< Gesami Hea:su 132 >
1 Hina Gode! Da: ibidi amola ea se baligili nabasu, amo mae gogolema!
Yahwe, kwa ajili ya Daudi kumbuka mateso yake yote.
2 Hina Gode! Di da Ya: igobe ea Gode Bagadedafa. Da: ibidi ea Dima ilegele sia: i amo mae gogolema! E amane ilegele sia: i,
Kumbuka ndiye aliye mwapia Yahwe, aliweka nadhiri kwa Shujaa wa Yakobo.
3 “Na da na diasua hame masunu amola hame golamu, amola hele mae fili galeawane, Hina Gode (Ya: igobe ea Gode Bagadedafa) Ea: diasu gagumu.”
Alisema, sitaingia nyumbani mwangu wala sitaenda kitandani mwangu,
sitayapa macho yangu usingizi wala kope zangu kupumzika
mpaka nitakapopata mahali kwa ajili ya Yahwe, na maskani kwa ajili ya Shujaa wa Yakobo.”
6 Ninia da Bedeleheme moilaiga esaloba, Dia Gousa: su Sema Gagili ea hou nabi. Ninia da amo hogolala, Yialimi soge ganodini dialebe ba: i.
Tazama tulisikia kuhusu hilo katika Efrata; tuliipata katika konde la Yearimu.
7 Ninia amane sia: i, “Ninia Hina Gode Ea diasuga afia: la: di. Ninia Ea Fisu midadi nodone sia: ne gadomusa: afia: la: di.
Tutaingia katika maskani ya Mungu; tutasujudu miguuni pake.
8 Hina Gode! Debolo diasuga misa! Amola Dia Gousa: su Sema Gagili da Dia gasa bagade hou dawa: digima: ne olelesuba: le, amo Dia gaguli misini, amogawi mae fisili, eso huluane esalalaloma!
Inuka, Ee Yahwe, uje mahali pako pa kupumzika, wewe na sanduku la nguvu zako!
9 Dia gobele salasu dunu da eso huluane moloidafa hou abula agoane salimu da defea. Dia fi dunu ilia hahawaneba: le gesami hea: mu da defea.
Makuhani wako na wavikwe uadilifu; waaminifu wako washangilie.
10 Di da Dia hawa: hamosu dunu Da: ibidi, ema ilegele sia: i dagoi. Amaiba: le, Dia ilegei hina bagade amo higale mae yolesima.
Kwa ajili ya mtumishi wako Daudi, usimuache mfalme wako uliye mpaka mafuta.
11 Di da Da: ibidima dafawanedafa ilegele sia: su hamoi, amola amo ilegele sia: i Di da hamedafa bugimu. Di amane ilegele sia: i, “Na da dia mano afae amo hina bagade hamomu, amola e da di bagia Isala: ili fi ouligilalumu.
Yahwe alimwapia Daudi kiapo cha uhakika, kiapo cha uhakika ambacho hatakivunja: “Nitamuweka mmoja wa wazawa wako kwenye kiti chako cha enzi.
12 Dia mano ilia Na gousa: su noga: le nabasea, amola Na hamoma: ne sia: i ilima i, amo nabawane hamosea, ilia mano amola da di bagia, eso huluane mae fisili, Isala: ili fi ouligilalumu.”
Kama wana wako watalishika agano langu na sheria ambazo nitawafundisha, watoto wao pia watakaa kwenye kiti chako cha enzi milele.”
13 Hina Gode da Saione Moilai Bai Bagade amo ganodini E esaloma: ne, ilegei dagoi.
Hakika Yahwe ameichagua Sayuni, ameitamani kwa ajili ya makao yake.
14 E amane ilegele sia: i, “Na da Saione Moilai Bai Bagade amo ganodini eso huluane fifi ahoanumu. Na da amogawi Isala: ili fi ouligilalumu hanai galebe.
“Hapa ni mahali pangu pa kupumzika milele. Nitaishi hapa, kwa kuwa ninapatamani.
15 Na da Saione fi dunu ilia esaloma: ne lamu liligi defele ilima imunu. Na da Saione Moilai Bai Bagadega esalebe hame gagui dunu, ilima sadima: ne ha: i manu imunu.
Nitapabariki sana kwa mahitaji. Nitawatosheleza maskini wake kwa mkate.
16 Na da Saione fi ilia gobele salasu dunu, ilia hamobe huluane amo ganodini, gaga: su hou abula agoane ilima imunu. Amola Saione fi dunu da hahawaneba: le, gesami hea: mu amola wele sia: mu.
Nitawavisha makuhani wake kwa wokovu, waaminifu wake watashangilia kwa furaha.
17 Goegawi, Na da Da: ibidi egaga fi Dunu afae amo Hina Bagadedafa hamomu. Amola Na da Na ilegei Hina Bagade Ea ouligisu hou noga: le gaga: mu.
Hapo nitachipusha pembe kwa ajili ya Daudi na kuweka taa juu kwa ajili ya mpakwa mafuta wangu.
18 Na da Ea ha lai dunu amo gogosiama: ne hamomu. Be Ea ouligibi da bagade gaguiwane heda: mu.”
Nitawavisha adui kwa aibu, bali juu yake taji yake itang'aa.”