< Gesami Hea:su 12 >

1 Hina Gode! Nini fidima! Guiguda: da noga: i dunu hamedafa esala. Amola moloidafa dunu agoai hamedafa ba: sa.
Kwa mwimbishaji. Mtindo wa sheminithi. Zaburi ya Daudi. Bwana tusaidie, kwa kuwa wacha Mungu wametoweka; waaminifu wametoweka miongoni mwa wanadamu.
2 Dunu enoma enoma ogogosu bagade hamosu. Dunu enoma enoma sefe sia: bagade sia: daha.
Kila mmoja humwambia jirani yake uongo; midomo yao ya hila huzungumza kwa udanganyifu.
3 Hina Gode! Amo dunu ilia sefe sia: bagade hedofama. Gasa fi dunu ilia lafi ga: ma.
Bwana na akatilie mbali midomo yote ya hila na kila ulimi uliojaa majivuno,
4 Ilia da gasa fili agoane sia: sa, “Ninia sia: ga fawane, ninia hanai lasa. Amola ninia adi sia: sia: musa: dawa: sea amo fawane sia: sa amola enoga agoane da hame gagabomu.”
ule unaosema, “Kwa ndimi zetu tutashinda; midomo ni mali yetu, bwana wetu ni nani?”
5 Be Hina Gode da amane sia: sa, “Na da wali misunu. Bai hame gagui dunu da banenesi dagoi amola wadela: i dunu da gasa hame dunuma se iabeba: le, ilia da se nababeba: le, gogonomasa. Ilia da Na gaga: ma: ne hanaiba: le, Na da ouligimu.
“Kwa sababu ya uonevu wa wanyonge na kulia kwa uchungu kwa wahitaji, nitainuka sasa,” asema Bwana. “Nitawalinda kutokana na wale wenye nia mbaya juu yao.”
6 Hina Gode Ea ilegele sia: i liligi, amo da dafawaneyale dawa: mu liligi. Ea ilegele sia: i liligi da fofoloi silifa agoane, amo da lalu bagade amo ganodini fesuale agoane gobei nenoai, fofoloi agoai.
Maneno ya Bwana ni safi, kama fedha iliyosafishwa katika tanuru, iliyosafishwa mara saba.
7 Wadela: i hamosu dunu da osobo bagade dedebosa. Dunu huluane da wadela: i hou amoma nodosa. Amo dunu da nini wadela: sa: besa: le, Hina Gode, Di fidila misa amola nini gaga: ma.
Ee Bwana, utatuweka salama na kutulinda na kizazi hiki milele.
8
Watu waovu huenda wakiringa kila mahali wakati ambapo yule aliye mbaya sana ndiye anayeheshimiwa miongoni mwa watu.

< Gesami Hea:su 12 >