< Gesami Hea:su 138 >

1 Hina Gode! Na dogo huluane amoga Dima nodone sia: sa. Na da ogogosu ‘gode’ huluane ilia midadi Dima nodone gesami hea: mu.
Nitakushukuru kwa moyo wangu wote; mbele ya miungu nitakuimbia sifa.
2 Na da Dia hadigi Debolo diasu amoga ba: legale, beguduli, Dia Dio amoma nodone sia: sa. Bai Dia asigidafa hou da hame fisisa. Amola Dia Dio amola Dia hamoma: ne sia: su da baligili bagade, amo Di da olelei dagoi.
Nitasujundu mbele ya hekalu lako takatifu na kulishukuru jina lako kwa ajili ya uaminifu wa agano lako na kwa uaminifu wako. Umelifanya muhimu zaidi neno lako na jina lako kuliko kitu chochote.
3 Na da Dima wele sia: beba: le, Di da nama dabe adole i. Di da Dia gasaga, nama gasa i.
Siku ile niliyo kuita, ulinijibu; ulinitia moyo na kuitia nguvu nafsi yangu.
4 Osobo bagade hina bagade dunu huluane, ilia da Dima nodomu. Bai ilia da Dia ilegele sia: su nabi dagoi.
Wafalme wote wa nchi watakushukuru wewe, Yahwe, maana watasikia maneno kutoka kinywani mwako.
5 Ilia da Dia hawa: hamoi amola Dia hadigidafa hou olelema: ne, gesami hea: mu.
Hakika, wataimba kuhusu matendo ya Yahwe, kwa kuwa utukufu wa Yahwe ni mkuu.
6 Di da gadodafa esala. Be Di da amo mae dawa: le, fonoboi dunu amo noga: le ouligisa. Amola hidale gasa fibi dunu da Dima wamoaligimu hame dawa:
Maana ingawa Yahwe yuko juu, lakini anawajali wanyenyekevu, lakini hawatambui wenye majivuno.
7 Na da bidi hamosu amoga sisiga: i ba: sea, Dia na gaga: sa. Di da nama ha lai dunu ilima dabe gegesa amola Dia gasa bagade amoga na gaga: sa.
Nijapopita katikati ya hatari, wewe utauhifadhi uhai wangu; utanyoosha mkono wako dhidi ya hasira ya adui zangu, na mkono wako wa kuume utaniokoa.
8 Di da Dia ilegele sia: i defele, didili hamomu. Hina Gode! Dia asigidafa hou da mae fisili, eso huluane dialumu. Dia hawa: muni hamobe amo didili hamoma.
Yahwe yuko pamoja nami hadi mwisho; uaminifu wa agano lako, Yahwe, wadumu milele. Usiwaache wale ambao mikono yako imewaumba.

< Gesami Hea:su 138 >