< Gesami Hea:su 141 >
1 Hina Gode! Na Dima wele sia: sa! Wahadafa, na fidima! Na Dima wele sia: sea, Dia nabima!
Ee Yahwe, ninakulilia wewe; uje upesi kwangu. Unisikilize nikuitapo.
2 Na sia: ne gadosu amo gabusiga: gobele salasu defele, Dia lama. Na lobo gaguia gadobeba: le, Dia amo hou daeya gobele salasu defele ba: ma.
Maombi yangu na yawe kama uvumba mbele zako; mikono yangu iliyoinuliwa na iwe kama dhabihu ya jioni.
3 Hina Gode! Na lafi noga: le sosodo aligima! Na lafi logoga, sosodo aligisu dunu asunasima!
Ee Yahwe, uweke mlinzi kinywani mwangu; mngojezi malangoni pa midomo yangu.
4 Na da wadela: i hou hanasa: besa: le, Di fidima. Amola na da wadela: i hamosu dunuma mae gilisima: ne, amola ilia lolo nasu amoga mae masa: ne, Di fidima.
Usiruhusu tamaa ya moyo wangu kutamani uovu wowote wala kushiriki katika matendo ya dhambi na watu waishio maovuni. Nisile vyakula vyao vya anasa.
5 Dunu noga: idafa da nama asigiba: le, dawa: ma: ne se iasu amola gagabosu nama imunu da defea. Be wadela: i hamosu dunu ilia nama nodosu, amo na da hame lale salimu. Bai na da eso huluane ilia wadela: i hou fisima: ne sia: ne gadolala.
Mwenye haki na anipige; nao utakuwa ni wema kwangu. Anirudi; itakuwa kama mafuta kichwani pangu; kichwa changu na kisikatae kupokea. Lakini maombi yangu siku zote yatakuwa dhidi ya matendo yao mauvu.
6 Ilia ouligisu dunu da igi gafulua bogoma: ne fulisali ba: sea, dunu eno da na sia: i liligi da dafawane galebeyale dawa: le sia: mu.
Viongozi wao watatupwa chini toka juu mlimani; watayasikia maneno yangu kuwa ni matamu.
7 Lalu ifa da gaga: ne habele dudunumiai ba: mu. Amo defele, amo dunu ilia gasa da bogoi ulidogoi bega: afagogoi ba: mu. (Sheol )
Watalazimika kusema, “Kama vile jembe moja livunjapo ardhi, hivyo mifupa yetu imesambaratishwa kinywani pa kuzimu.” (Sheol )
8 Be Ouligisudafa Hina Gode! Na Dima dafawaneyale dawa: lala. Na da Dia gaga: su hou hogosa. Amola na mae bogoma: ne, Di gaga: ma.
Hakika macho yangu yanakutazama wewe, Yahwe, Bwana; katika wewe napata kimbilio; usiiache nafsi yangu.
9 Wadela: i hamosu dunu, ilia da na sa: ima: ne sani dilisisa. Dia na gaga: ma!
Unilinde dhidi ya mitego waliyoiweka kwa ajili yangu, na matanzi yao watendao maovu.
10 Wadela: i hamosu dunu ilila: sani amoga ilila: sa: imu da defea. Amola na da hahawane masa: ne, Di fidima!
Waovu na waangukie kwenye nyavu zao wenywe pindi mimi nitorokapo.