11 Hina Gode! Na da Dia hawa: hamosu dunu. Amola Dia hamoma: ne sia: i da dawa: su nama iaha. Amola na da amoma fa: no bobogesea, Di da bidi nama iaha.
Kwa hizo mtumishi wako anaonywa, katika kuzishika kuna thawabu kubwa.
12 Dunu da hi giadofasu, hi da hamedafa ba: sa. Hina Gode! Na wamo giadofale hamoi amoga Di na gaga: ma.
Ni nani awezaye kutambua makosa yake? Nisamehe makosa yangu nisiyoyajua.
13 Na da hanaiba: le wadela: le hamomu higa: i gala mabu. Wadela: i hou da nama hina agoane dialumu, na higa: i. Amaiba: le, Di gaga: ma. Amasea, na da ida: iwane ba: mu, amola wadela: i hou amoga afafai ganumu.
Mlinde mtumishi wako na dhambi za makusudi, nazo zisinitawale. Ndipo nitakapokuwa sina lawama, wala sitakuwa na hatia ya kosa kubwa.
14 Hina Gode! Di da na wamoaligisu diasu agoai. Na da wadela: i hamomusa: gagulaligi dagoi. Be Dia da na bidiga lasu dunu esala. Na da Dia siga ba: ma: ne sia: ida: iwane fawane sia: mu amola asigi dawa: su ida: iwane fawane dawa: mu da defea.
Maneno ya kinywa changu na mawazo ya moyo wangu, yapate kibali mbele zako, Ee Bwana, Mwamba wangu na Mkombozi wangu.

< Gesami Hea:su 19 >