< Gesami Hea:su 119 >

1 Nowa dunu ilia da giadofasu mae hamone, Hina Gode Ea Hamoma: ne sia: i nabawane hamonanea, ilia da hahawane bagade.
Wamebarikiwa wale ambao njia zao hazina lawama, waenendao katika sheria ya Yahwe.
2 Nowa da ilia asigi dawa: su huluane amoga Hina Gode Ea hamoma: ne sia: i amoma noga: le fa: no bobogesea, ilia da hahawane bagade.
Wamebarikiwa wale wazishikao amri zake thabiti, wamtafutao kwa moyo wao wote.
3 Ilia da giadofasu hame dawa: Ilia da Hina Gode Ea logodafa, amoga ahoa.
Hawatendi makosa; wanaenenda katika njia zake.
4 Hina Gode! Di da Dia hamoma: ne sia: i ninima ianu, amo mae yolele nabawane hamoma: ne sia: i dagoi.
Wewe umetuamuru kuyashika maagizo yako ili tuyachunguze kwa umakini.
5 Na da Dia hamoma: ne sia: i amo defele hamomusa: bagadewane hanai gala.
Oh, ningependa njia zangu ziwe thabiti nizitii amri zako!
6 Na da Dia sema amo noga: le nabawane hamosea, na da gogosiasu hame ba: mu.
Ndipo sitaaibika nizifikiripo amri zako zote.
7 Na da Dia moloidafa fofada: su hou noga: le ado boba: lalea, na dogo da fofoloiba: le, na da Dima nodomu.
Nitakushukuru wewe kwa unyofu wangu wa moyo nijifunzapo amri za haki yako.
8 Na da Dia hamoma: ne sia: i nabawane hamomu. Na maedafa yolesima!
Nitazitii amri zako; usiniache peke yangu. BETH.
9 Ayeligi da habodane ea esalusu fofoloiwane ouligima: bela: ? E da Dia hamoma: ne sia: i amo nabawane hamosea, ea esalusu da fofoloi ba: mu.
Ni jinsi gani kijana aweza kuendelea kuishi katika njia yake ya utakatifu? Ni kwa kulitii neno lako.
10 Na dogoga huluane, na da Dima fa: no bobogemusa: dawa: Na da Dia hamoma: ne sia: i amo na da giadofasa: besa: le, Dia na fidima.
Kwa moyo wangu wote ninakutafuta wewe; Usiniache nipotee mbali na maagizo yako.
11 Na da Dia hamoma: ne sia: i amo na dogo ganodini dawa: i diala, amasea na da Dia hamoma: ne sia: i hame giadofale hamomu.
Moyoni mwangu nimeliweka neno lako ili nisije nikakutenda dhambi.
12 Hina Gode! Na da Dima nodone sia: sa. Dia noga: idafa hou nama olelema.
Umetukuka, Yahwe; unifundishe amri zako.
13 Na da Dia hamoma: ne sia: i huluane nama i, amo eso huluane bu ha: giwane dabuasili adolalumu.
Kwa kinywa changu nimetangaza amri ya haki yako yote ambayo umeifunua.
14 Dia hamoma: ne sia: i amo na da nodone amo fawane baligili fa: no bobogesa. Na liligi bagade amo gagumusa: hame dawa: sa.
Ninafurahi katika njia ya amri za agano lako zaidi kuliko katika utajiri.
15 Na da Dia hamoma: ne sia: i amo dadawa: le bai hogosa. Na da Dia olelesu hou amo abodesa.
Nitayatafakari maagizo yako na kuzitilia maanani njia zako.
16 Na da Dia sema hamoi amoma bagadewane nodonana, amola Dia hamoma: ne sia: i, amo na hamedafa gogolemu.
Ninafurahia katika amri zako; sitalisahau neno lako. GIMEL.
17 Na da Dia hawa: hamosu dunu. Nama nodone ba: ma. Amasea na da esalawane Dia hamoma: ne olelei amo hamonanumu.
Uwe mwema kwa mtumishi wako ili niweze kuishi na kulishika neno lako.
18 Na si Dia fadegalesima, amasea na da Dia sema hamoi moloidafa amo ba: mu.
Ufungue macho yangu ili niweze kuona mambo ya ajabu katika sheria yako.
19 Na da eso bagahame fawane osobo bagadega esalumu. Amaiba: le, Dia hamoma: ne sia: i amo nama mae wamolegema.
Mimi ni mgeni katika nchi; usizifiche amri zako mbali nami.
20 Na da eso huluane Dia moloidafa fofada: su hou dawa: ma: ne bagadewane hanaiba: le, na dogo ganodini se naba.
Moyo wangu unauma kwa kutamani sana kuzijua amri zako za haki wakati wote.
21 Di da hidale gasa fibi dunuma gagabole sia: sa. Nowa da Dia hamoma: ne sia: i hame nabasea, gagabusu da ilima aligisa.
Wewe huwakemea wenye kiburi, waliolaaniwa, wanao tanga-tanga mbali na amri zako.
22 Na da ilia gadesu amola higasu hou bu mae ba: ma: ne, Dia na fidima. Bai na da Dia sema huluane nabawane hamonanu.
Uniokoe dhidi ya aibu na udhalilishaji, maana nimezitii amri za agano lako.
23 Ouligisu dunu da gilisili, na wadela: ma: ne ilegelala. Be na da Dia olelesu amo dawa: digima: ne bai hogosa.
Ingawa watawala wanapanga njama na kunikashfu, mtumishi wako huzitafakali amri zako.
24 Na da Dia hamoma: ne sia: i hahawane ba: sa. Dia hamoma: ne sia: i liligi huluane da nama fada: i sia: su dunu agoane gala.
Amri za agano lako ni furaha yangu, na washauri wangu. DALETH.
25 Na da hasalasiba: le, gulu dabolei diala. Na da Dia ilegele sia: i defele, Dia na esaloma: ne bu uhinisima.
Uhai wangu unashikamana na mavumbi! nipe uhai kwa neno lako.
26 Na da na wadela: i hou hamoi huluane sisane fofada: i. Amola Di da amo nabawane bu dabe adole i. Dia moloidafa hou nama olelema.
Nilikuambia mapito yangu, na ulinijibu; nifundishe sheria zako.
27 Dia sema hamoi na noga: le dawa: digima: ne, na fidima. Amola na da Dia noga: idafa olelebe noga: le dadawa: lalumu.
Unifahamishe njia ya maagizo yako, ili niweze kutafakari juu ya mafundisho yako ya ajabu.
28 Na da bagadedafa fofagiba: le, hasalasi dagoi ba: sa. Dia ilegei sia: i defele, nama gasa ima.
Nimelemewa na huzuni! Nitie nguvu kwa neno lako.
29 Na giadofale ahoasa: besa: le, noga: le ouligima. Dia fidimusa: ilegele sia: i defele, nama gasa ima.
Uiondoe kwangu njia ya udanganyifu; kwa wema wako unifundishe sheria yako.
30 Na da Dia hou noga: le nabawane hamomusa: ilegei. Na da Dia moloidafa fofada: su noga: le nabawane dadawa: i galu.
Nimechagua njia ya uaminifu; siku zote nimeweka amri za haki yako mbele yangu.
31 Hina Gode! Na da Dia hamoma: ne sia: i, amoma noga: le fa: no bobogei. Na gogosiama: ne mae hamoma.
Ninashikamana na amri za agano lako; Yahwe, usiniache niaibike.
32 Na da Dia hamoma: ne sia: ne iasu hanaiwane nabawane hamomu. Bai Di da nama fada: ne dawa: su bagade imunu.
Nitakimbia katika njia ya amri zako, kwa sababu wausukuma moyo wangu kufanya hivyo. HE
33 Hina Gode! Dia sema ea bai dawa: loma: ne nama olelema. Amola na da Dia sema amoga eso huluane fa: no bobogemu.
Unifundishe, Yahwe, njia za sheria yako, nami nitazishika hadi mwisho.
34 Dia sema ea bai nama noga: le olelema. Amasea, na da na gasa huluane amoga Dia hamoma: ne sia: i fa: no bobogelalumu.
Unipe uelewa, nami nitazishika sheria zako; nitazitii kwa moyo wangu wote.
35 Dia hamoma: ne sia: i na noga: le fa: no bobogelaloma: ne, Dia ouligima. Bai amo hamoma: ne sia: i da nama hahawane hou iaha.
Uniongoze katika njia ya amri zako, maana ninafurahi kuenenda katika hizo.
36 Di da nama bagade gagumusa: hanasu mae iawane, Dia sema amoma fa: no bobogema: ne hanai fawane nama ima.
Uelekeze moyo wangu kuzielekea amari za agano lako na uniweke mbali na matendo yasiyo haki tena.
37 Na da hamedei liligi amoma bagadewane dawa: sa: besa: le, na amo mae hamoma: ne fidima. Dia ilegele sia: i defele, nama noga: idafa hou hamoma.
Uyageuze macho yangu dhidi ya kutazama mambo yasiyofaa; unihuishe katika njia zako.
38 Di da nowa dunu da Dia sia: nabawane hamosea, ema hahawane hamomusa: ilegele sia: i. Amo na da Dia hawa: hamosu dunuba: le, Dia ilegele sia: i amo nama hamoma.
Umtendee mtumishi wako ahadi ambayo uliifanya kwa wale wanaokuheshimu wewe.
39 Na da nama ha lai dunu ilia nama gadesu, amoga beda: sa. Dia na gaga: ma. Dia moloidafa fofada: su hou da noga: idafa.
Uniondolee shutumu niiogopayo, maana hukumu zako za haki ni njema.
40 Na da Dia hamoma: ne sia: i amo nabawane hamomu hanai gala. Esalusu gaheabolo nama ima. Bai Di da moloidafaba: le.
Tazama, nimeyatamani maagizo yako; unihuishe katika haki yako. VAV.
41 Hina Gode! Dia nama asigi hou da habowaliyale amo nama olelema! Dia ilegele sia: i defele, na gaga: ma!
Ee Yahwe, unipe upendo wako usiokwisha na wokovu wako kulingana na ahadi yako;
42 Amasea, na da dunu amo da nama gadebe, ilima dabe sia: musa: dawa: mu. Bai na Dia sia: dafawaneyale dawa: sa.
ndipo nitakuwa na jibu kwa ajili ya yule anayenidhihaki.
43 Na da eso huluane moloidafa sia: amo sia: noma: ne, Di hamoma. Bai na dafawane hamoma: beyale dawa: su da Dia fofada: su hou amo ganodini diala.
Usiliondoe neno la kweli mdomoni mwangu, maana nimesubiri kwa ajili ya amri zako za haki.
44 Na da Dia sema huluane, mae fisili, eso huluane nabawane hahamona ahoanumu.
Nitazitii sheria zako siku zote, milele na milele.
45 Na da halegale noga: ledafa lalalumu. Bai na da Dia olelesu adoba: le fa: no bobogele ba: sa.
Nitaenenda salama, maana ninayatafuta maagizo yako.
46 Na da Dia hamoma: ne sia: be, amo hina bagade ilia odagiaba olelemu. Na da hame gogosiamu.
Nitazinena amri zako thabiti mbele ya wafalme nami sitaaibika.
47 Na da Dia hamoma: ne sia: i nabawane hamonanebeba: le, hahawane ba: sa. Bai na da amo bagade hanasa.
Ninafurahia katika amri zako, nizipendazo sana.
48 Na da Dia hamoma: ne sia: i amo gaguia gadosa, amola amoma hanasa. Na da Dia: hamoma: ne sia: i amo dadawa: lalumu.
Nitaziinulia mikono yangu amri zako, nizipendazo; nitazitafakari sheria zako. ZAYIN.
49 Na da Dia hawa: hamosu dunu, amola Di da nama hahawane ilegele sia: beba: le, na da dafawane hamoma: beyale dawa: lusu lai dagoi. Amo ilegele sia: i bu dawa: ma.
Kumbuka ahadi yako kwa mtumishi wako kwa sababu umenipa tumaini.
50 Na se nabasu ganodini amolawane, na dogo da denesi. Bai Dia ilegele sia: i da nama fifi ahoanusu i dagoi.
Hii ni faraja yangu katika mateso: kuwa ahadi yako imeniweka hai.
51 Hidale gasa fi dunu da eso huluane nama higale ba: sa. Be na Dia sema amo fa: no bobogebe hame yolesi.
Wenye kiburi wamenicheka, lakini sijaiacha sheria yako.
52 Dia musa: hemonega fofada: su hou, na da dawa: lala. Hina Gode! Amo da na dogo denesisa.
Nimezitafakari amri zako za haki tangu zamani, Yahwe, nami ninajifariji mwenyewe.
53 Wadela: idafa dunu da Dia sema wadela: lesilalebe na ba: sea, na da ougi bagadewane ba: sa.
Hasira kali imenishikilia kwa sababu ya waovu wanaoikataa sheria yako.
54 Na da osobo bagadega ode bagahame esalu. Be na da Dia sema olelema: ne, gesami hea: su hahamosa.
Sheria zako zimekuwa nyimbo zangu katika nyumba ninayoishi kwa muda.
55 Hina Gode! Na da gasia Di fofagini dadawa: lala. Amola na da Dia sema dadawa: lala.
Ninalifikiria jina lako wakati wa usiku, Yahwe, na kuzishika sheria zako.
56 Na da Dia hamoma: ne sia: i nabawane hamobeba: le, hahawane bagade ba: sa.
Hili limekuwa zoezi langu kwa sababu nimeyatii maagizo yako. HETH.
57 Hina Gode! Na da Dima fawane hanai. Na da Dia sema fa: no bobogemusa: ilegele sia: sa.
Yahwe ni sehemu yangu; nimeamua kuyatii maneno yake.
58 Na Dima ha: giwane edegesa! Dia ilegele sia: i defele, na wadela: i hou gogolema: ne olofole, nama asigima.
Kwa bidii ninaomba neema yako kwa moyo wangu wote; unihurumie, kama neno lako lilivyo ahidi.
59 Na da nina: hou abodele, Dia hamoma: ne sia: i amoma fa: no bobogemusa: , ilegele sia: sa.
Nilizichunguza njia zangu na kugeuzia miguu yangu kwenye amri za agano lako.
60 Mae oualigili, na da hedolowane Dia hamoma: ne sia: i nabawane hamomusa: ahoa.
Naharakisha na sichelewi kuzishika amri zako.
61 Wadela: i hamosu dunu da na sa: ima: ne sanenesi. Be na da Dia sema hame gogolesa.
Kamba za waovu zimenifunga; nami sijaisahau sheria yako.
62 Gasi dogoa, na da nedigili, Dia moloidafa fofada: su hou amoma nodosa.
Katikati ya usiku ninaamka kukushukuru wewe kwa sababu ya amri za haki yako.
63 Na da dunu huluane ilia da Dima hawa: hamosa amola Dia sema nabawane hamosa, ili huluane na dogolegei na: iyado agoane ba: sa.
Ninaurafiki na wale wanao kuabudu wewe, wale wote watiio maagizo yako.
64 Hina Gode! Osobo bagade da Dia mae fisili asigidafa hou amoga nabai gala. Dia hamoma: ne sia: i, amo nama olelema.
Yahwe, nchi, imejaa uaminifu wa agano lako; unifundishe sheria zako. TETH.
65 Hina Gode! Di da Dia ilegele sia: i didili hamoi dagoi. Na da Dia hawa: hamosu dunu, amola Di da nama noga: le hamosa.
Wewe umemtendea mema mtumishi wako, Yahwe, sawasawa na neno lako.
66 Nama bagade dawa: su amola hamoma: ne dawa: su ima. Bai na da Dia hamoma: ne sia: i amo dafawaneyale dawa: sa.
Unifundishe utambuzi sahihi na uelewa, kwa kuwa nimeamini katika amri zako.
67 Musa: , Di da nama se bidi hame i amogalu, na da giadofale ahoasu. Be wali, na da Dia sia: amo nabawane hamosa.
Kabla sijateswa nilipotea, lakini sasa nimelitii neno lako.
68 Di da noga: idafa amola asigidafa. Dia hamoma: ne sia: i, amo nama olelema.
Wewe ni mwema, na ndiye yule utendaye mema; unifundishe sheria zako.
69 Hidale gasa fi dunu da na hou ogogole olelei. Be na da na dogo huluane amoga Dia hamoma: ne sia: i amo nabawane hamonana.
Wenye kiburi wamenichafua kwa uongo, lakini niliyashika maagizo yako kwa moyo wangu wote.
70 Ilia da asigi dawa: su hame gala. Be na da Dia sema hamonanebeba: le, hahawane ba: sa.
Mioyo yao ni migumu, lakini ninafurahia katika sheria yako.
71 Nama se bidi iasu da na hou noga: le fidi. Bai amoga na da Dia hamoma: ne sia: i noga: le dadawa: ahoasu.
Ni vizuri kwangu kuwa nimeteseka ili niweze kujifunza sheria zako.
72 Na ba: loba, sema amo Dia nama i, da osobo bagade su huluanedafa baligisa.
Maagizo yatokayo kinywani mwako ni ya thamani zaidi kwangu kuliko maelfu ya vipande vya dhahabu na fedha. YOD.
73 Hina Gode! Di da na hahamoi, amola Di da na gaga: lala. Na da Dia sema huluane dadawa: musa: asigi dawa: su noga: i nama ima.
Mikono yako imeniumba na kunitengeneza; unipe uelewa ili niweze kujifunza amri zako.
74 Nowa dunu da Dima nodone dawa: sea, ilia da na ba: sea, nodomu. Bai na da Dia ilegele sia: su amo dafawaneyale dawa: sa.
Wale wanao kucha wewe watafurahi wanionapo kwa sababu ninapata tumaini katika neno lako.
75 Hina Gode! Dia fofada: su hou da moloidafa, amo na dawa: Amola dia nama se bidi iasu, bai da Dia mae fisili asigidafa hou olelesa.
Ninajua, Yahwe, kuwa amri zako ni za haki, na kuwa katika uaminifu ulinitesa.
76 Dia mae fisili asigidafa hou da na dogo denesimu da defea. Bai na da Dia hawa: hamosu dunu, amola Di da amo nama defele hamoma: ne sia: i.
Agano lako aminifu na linifariji, kama ulivyomwahidi mtumishi wako.
77 Na esaloma: ne, Dia nama asigima! Bai na da Dia sema hahawane hamonana.
Unihurumie ili niweze kuishi, kwa maana sheria yako ni furaha yangu.
78 Hidale gasa fibi dunu da ogogole nama diwaneya udidiba: le, ilia gogosiamu da defea. Be na da Dia hamoma: ne sia: su amo na asigi dawa: su ganodini dadawa: lalumu.
Wenye kiburi na waaibishwe, maana wamenitukana; bali mimi nitayatafakari maagizo yako.
79 Nowa dunu da Dima nodosa amola Dia hamoma: ne sia: i noga: le dawa: sa, ilia da nama misunu da defea.
Wale wote wanao kucha wewe na wanigeukie, wale wazijuao amri za agano lako.
80 Na da Dia hamoma: ne sia: i noga: ledafa nabawane hamomu da defea. Amasea, na da hame hasalasiba: le, hame gogosiamu.
Moyo wangu uwe mkamilifu pamoja na heshima kwa sheria zako ili nisiaibike. KAPH.
81 Na da Dia gaga: su hou ba: musa: ouesalebeba: le, na da gufia: i dagoi. Na da Dia sia: fawane dafawaneyale dawa: sa.
Ninazimia kwa kutamani sana kuwa wewe unaweza kuniokoa! Ninamatumaini katika neno lako.
82 Na da Dia ilegele sia: i hou doaga: ma: ne sosodo aligibiba: le, na da si sebe. Na da amane adole ba: sa, “Di da habogala na fidima: bela: ?”
Macho yangu yanatamani sana kuiona ahadi yako; ni lini utanifariji mimi?
83 Na da ohe gadofoga waini hano disu ha: digi dagoi defele ba: sa. Be na da Dia hamoma: ne sia: i hame gogolei.
Kwa maana nimekuwa kama kiriba katika moshi; sisahau sheria zako.
84 Na da habowali seda ouesaloma: bela: ? Dia da habogala nama se iabe dunu, ilima se dabe ima: bela: ?
Ni kwa muda gani gani mtumishi wako atalazimika kuyavumilia haya; ni lini utawahukumu wale wanaonitesa?
85 Hidale gasa fibi dunu amo da Dia sema nabawane hame hamosa, ilia da na sa: ima: ne uli dogonesi.
Wenye kiburi wamenichimbia shimo, wasiotii sheria yako.
86 Dia hamoma: ne sia: i huluane da dafawaneyale dawa: mu defele gala. Dunu eno ilia da na hou ogogole sia: beba: le, nama se bagade iaha. Dia na fidima!
Amri zako zote ni za kuaminika; wale watu walinitesa bila ya haki; unisaidie.
87 Ilia da na gadenenewane fane legei dagoi. Be na da Dia hamoma: ne sia: su amo hame fisiagai.
karibu kunifanya nifikie mwisho juu ya nchi hii, lakini siyakatai maagizo yako.
88 Di da eso huluane mae fisili asigidafa hou hamonana. Amaiba: le, Dia nama asigidafa hou hamoma. Amasea, na da Dia sema nabawane hamomu.
Kwa upendo wako thabiti, uniweke hai, ili niweze kuzitii amri zako. LAMEDH.
89 Hina Gode! Dia Sia: da eso huluane dialumu. Dia Sia: da Hebene ganodini, eso huluane dialumu.
Yahwe, neno lako linasimama milele; neno lako limefanywa imara mbinguni.
90 Dia mae fisili, asigidafa hou da eso huluane dialumu. Di da osobo bagade ea dialoba amogai ligisi. E da amogaiwane diala.
Uaminifu wako wadumu kwa ajili ya vizazi vyote; umeiimarisha nchi, nayo inadumu.
91 Di da liligi huluane ouligisa. Di da amo hamoma: ne sia: beba: le, liligi huluanedafa da ilia dialoba amogaiwane diala.
Vitu yote yaliendelea mpaka leo hii, kama vile ulivyosema katika amri zako za haki, maana vitu vyote ni watumishi wako.
92 Na da se nabawane esalu. Be Dia sema da nama hahawane hou ea bai hame ganiaba, na da se nabawane bogola: loba.
Kama sheria yako isingekuwa furaha yangu, ningeangamia katika mateso yangu.
93 Na da Dia hamoma: ne sia: su amo mae fisili noga: ledafa ouligimu. Bai amoga Di da na esaloma: ne fidi.
Sitayasahau kamwe maagizo yako, maana kupitia hayo umeniweka hai.
94 Na da Dia: ! Na fidima! Na da Dia hamoma: ne sia: i amo adoba: le fa: no bobogei.
Mimi ni wako, kwa maana ninayatafuta maagizo yao.
95 Wadela: i hamosu dunu da na fane legema: ne ouesala. Be na da Dia sema amo na asigi dawa: su ganodini dawa: lalumu.
Waovu hujiandaa kuniangamiza, lakini nitatafuta kuzielewa amri za agano lako.
96 Na da ba: loba, liligi huluane da dagomu bidi gala. Be Dia hamoma: ne sia: i da noga: idafa.
Nimeona kuwa kila kitu kina mipaka, lakini amri zako ni pana, zaidi ya mipaka. MEM.
97 Na da Dia sema amoma bagadewane asigisa. Na da hahabe asili daeya, eso huluane amoga Dia sema dadawa: lala.
Oh ni jinsi gani naipenda sheria yako! Ni tafakari yangu mchana kutwa.
98 Dia hamoma: ne sia: i da eso huluane nama gilisisa. Dia hamoma: ne sia: i da na dawa: su hou amo nama ha lai dunu ilia dawa: su hou baligima: ne hamosa.
Amri zako hunifanya mwenye hekima kuliko adui zangu, maana amri zako siku zote ziko pamoja nami.
99 Na dawa: su da nama olelesu dunu ilia dawa: su amo baligisa. Bai na da Dia hamoma: ne sia: su amo na asigi dawa: su ganodini dadawa: lala.
Ninauelewa zaidi kuliko walimu wangu wote, kwa maana ninazitafakari amri za agano lako.
100 Na asigi dawa: su da da: i hamoi dunu ilia asigi dawa: su baligisa. Bai na da Dia hamoma: ne sia: su amo nabawane hamosa.
Ninaelewa kuliko wale wanaonizidi umri; hii ni kwa sababu nimeyashika maagizo yako.
101 Na da wadela: i hou hamosu amoma hame gilisi. Bai na da Dia sia: nabawane hamomusa: hanai gala.
Nimeiepusha miguu yangu na kila njia ya uovu ili niweze kulitii neno lako.
102 Na da Dia hamoma: ne sia: su hame fisiagasu. Bai Dia Disu da na Olelesu Dunu.
Sijaenda kinyume na amri zako za haki, kwa maana wewe umenifundisha.
103 Dia hamoma: ne sia: su da hedai bagade. Ilia hedai da agime hano ea hedai baligisa.
Ni jinsi gani maneno yako ni matamu kwenye majaribu yangu, naam, matamu kuliko asali kinywani mwangu!
104 Dia sema da bagade dawa: su nama iaha. Amaiba: le, na da wadela: i hou hamobe huluane higasa.
Kupitia maagizo yako ninapata utambuzi; kwa hiyo kila njia isiyo ya kweli.
105 Dia sia: da nama logo olelesu gamali defele gala. Dia sia: da na logo ba: ma: ne hadigi digagala: sa
Neno lako ni taa ya mguu miguu yangu na mwanga wa njia yangu.
106 Na da Dia moloidafa hamoma: ne sia: i amo nabawane hamomusa: ilegele sia: i dagoi. Amo ilegele sia: i, na da hame gogolemu.
Nimeapa na nimethibitisha, kuwa nitazitii amri za haki yako.
107 Hina Gode! Na da baligiliwane se naba. Dia musa: ilegele sia: i defele, na mae bogole esaloma: ne fidima.
Nimeteswa sana; uniweke hai, Yahwe, kama ulivyoahidi katika neno lako.
108 Hina Gode! Na Dima nodone sia: ne gadosu amo nabima. Dia hamoma: ne sia: su amo nama olelema.
Yahwe, tafadhali pokea dhabihu yangu ya hiari ya kinywa changu, na unifundishe amri zako za haki.
109 Na Dima fa: no bobogemusa: , na esalusu fisimusa: momagele esala. Na da Dia sema hame gogolei.
Uhai wangu ziku zote uko mkononi mwangu, lakini bado sisahau sheria yako.
110 Wadela: i hamosu dunu da na sa: ima: ne sanenesisa. Be na da Dia hamoma: ne sia: i mae fisili nabawane hamonana.
Waovu wamenitegea mtego, lakini sijapotea mbali na maagizo yako.
111 Na da Dia hamoma: ne sia: su mae fisili, eso huluane gagui dialebe ba: mu. Dia hamoma: ne sia: i da nama hahawane hou iaha.
Nimezifanya amri za agano lako kama urithi wangu milele, maana hizo ni furaha ya moyo wangu.
112 Na da agoane ilegei dagoi. Na da Dia sema amo fa: no bobogelaleawane, na bogomu eso doaga: mu.
Moyo wangu umewekwa kuzitii sheria zako milele mpaka mwisho kabisa. SAMEKH.
113 Dunu amo da Dima noga: le hame fa: no bobogebe, na da higasa. Be na da Dia sema amoma asigisa.
Ninawachukia watu wa kusita-sita, lakini naipenda sheria yako.
114 Di da na gesu amola na gaga: su. Na dafawane hamoma: beyale dawa: su ea bai da Dia ilegele sia: su.
Wewe ni ficho langu na ngao yangu; nalingoja neno lako.
115 Dili wadela: i hamosu dunu! Gasigama! Na da na Gode Ea hamoma: ne sia: i nabawane hamomu.
Ondokeni kwangu, ninyi mtendao uovu, ili niweze kuzitii amri za Mungu wangu.
116 Hina Gode! Dia ilegele sia: i defele, nama gasa ima! Amasea, na da esalumu. Na dafawane hamoma: beyale dawa: su fisisa: besa: le, Dia fidima.
Uniwezeshe kwa neno lako ili niweze kuishi na nisiaibike na matumaini yangu.
117 Na dafasa: besa: le, na gaguma. Amasea, na da gaga: i dagoi ba: mu. Amola na da mae fisili, Dia hamoma: ne sia: i dadawa: lalu, nabawane hamomu.
Unisaidie, nami nitakuwa salama; siki zote nitazitafakari sheria zako.
118 Di da nowa dunu da Dia sema nabawane hame hamosea, Di da ili higale fisiagasa. Ilia ogogole ilegesu da hamedei liligi.
Wewe huwakataa wale wote wapoteao mbali na sheria zako, maana watu hao ni wadanganyifu na si wakuaminika.
119 Di da wadela: i hamosu dunu huluane isu agoane ha: digisa. Amaiba: le, na da Dia hamoma: ne sia: i amoma nodosa.
Wewe huwaondoa waovu wa nchi kama takataka; kwa hiyo ninazipenda amri zako thabiti.
120 Na da Diba: le beda: sa. Dia moloidafa fofada: su houba: le, na da bagadewane beda: sa.
Mwili wangu hutetemeka kwa hofu yako, na ninaziogopa amri za haki yako. AYIN.
121 Na da hou noga: idafa amola moloidafa hamoi dagoi. Na ha lai dunu da na hasalasisa: besa: le, na mae yolesima.
Ninafanya kilicho sahihi na haki; usiniache kwa watesi wangu.
122 Na da Dia hawa: hamosu dunuba: le, Dia na fidima: ne ilegele sia: ma. Hidale gasa fifi dunu da na banenesisa: besa: le, Dia na fidima.
Uwe mdhamini wa ustawi wa mtumishi wako; usiwaache wenye kiburi wanionee.
123 Na da Dia gaga: musa: ilegele sia: i amo nama doaga: ma: ne, sosodo ouesalebeba: le, na da si sebe.
Macho yangu yanachoka kwa kuusubiri wokovu wako na neno lako la haki.
124 Dia mae fisili asigidafa hou defele, Dia na fidima. Amola Dia hamoma: ne sia: su nama olelema.
Mwoneshe mtumishi wako uaminifu wa agano lako, na unifundishe sheria zako.
125 Na da Dia hawa: hamosu dunu. Na da Dia olelesu noga: le dawa: musa: , asigi dawa: su bagade nama ima.
Mimi ni mtumishi wako; unipe uelewa ili niweze kuzijua amri za agano lako.
126 Hina Gode! Dia hawa: hamomu eso da doaga: i dagoi. Bai dunu ilia da Dia sema nabawane hame hamosa.
Ni wakati wa Yahwe kutenda, kwa maana watu wamevunja sheria yako.
127 Na da Dia hamoma: ne sia: su amoma hanai hou da gouli noga: idafa amoma hanai hou bagadewane baligisa.
Hakika ninazipenda amri zako kuliko dhahabu, naam, kuliko dhahabu safi.
128 Amaiba: le, na da Dia hamoma: ne sia: su huluane amoma fa: no bobogesa. Na da wadela: i hamosu logo amoga masunu higasa.
Hivyo ninayafuata maagizo yako yote kwa makini, na ninachukia kila njia ya uongo. PE.
129 Dia olelesu da noga: idafa. Na da na dogoa asigi dawa: su huluane amoga Dia olelesu nabawane hamosa.
Sheria zako ni za ajabu, ndiyo sababu ninazitii.
130 Dunu ilia da Dia olelesu liligi amo dawa: loma: ne olelesea, hadigi da maha amola hame dawa: su dunu da asigi dawa: su laha.
Ufafanuzi wa maneno yako huleta nuru; na kumpa ufahamu mjinga.
131 Na da Dia hamoma: ne sia: su dawa: musa: bagadewane hanaiba: le, na da helega ha: ha: sa.
Ninafungua kinywa changu na kutweta, maana ninazitamani amri zako.
132 Dia da Dima asigi dunu huluane ilima hamobe defele, nama ba: leguda: le, asigima.
Unigeukie na unihurumie, kama ufanyavyo siku zote kwa wale walipendao jina lako.
133 Dia ilegele sia: i defele, na dafasa: besa: le, amola wadela: i houga hasalasisa: besa: le, na fidima.
Uziongoze hatua zangu kwa neno lako; usiruhusu dhambi yeyote initawale.
134 Na da Dia hamoma: ne sia: i noga: le nabawane hamomusa: , nama ha lai dunu da na mae banenesima: ne, Dia na gaga: ma.
Unikomboe dhidi ya wanadamu waonevu ili niyatii maagizo yako.
135 Na hahawane ganoma: ne, Di nama misini, amola Dia sema nama olelema.
Uso wako umwangazie mtumishi wako, na unifundishe sheria zako.
136 Na si hano da hano yogo agoane daha. Bai dunu eno ilia Dia sema nabawane hame hamosa.
Mito ya machozi yatiririka kutoka machoni pangu kwa sababu watu hawaitii sheria yako. TSADHE.
137 Hina Gode! Di da moloidafa, amola Dia sema da moloidafa fofada: musa: defele gala.
Wewe ni mwenye haki, Yahwe, na amri zako ni haki.
138 Hamoma: ne sia: i Dia i da dafawane moloidafa amola moloidafa fofada: musa: defele gala.
Umezipa amri za agano lako haki na uaminifu.
139 Na ougi hou da na dogo ganodini lalu agoane nenana. Bai na ha lai dunu ilia da Dia hamoma: ne sia: su da hamedei liligi agoai ba: sa.
Hasira imeniangamiza kwa sababu adui zangu husahau maneno yako.
140 Dia ilegele sia: i da dafawanedafa dialumu. Na da Dia ilegele sia: i bagadewane hanasa.
Neno lako limepimwa sana, naye mtumishi wako analipenda.
141 Na da hamedei dunu agoai, amola eno dunu ilia da na higasa. Be na da Dia olelesu liligi hame fisiagasa.
Sina umuhimu na ninadharauliwa, lakini bado siyasahau maagizo yako.
142 Dia moloidafa hou da mae fisili eso huluane dialumu. Dia sema da eso huluane dafawanedafa diala.
Hukumu yako ni ya haki milele, na sheria yako ni ya kuaminika.
143 Na da da: i dioi bagade amola bidi hamosu bagade ba: sa. Be Dia hamoma: ne sia: su da nama hahawane hou iaha.
Japo dhiki na taabu vimenipata, amri zako bado ni furaha yangu.
144 Dia hamoma: ne sia: su da eso huluane moloidafa fofada: su defele gala. Na esaloma: ne, asigi dawa: su noga: i amo nama ima.
Amri za agano lako ni za haki milele; unipe uelewa ili niweze kuishi. QOPH.
145 Na asigi dawa: su huluane amoga na dima wele sia: sa. Hina Gode! Na sia: be amo dabe adole ima. Amasea, na da Dia hamoma: ne sia: su amo nabawane hamomu.
Nililia kwa moyo wangu wote, “Unijibu, Yahwe, nitazishika sheria zako.
146 Na Dima wele sia: sa. Na gaga: ma! Amasea, na da Dia sema didili hamomu.
Ninakuita wewe; uniokoe, nami nitazitii amri za agano lako.”
147 Eso da hame misia, na da Dia na fidima: ne wele sia: sa. Na da Dia ilegele sia: i nababeba: le, na da dafawane hamoma: beyale dawa: lusu lai dagoi.
NInaamka asubuhi kabla jua halijachomoza na kulia kwa ajili ya msaada.
148 Daeya ganini hadigibi galu, na da mae golale si dagane esala, Dia hamoma: ne sia: su dadawa: sa esala.
Ninatumaini katika maneno yako. Macho yangu yako wazi usiku kucha ili niweze kutafakari juu ya neno lako.
149 Hina Gode! Dia asigidafa hou da mae fisili dialebeba: le, na sia: nabima. Na esaloma: ne, Dia gogolema: ne olofole asigidafa hou nama olelema.
Sikia sauti yangu katika uaminifu wa agano lako; uniweke hai, Yahwe, kama ulivyoahidi katika amri zako za haki.
150 Nama se iabe dunu da dodona: gi, amola Dia sema hamedafa fa: no bobogesa. Ilia nama gadenena maha.
Wale wanaonitesa wananikaribia, lakini wako mbali na sheria yako.
151 Be Hina Gode! Di da na gadenene lela, amola Dia hamoma: ne sia: su da eso huluane dialumu.
Wewe uko karibu, Yahwe, na amri zako ni za kuaminika.
152 Musa: ganiniwane, na da Dia hamoma: ne sia: i amoga dawa: lai. Dia hamoma: ne sia: i da eso huluane dialoma: ne hahamoi.
Muda mrefu uliopita nilijifunza kutoka katika amri za agano lako ulizoziweka katika mahali pa milele. RESH.
153 Na se nabasu ba: ma! Amola na gaga: ma! Bai na da Dia sema noga: le ouligi.
Uyatazame mateso yangu na unisaidie, maana siisahau sheria yako.
154 Na hamobe hou amo gaga: ma, amola na halegale esaloma: ne hamoma. Dia ilegele sia: i defele, na gaga: ma.
Unitetee na kunikomboa; unihifadhi, kama ulivyo ahidi katika neno lako.
155 Wadela: i hamosu dunu da gaga: su hame ba: mu. Bai ilia da Dia sema nabawane hame hamosa.
Wokovu uko mbali na waovu, maana hawazipendi amri zako.
156 Be Hina Gode! Di hahanibi dunuma bagadedafa asigisa. Dia gogolema: ne olofole asigi hou nama olelema, amola na gaga: ma.
Matendo yako ya huruma ni makuu, Yahwe; uniweke hai; kama ufanyavyo siku zote.
157 Nama ha lai dunu amola nama banenesisu dunu da bagohame esafula. Be na da Dia sema fa: no bobogesu hame fisisa.
Watesi wangu na adui zangu ni wengi, lakini bado sijaenda mbali na amri za agano lako.
158 Na da amo hohonosu dunu ba: sea, na da bagadewane higale ba: sa. Bai ilia da Dia hamoma: ne sia: i amoma hame fa: no bobogesa.
Nimewaona wasaliti wakitia kinyaa kwa sababu hawalishiki neno lako.
159 Hina Gode! Ba: ma! Na da Dia hamoma: ne sia: su bagadewane hanasa. Dia asigidafa hou da afadenesu hame dawa: Amaiba: le, na gaga: ma!
Tazama jinsi niyapendavyo maagizo yako; uniweke hai, Yahwe, kama ulivyoahidi katika uaminifu wa agano lako.
160 Dia sema bai da dafawanedafa hou. Amola Dia moloidafa fofada: su huluane da eso huluane dialumu.
Kiini cha neno lako ni kweli; kila mmoja mwenye amri za haki hudumu milele. SHIN.
161 Gasa bagade dunu da bai hamedene, udigili nama doagala: sa. Be na da Dia sema amo fa: no bobogesa.
Wakuu hunitesa bila sababu; moyo wangu hutetemeka, ukiogopa kutolitii neno lako.
162 Dunu amo da gobolo liligi bagadedafa hahawane hogole ba: sea, amo defele na da Dia ilegele sia: su ba: sea, hahawane bagade gala.
Ninalifurahia neno lako kama apataye nyara nyingi.
163 Na da ogogosu hou huluane bagade higasa. Be na da Dia sema bagade hanasa.
Ninachukia na kudharau uongo, lakini naipenda sheria yako.
164 Di da moloidafa fofada: su hou hamonanebeba: le, na da eso huluane amoga, fesuale agoane Dima nodone sia: sa.
Mara saba kwa siku ninakusifu wewe kwa sababu ya amri zako za haki.
165 Nowa da Dia sema hamoma: ne hanaiwane esalea, ilia da gaga: iwane esala. Ilia da dafasu hame dawa:
Wana amani nyingi, waipendao sheria yako; hakuna cha kuwatia mashakani.
166 Hina Gode! Dia na gaga: ma: ne, na da ouesala. Amola na da Dia hamoma: ne sia: be defele hamonana.
Naungoja wokovu wako, Yahwe, na ninatii amri zako.
167 Na da Dia olelesu nabawane hamonana. Na da na dogo huluane amoga Dia olelesu hanasa.
Ninazishika amri zako thabiti, na ninazipenda sana.
168 Na da Dia hamoma: ne sia: su amo nabawane hamosa. Dia da na hamobe huluane ba: lala.
Ninayashika maagizo yako na amri zako thabiti, kwa maana unajua kila kitu nifanyacho. TAV.
169 Hina Gode! Na fidima: ne digini wele sia: su amo Dima doaga: ma: ne, logo doasima. Dia ilegele sia: i defele, dawa: lama: ne asigi dawa: su nama ima.
Sikia kilio changu, Yahwe; unipe uelewa wa neno lako.
170 Na sia: ne gadobe nabima. Amola Dia hamomusa: ilegei defele, na gaga: ma!
Maombi yangu yaje mbele zako; unisaidie, kama ulivyoahidi katika neno lako.
171 Na da eso huluane Dima nodone sia: nanumu. Bai Di da nama, Dia sema amo olelesa.
Midomo yangu na imwage sifa, maana wewe unanifundisha sheria zako.
172 Na da Dia sema amoga gesami lale hea: mu. Bai Dia hamoma: ne sia: su da moloi fofada: musa: defele gala.
Ulimi wangu na uimbe kuhusu neno lako, maana amri zako zote ni za haki.
173 Di eso huluane, na fidimusa: , momagele ouesaloma. Bai na da Dia hamoma: ne sia: su amoma fa: no bobogelala.
Mkono wako unisaidie, maana nimechagua maagizo yako.
174 Hina Gode! Dia fidima: ne gaga: su hou nama doaga: ma: ne, na da bagadewane hanasa. Na da Dia sema amo ganodini hahawane hou ba: sa.
Ninautamani wokovu wako, Yahwe, na sheria yako ni furaha yangu.
175 Na da Dima nodone sia: nanumusa: , esalusu nama ima. Dia hamoma: ne sia: su na fidimu da defea.
Naomba niishi na nikusifu wewe, na amri zako za haki zinisaidie.
176 Na da sibi fisi defele, doulalala. Na da Dia hawa: hamosu dunu. Amaiba: le, Dia na hogomusa: misa! Bai na da Dia hamoma: ne sia: i noga: le ouligi.
Nimetanga-tanga kama kondoo aliyepotea; mtafute mtumishi wako, kwa maana sijazisahau amri zako.

< Gesami Hea:su 119 >