< Gesami Hea:su 17 >

1 Hina Gode! Na sia: be goe nabima. Na moloidafa fofada: su ba: ma: ne Dima edegesa. Na da Dia na fidima: ne Dima diginiwane wele sia: sa. Dia nabima. Na da ogogole hame sia: ne gadosa.
Sala ya Daudi. Sikia, Ee Bwana, kusihi kwangu kwa haki, sikiliza kilio changu. Tega sikio kwa ombi langu, halitoki kwenye midomo ya udanganyifu.
2 Dia da na moloidafa hou dawa: beba: le, Dia da na fidima: ne fofada: mu.
Hukumu yangu na itoke kwako, macho yako na yaone yale yaliyo haki.
3 Dia na dogo dawa: Di da gasi ganodini nama misini, na hou huluane abodele ba: su. Di da na hou amo ganodini, wadela: i hanai hou hamedafa ba: i.
Ingawa unauchunguza moyo wangu na kunikagua usiku, ingawa umenijaribu, hutaona chochote. Nimeamua kwamba kinywa changu hakitatenda dhambi.
4 Eno dunu da wadela: i sia: bagade sia: sa. Be na lafiga agoai hame sia: sa. Na da Dia hamoma: ne sia: i amo fa: no bobogei. Amola nimi bagade hou amoma hame fa: no bobogei.
Kuhusu matendo ya wanadamu: kwa neno la midomo yako, nimejiepusha na njia za wenye jeuri.
5 Na da eso huluane Dia logodili ahoasu amola na da afuda: le hamedafa asi.
Hatua zangu zimeshikamana na njia zako; nyayo zangu hazikuteleza.
6 Hina Gode! Na Dima sia: ne gadosu amo da Dia na sia: ne gadobe bu alofele iaha. Amaiba: le, nama ba: leguda: le, na sia nabima.
Ee Mungu, ninakuita, kwa kuwa utanijibu, nitegee sikio lako na usikie ombi langu.
7 Dia asigidafa hou amo nama olelema amola na gaga: ma. Na da Di guga esalea, na da na ha lai ilima gaga: i dagoi ba: sa.
Uonyeshe ajabu ya upendo wako mkuu, wewe uokoaye kwa mkono wako wa kuume wale wanaokukimbilia kutokana na adui zao.
8 Di da Dia si amoma gaga: su hou amo defele, na gaga: ma. Wadela: i hamosu dunu da nama doagala: sa: besa: le, Dia ogelebaha na wamolegema. Nimi bagade ha lai dunu da na guba: le sisiga: sa. Ilia da asigi hou hame dawa: amola ilia da gasa fili sia: daha.
Nilinde kama mboni ya jicho lako, unifiche chini ya kivuli cha mbawa zako
9
kutokana na waovu wanaonishambulia, kutokana na adui wauaji wanaonizunguka.
Huifunga mioyo yao iliyo migumu, vinywa vyao hunena kwa majivuno.
11 Ilia da na sisiga: le disi. Ilia da na hiougia gudumusa: logo hogoi helesa.
Wamenifuatia nyayo zangu, sasa wamenizingira, wakiwa macho, waniangushe chini.
12 Ilia da soge laione wa: me agoai, na desega aligili medole manusa: amola dodosa: ne manusa: oulela.
Wamefanana na simba mwenye njaa awindaye, kama simba mkubwa anyemeleaye mafichoni.
13 Hina Gode misa! Na ha lai ilima gegene sefasima. Amola, ilima hasalasima. Dia gobihei bagade amoga gegebeba: le, na gaga: ma.
Inuka, Ee Bwana, pambana nao, uwaangushe, niokoe kutokana na waovu kwa upanga wako.
14 Wadela: i hamosu dunu da osobo bagadega esalea, ilia da ilia hanai liligi huluane gagusa. Ilia da nama ha laiba: le, Di na gaga: ma. Dia da se iasu bagade ilima ima: ne, gagadole ilegei dagoi. Amo se iasu da ilima ianu, ili baligili amola ilia mano amola ilia mano ilia mano amo defele ilima se iasu ima: ne ba: mu da defea.
Ee Bwana, mkono wako uniokoe na watu wa jinsi hii, kutokana na watu wa ulimwengu huu ambao fungu lao liko katika maisha haya. Na wapate adhabu ya kuwatosha. Watoto wao na wapate zaidi ya hayo, hukumu na iendelee kwa watoto wa watoto wao.
15 Be na da wadela: le hame hamoiba: le, na da Di ba: mu. Amola, na da nedigisia, Di guga esalebeba: le, na da hahawane bagade ba: mu.
Na mimi katika haki nitauona uso wako, niamkapo, nitaridhika kwa kuona sura yako.

< Gesami Hea:su 17 >