< Gesami Hea:su 150 >

1 Hina Godema nodoma! Gode Ea Debolo Diasu ganodini Ema nodone sia: ma! Gode Ea muagado gasa bagade hou amoma nodoma!
Msifuni Bwana. Msifuni Mungu katika patakatifu pake, msifuni katika mbingu zake kuu.
2 Ea gasa bagade hawa: hamosu ba: beba: le, Ema nodoma! Ea gasa bagade baligi hou amoma nodone sia: ma!
Msifuni kwa matendo yake makuu, msifuni kwa kadiri ya wingi wa ukuu wake.
3 Dalabede dusa, Ema nodone sia: ma! Sani baidama amola ilibu ba: gu la: idi la: idi figi gisinagisanasu duni, Ema nodoma.
Msifuni kwa mvumo wa tarumbeta, msifuni kwa kinubi na zeze,
4 Ilibuga dusa amola gafole iana, Ema nodoma! Sani baidamaga amola buni fulabosuga dusa, Ema nodoma!
msifuni kwa matari na kucheza, msifuni kwa kinanda cha nyuzi na filimbi,
5 Edado fasu amoga Ema ha: giwane nodoma!
msifuni kwa matoazi yaliayo, msifuni kwa matoazi yavumayo sana.
6 Esalebe liligi huluane! Hina Godema nodoma! Hina Godema nodoma! Sia: ama dagoi
Kila chenye pumzi na kimsifu Bwana. Msifuni Bwana!

< Gesami Hea:su 150 >