< Gesami Hea:su 137 >

1 Ba: bilone hano bega: ninia da fi dialu. Amogawi, ninia da Saione Moilai Bai Bagade dawa: beba: le, fofagini dinanu.
Kando ya mito ya Babeli tuliketi, tukaomboleza tulipokumbuka Sayuni.
2 Ninia da ‘yodima’ ifa damana, ninia sani baidama gosagisi.
Kwenye miti ya huko tulitundika vinubi vyetu,
3 Dunu amo da nini gagulaligi, ilia da ninima amane sia: i, “Ninia hahawane nabima: ne, Saione ea hou olelema: ne, gesami hea: ma.”
kwa maana huko hao waliotuteka walitaka tuwaimbie nyimbo, watesi wetu walidai nyimbo za furaha; walisema, “Tuimbieni wimbo mmoja kati ya nyimbo za Sayuni!”
4 Be ninia da habodane ga fi soge ganodini, Hina Godema nodone gesami hea: ma: bela: ?
Tutaimbaje nyimbo za Bwana, tukiwa nchi ya kigeni?
5 Yelusaleme! Na da di gogolesea, na da sani baidama bu hamedafa dumu da defea.
Nikikusahau wewe, ee Yerusalemu, basi mkono wangu wa kuume na usahau ujuzi wake.
6 Na da di gogolesea, amola di da na baligili hahawane hou bai diala amo hame dawa: sea, na da bu gesami hea: mu logo hamedafa ba: mu da defea.
Ulimi wangu ushikamane na kaakaa la kinywa changu kama sitakukumbuka wewe, kama nisipokufikiri Yerusalemu kuwa furaha yangu kubwa.
7 Hina Gode! Idome dunu ilia da Yelusaleme doagala: le, hasalasi dagoi, Dia amo hou bu dawa: ma. Ilia amane sia: i, “Yelusaleme dafawanedafa muguluma.” Dia amo hou bu dawa: ma.
Kumbuka, Ee Bwana, walichokifanya Waedomu, siku ile Yerusalemu ilipoanguka. Walisema, “Bomoa, Bomoa mpaka kwenye misingi yake!”
8 Ba: bilone moilai bai bagade! Di da gugunufinisi dagoi ba: mu. Di da ninima wadela: i hou bagade hamobeba: le, nowa da dima se dabe iasea, da hahawane bagade ba: mu.
Ee binti Babeli, uliyehukumiwa kuangamizwa, heri yeye atakayekulipiza wewe kwa yale uliyotutenda sisi:
9 E da dia mano dudubu amo sasamogene, gele da: iya gisalu gagala: mu da defea.
yeye ambaye atawakamata watoto wako wachanga na kuwaponda juu ya miamba.

< Gesami Hea:su 137 >