< Gesami Hea:su 120 >

1 Na da bidi hamosu ba: beba: le, Hina Godema wele sia: i. Amola E da nama dabe adole i.
Wimbo wa kwenda juu. Katika dhiki yangu namwita Bwana, naye hunijibu.
2 Ogogosu dunu da nama hasalasisa: besa: le, Dia na gaga: ma.
Ee Bwana, uniokoe kutoka midomo ya uongo na ndimi za udanganyifu.
3 Dilia ogogosu dunu! Gode da dilima adi hamoma: bela: ? E da habodane dilima se dabe ima: bela: ?
Atakufanyia nini, au akufanyie nini zaidi, ewe ulimi mdanganyifu?
4 Amabela: ? E da dadi gagui dunu ea dadi agei o lalu oso gia: i bagade amoga se dabe ima: bela: ?
Atakuadhibu kwa mishale mikali ya shujaa, kwa makaa yanayowaka ya mti wa mretemu.
5 Dili bisili fifi labe da wadela: idafa Misiege amola Gida dunu fi amo ganodini ili bisili fifi labe defele gala.
Ole wangu kwa kuwa naishi Mesheki, kwamba naishi katikati ya hema za Kedari!
6 Na da eso bagohamedafa fifi lai amo da olofosu higasa, amo ganodini esalebe ba: i.
Nimeishi muda mrefu mno miongoni mwa wale wanaochukia amani.
7 Na da olofoma: ne ilima sia: sea, ilia da ha lamusa: fawane dawa: sa.
Mimi ni mtu wa amani; lakini ninaposema, wao wanataka vita.

< Gesami Hea:su 120 >