< Gesami Hea:su 139 >
1 Hina Gode! Dia da na hou abodele, huluane dawa:
Ee Yahwe, wewe umenichunguza, na unanijua.
2 Dia da na hamobe huluanedafa dawa: Di da badiliawane lela, na asigi dawa: su huluane dawa:
Wewe unajua nikaapo na niinukapo; unayajua mawazo yangu tokea mbali sana.
3 Na da hawa: hamonanea amola hele esalea, na hamobe huluane Dia dawa:
Unachunguza wenendo wangu na kulala kwangu; unazijua njia zangu zote.
4 Na da hame sia: iawane, na sia: musa: dawa: i huluane Dia dawa:
Kabla hakujawa na neno kwenye ulimi wangu, wewe unalijua kabisa, Yahwe.
5 Di da na sisiga: le, Dia gasaga na gaga: i diala.
Nyuma yangu na mbele yangu unanizunguka na kuniwekea mkono wako.
6 Dia na hou dawa: digi da oso dogoi. Be na da Dia hou dawa: digimu da hamedei.
Maarifa hayo ni mengi yananizidi mimi; yako juu sana, nami siwezi kuyafikia.
7 Na da Diba: le hobeamu da hamedei. Na da Dia midadi fisili hobeamu da hamedei.
Niende wapi mbali na roho yako? Niende wapi niukimbie uwepo wako?
8 Na da muagado heda: i ganiaba, Di da amogawi esalebe ba: la: loba. Na da bogosu sogebia asiaba, Di da amogawi esalebe ba: la: loba. (Sheol )
Kama nikipaa mbinguni, uko huko; kama nikifanya kitanda changu Kuzimuni, tazama, uko huko. (Sheol )
9 Na eso maba gusu hagili ahoa ganiaba, o guma: dini badiliadafawane esala ganiaba,
Kama nikipaa kwa mbawa za asubuhi na kwenda kuishi pande za mwisho wa bahari,
10 Di da amogai na oule bisili masa: ne amola na fidima: ne esalebe ba: la: loba.
hata huko mkono wako utaniongoza, mkono wako wa kuume utanishika.
11 Na da gasi ea na wamolegema: ne adole ba: loba, o hadigi nama sisiga: i dialebe amoea afadenene bu gasima: ne adole ba: loba, na da wamolegei dagoi hame ba: la: loba.
Kama nikisema, “Hakika giza litanifunika, na nuru inizungukayo itakuwa usiku,”
12 Bai gasi dunasi da Dima gasi hame gala, amola gasi da Dia siga eso ea hadigi agoai ba: sa. Gasi amola hadigi da Dima defele ba: sa.
Hata giza lisingweza kuwa giza kwako. Usiku ungeng'aa kama mchana, maana giza na nuru kwako vinafanana.
13 Di da na da: i huluane hahamoi. Di da na da: i huluane na: me ea hagomo ganodini disisi.
Wewe uliumba sehemu zangu za ndani; uliniumba tumboni mwa mama yangu.
14 Dunu huluane da Diba: le beda: mu da defea. Amaiba: le, na Dima nodosa. Dia hamobe huluane da degabo amola noga: idafa. Amo huluane na dawa:
Nitakusifu, kwa maana nimeumbwa kwa jinsi ya ajabu. Nafsi yangu yalijua hili vizuri sana.
15 Di da na gasa na: me ea hagomo ganodini noga: le hahamone, disisilaloba, na da amogawi wamowane alelaloba, na da amogawi esaloba, Di da na dawa: digi dagoi.
Mifupa yangu haikusitirika kwako nilipoumbwa kwa siri, nilipoumbwa kwa ustadi pande za chini za nchi.
16 Na da hame lalelegeiawane, Dia na dawa: i. Na da hame lalelegeiawane na esaloma: ne ilegei, amo Di da Dia meloa amo ganodini dedene legei.
Uliniona ndani ya tumbo; siku zote zilizo pangwa kwangu ziliandikwa kitabuni mwako hata kabla ya siku ya kwanza kutokea.
17 Gode! Dia asigi dawa: su amo na dawa: mu bagadewane gogolesa. Dia asigi dawa: su da bagohame gala.
Ni jinsi gani mawazo yako ni ya thamani kwangu, Mungu! Njinsi ilivyo kubwa jumla zake!
18 Na da Dia asigi dawa: su idisa ganiaba, ilia da idimu gogolei, sa: i boso su idi agoai gala: loba. Na da nedigisia, Di amola ani gilisili esalebe ba: sa.
Kama nikijaribu kuyahesabu ni mengi kuliko mchanga. Niamkapo bado niko na wewe.
19 Gode! Na dawa: loba da Dia wadela: i hamosu dunu fane lelegemu. Na dawa: loba da mosolasu dunu na yolesima: mu.
Ee Mungu, kama ungewaua waovu; ondokeni kwangu enyi watu wenye vurugu.
20 Ilia Dima lasogole baligidu sia: daha. Ilia Dia Dio amoma lasagole sia: sa.
Wanakuasi wewe na kutenda udanganyifu; adui zako wananena uongo.
21 Hina Gode! Na da Dima higabe dunu ilima bagade higasa. Na da Dima ododoga: be dunu ilima higasa.
Je, siwachukii hao, wale wakuchukiao Yahwe? Je, siwadharau wale wanao inuka dhidi yako?
22 Na da ili dafawanedafa higasa. Ilia da nama ha lai dunu agoai ba: sa.
Nawachukia kabisa; wamekuwa adui zangu.
23 Gode! Na asigi dawa: su, Dia abodema! Nama adoba: le, na asigi dawa: su hogole ba: ma.
Ee Mungu, unichunguze na kuujua moyo wangu; unijaribu na uyajue mawazo yangu.
24 Na wadela: iyale, Dia hogole ba: ma! Amola Dia fifi ahoanusu logoga masa: ne, nama logo olema.
Uone kama kuna njia ya uovu ndani yangu, na uniongoze katika njia ya milele.