< Gesami Hea:su 138 >

1 Hina Gode! Na dogo huluane amoga Dima nodone sia: sa. Na da ogogosu ‘gode’ huluane ilia midadi Dima nodone gesami hea: mu.
Zaburi ya Daudi. Nitakusifu wewe, Ee Bwana, kwa moyo wangu wote, mbele ya “miungu” nitaimba sifa zako.
2 Na da Dia hadigi Debolo diasu amoga ba: legale, beguduli, Dia Dio amoma nodone sia: sa. Bai Dia asigidafa hou da hame fisisa. Amola Dia Dio amola Dia hamoma: ne sia: su da baligili bagade, amo Di da olelei dagoi.
Nitasujudu nikielekea Hekalu lako takatifu, nami nitalisifu jina lako kwa ajili ya upendo wako na uaminifu, kwa kuwa umelikuza jina lako na neno lako juu ya vitu vyote.
3 Na da Dima wele sia: beba: le, Di da nama dabe adole i. Di da Dia gasaga, nama gasa i.
Nilipoita, ulinijibu; ulinifanya jasiri na mwenye moyo hodari.
4 Osobo bagade hina bagade dunu huluane, ilia da Dima nodomu. Bai ilia da Dia ilegele sia: su nabi dagoi.
Wafalme wote wa dunia wakusifu wewe Ee Bwana, wakati wanaposikia maneno ya kinywa chako.
5 Ilia da Dia hawa: hamoi amola Dia hadigidafa hou olelema: ne, gesami hea: mu.
Wao na waimbe kuhusu njia za Bwana, kwa maana utukufu wa Bwana ni mkuu.
6 Di da gadodafa esala. Be Di da amo mae dawa: le, fonoboi dunu amo noga: le ouligisa. Amola hidale gasa fibi dunu da Dima wamoaligimu hame dawa:
Ingawa Bwana yuko juu, humwangalia mnyonge, bali mwenye kiburi yeye anamjua kutokea mbali.
7 Na da bidi hamosu amoga sisiga: i ba: sea, Dia na gaga: sa. Di da nama ha lai dunu ilima dabe gegesa amola Dia gasa bagade amoga na gaga: sa.
Nijapopita katikati ya shida, wewe unayahifadhi maisha yangu, unanyoosha mkono wako dhidi ya hasira ya adui zangu, kwa mkono wako wa kuume unaniokoa.
8 Di da Dia ilegele sia: i defele, didili hamomu. Hina Gode! Dia asigidafa hou da mae fisili, eso huluane dialumu. Dia hawa: muni hamobe amo didili hamoma.
Bwana atatimiza kusudi lake kwangu, Ee Bwana, upendo wako wadumu milele: usiziache kazi za mikono yako.

< Gesami Hea:su 138 >