< Gesami Hea:su 132 >
1 Hina Gode! Da: ibidi amola ea se baligili nabasu, amo mae gogolema!
Wimbo wa kwenda juu. Ee Bwana, mkumbuke Daudi na taabu zote alizozistahimili.
2 Hina Gode! Di da Ya: igobe ea Gode Bagadedafa. Da: ibidi ea Dima ilegele sia: i amo mae gogolema! E amane ilegele sia: i,
Aliapa kiapo kwa Bwana na akaweka nadhiri kwa Yule Mwenye Nguvu wa Yakobo:
3 “Na da na diasua hame masunu amola hame golamu, amola hele mae fili galeawane, Hina Gode (Ya: igobe ea Gode Bagadedafa) Ea: diasu gagumu.”
“Sitaingia nyumbani mwangu au kwenda kitandani mwangu:
sitaruhusu usingizi katika macho yangu, wala kope zangu kusinzia,
mpaka nitakapompatia Bwana mahali, makao kwa ajili ya Yule Mwenye Nguvu wa Yakobo.”
6 Ninia da Bedeleheme moilaiga esaloba, Dia Gousa: su Sema Gagili ea hou nabi. Ninia da amo hogolala, Yialimi soge ganodini dialebe ba: i.
Tulisikia habari hii huko Efrathi, tulikutana nayo katika mashamba ya Yaara:
7 Ninia amane sia: i, “Ninia Hina Gode Ea diasuga afia: la: di. Ninia Ea Fisu midadi nodone sia: ne gadomusa: afia: la: di.
“Twendeni kwenye makao yake, na tuabudu kwenye kiti cha kuwekea miguu yake;
8 Hina Gode! Debolo diasuga misa! Amola Dia Gousa: su Sema Gagili da Dia gasa bagade hou dawa: digima: ne olelesuba: le, amo Dia gaguli misini, amogawi mae fisili, eso huluane esalalaloma!
inuka, Ee Bwana, uje mahali pako pa kupumzikia, wewe na Sanduku la nguvu zako.
9 Dia gobele salasu dunu da eso huluane moloidafa hou abula agoane salimu da defea. Dia fi dunu ilia hahawaneba: le gesami hea: mu da defea.
Makuhani wako na wavikwe haki, watakatifu wako na waimbe kwa furaha.”
10 Di da Dia hawa: hamosu dunu Da: ibidi, ema ilegele sia: i dagoi. Amaiba: le, Dia ilegei hina bagade amo higale mae yolesima.
Kwa ajili ya Daudi mtumishi wako, usimkatae mpakwa mafuta wako.
11 Di da Da: ibidima dafawanedafa ilegele sia: su hamoi, amola amo ilegele sia: i Di da hamedafa bugimu. Di amane ilegele sia: i, “Na da dia mano afae amo hina bagade hamomu, amola e da di bagia Isala: ili fi ouligilalumu.
Bwana alimwapia Daudi kiapo, kiapo cha uhakika ambacho hatakitangua: “Nitamweka mmoja wa wazao wako mwenyewe katika kiti chako cha enzi,
12 Dia mano ilia Na gousa: su noga: le nabasea, amola Na hamoma: ne sia: i ilima i, amo nabawane hamosea, ilia mano amola da di bagia, eso huluane mae fisili, Isala: ili fi ouligilalumu.”
kama wanao watashika Agano langu na sheria ninazowafundisha, ndipo wana wao watarithi kiti chako cha enzi milele na milele.”
13 Hina Gode da Saione Moilai Bai Bagade amo ganodini E esaloma: ne, ilegei dagoi.
Kwa maana Bwana ameichagua Sayuni, amepaonea shauku pawe maskani yake:
14 E amane ilegele sia: i, “Na da Saione Moilai Bai Bagade amo ganodini eso huluane fifi ahoanumu. Na da amogawi Isala: ili fi ouligilalumu hanai galebe.
“Hapa ni mahali pangu pa kupumzika milele na milele; hapa ndipo nitakapoketi nikitawala, kwa sababu nimepaonea shauku:
15 Na da Saione fi dunu ilia esaloma: ne lamu liligi defele ilima imunu. Na da Saione Moilai Bai Bagadega esalebe hame gagui dunu, ilima sadima: ne ha: i manu imunu.
Nitambariki kwa kumpa mahitaji tele: nitashibisha maskini wake kwa chakula.
16 Na da Saione fi ilia gobele salasu dunu, ilia hamobe huluane amo ganodini, gaga: su hou abula agoane ilima imunu. Amola Saione fi dunu da hahawaneba: le, gesami hea: mu amola wele sia: mu.
Nitawavika makuhani wake wokovu, nao watakatifu wake watadumu wakiimba kwa furaha.
17 Goegawi, Na da Da: ibidi egaga fi Dunu afae amo Hina Bagadedafa hamomu. Amola Na da Na ilegei Hina Bagade Ea ouligisu hou noga: le gaga: mu.
“Hapa nitamchipushia Daudi pembe, na kuweka taa kwa ajili ya masiya wangu.
18 Na da Ea ha lai dunu amo gogosiama: ne hamomu. Be Ea ouligibi da bagade gaguiwane heda: mu.”
Adui zake nitawavika aibu, bali taji kichwani pake itangʼaa sana.”