< Gesami Hea:su 119 >

1 Nowa dunu ilia da giadofasu mae hamone, Hina Gode Ea Hamoma: ne sia: i nabawane hamonanea, ilia da hahawane bagade.
Heri wale walio waadilifu katika njia zao, wanaoenenda katika sheria ya Bwana.
2 Nowa da ilia asigi dawa: su huluane amoga Hina Gode Ea hamoma: ne sia: i amoma noga: le fa: no bobogesea, ilia da hahawane bagade.
Heri wale wanaozishika shuhuda zake, wamtafutao kwa moyo wao wote.
3 Ilia da giadofasu hame dawa: Ilia da Hina Gode Ea logodafa, amoga ahoa.
Wasiofanya lolote lililo baya, wanaoenenda katika njia zake.
4 Hina Gode! Di da Dia hamoma: ne sia: i ninima ianu, amo mae yolele nabawane hamoma: ne sia: i dagoi.
Umetoa maagizo yako ili tuyatii kwa ukamilifu.
5 Na da Dia hamoma: ne sia: i amo defele hamomusa: bagadewane hanai gala.
Laiti mwenendo wangu ungekuwa imara katika kuyatii maagizo yako!
6 Na da Dia sema amo noga: le nabawane hamosea, na da gogosiasu hame ba: mu.
Hivyo mimi sitaaibishwa ninapozingatia amri zako zote.
7 Na da Dia moloidafa fofada: su hou noga: le ado boba: lalea, na dogo da fofoloiba: le, na da Dima nodomu.
Nitakusifu kwa moyo mnyofu ninapojifunza sheria zako za haki.
8 Na da Dia hamoma: ne sia: i nabawane hamomu. Na maedafa yolesima!
Nitayatii maagizo yako; usiniache kabisa.
9 Ayeligi da habodane ea esalusu fofoloiwane ouligima: bela: ? E da Dia hamoma: ne sia: i amo nabawane hamosea, ea esalusu da fofoloi ba: mu.
Kijana aifanye njia yake kuwa safi jinsi gani? Ni kwa kutii, akilifuata neno lako.
10 Na dogoga huluane, na da Dima fa: no bobogemusa: dawa: Na da Dia hamoma: ne sia: i amo na da giadofasa: besa: le, Dia na fidima.
Ninakutafuta kwa moyo wangu wote, usiniache niende mbali na amri zako.
11 Na da Dia hamoma: ne sia: i amo na dogo ganodini dawa: i diala, amasea na da Dia hamoma: ne sia: i hame giadofale hamomu.
Nimelificha neno lako moyoni mwangu ili nisikutende dhambi.
12 Hina Gode! Na da Dima nodone sia: sa. Dia noga: idafa hou nama olelema.
Sifa ni zako, Ee Bwana, nifundishe maagizo yako.
13 Na da Dia hamoma: ne sia: i huluane nama i, amo eso huluane bu ha: giwane dabuasili adolalumu.
Kwa midomo yangu nitasimulia sheria zote zinazotoka katika kinywa chako.
14 Dia hamoma: ne sia: i amo na da nodone amo fawane baligili fa: no bobogesa. Na liligi bagade amo gagumusa: hame dawa: sa.
Ninafurahia kufuata sheria zako kama mtu afurahiaye mali nyingi.
15 Na da Dia hamoma: ne sia: i amo dadawa: le bai hogosa. Na da Dia olelesu hou amo abodesa.
Ninatafakari maagizo yako na kuziangalia njia zako.
16 Na da Dia sema hamoi amoma bagadewane nodonana, amola Dia hamoma: ne sia: i, amo na hamedafa gogolemu.
Ninafurahia maagizo yako, wala sitalipuuza neno lako.
17 Na da Dia hawa: hamosu dunu. Nama nodone ba: ma. Amasea na da esalawane Dia hamoma: ne olelei amo hamonanumu.
Mtendee mema mtumishi wako, nami nitaishi; nitalitii neno lako.
18 Na si Dia fadegalesima, amasea na da Dia sema hamoi moloidafa amo ba: mu.
Yafungue macho yangu nipate kuona mambo ya ajabu katika sheria yako.
19 Na da eso bagahame fawane osobo bagadega esalumu. Amaiba: le, Dia hamoma: ne sia: i amo nama mae wamolegema.
Mimi ni mgeni duniani, usinifiche amri zako.
20 Na da eso huluane Dia moloidafa fofada: su hou dawa: ma: ne bagadewane hanaiba: le, na dogo ganodini se naba.
Nafsi yangu inataabika kwa shauku kubwa juu ya sheria zako wakati wote.
21 Di da hidale gasa fibi dunuma gagabole sia: sa. Nowa da Dia hamoma: ne sia: i hame nabasea, gagabusu da ilima aligisa.
Unawakemea wenye majivuno, waliolaaniwa waendao mbali na amri zako.
22 Na da ilia gadesu amola higasu hou bu mae ba: ma: ne, Dia na fidima. Bai na da Dia sema huluane nabawane hamonanu.
Niondolee dharau na dhihaka, kwa kuwa ninazishika sheria zako.
23 Ouligisu dunu da gilisili, na wadela: ma: ne ilegelala. Be na da Dia olelesu amo dawa: digima: ne bai hogosa.
Ingawa watawala huketi pamoja na kunisingizia, mtumishi wako atatafakari juu ya maagizo yako.
24 Na da Dia hamoma: ne sia: i hahawane ba: sa. Dia hamoma: ne sia: i liligi huluane da nama fada: i sia: su dunu agoane gala.
Sheria zako ni furaha yangu, nazo ni washauri wangu.
25 Na da hasalasiba: le, gulu dabolei diala. Na da Dia ilegele sia: i defele, Dia na esaloma: ne bu uhinisima.
Nimelazwa chini mavumbini, yahifadhi maisha yangu sawasawa na neno lako.
26 Na da na wadela: i hou hamoi huluane sisane fofada: i. Amola Di da amo nabawane bu dabe adole i. Dia moloidafa hou nama olelema.
Nilikueleza njia zangu ukanijibu, nifundishe sheria zako.
27 Dia sema hamoi na noga: le dawa: digima: ne, na fidima. Amola na da Dia noga: idafa olelebe noga: le dadawa: lalumu.
Nijulishe mafundisho ya mausia yako, nami nitatafakari maajabu yako.
28 Na da bagadedafa fofagiba: le, hasalasi dagoi ba: sa. Dia ilegei sia: i defele, nama gasa ima.
Nafsi yangu imechakazwa kwa huzuni, uniimarishe sawasawa na neno lako.
29 Na giadofale ahoasa: besa: le, noga: le ouligima. Dia fidimusa: ilegele sia: i defele, nama gasa ima.
Niepushe na njia za udanganyifu, kwa neema unifundishe sheria zako.
30 Na da Dia hou noga: le nabawane hamomusa: ilegei. Na da Dia moloidafa fofada: su noga: le nabawane dadawa: i galu.
Nimechagua njia ya kweli, nimekaza moyo wangu katika sheria zako.
31 Hina Gode! Na da Dia hamoma: ne sia: i, amoma noga: le fa: no bobogei. Na gogosiama: ne mae hamoma.
Nimengʼangʼania sheria zako, Ee Bwana, usiniache niaibishwe.
32 Na da Dia hamoma: ne sia: ne iasu hanaiwane nabawane hamomu. Bai Di da nama fada: ne dawa: su bagade imunu.
Nakimbilia katika njia ya maagizo yako, kwa kuwa umeuweka moyo wangu huru.
33 Hina Gode! Dia sema ea bai dawa: loma: ne nama olelema. Amola na da Dia sema amoga eso huluane fa: no bobogemu.
Ee Bwana, nifundishe kuyafuata maagizo yako, nami nitayashika mpaka mwisho.
34 Dia sema ea bai nama noga: le olelema. Amasea, na da na gasa huluane amoga Dia hamoma: ne sia: i fa: no bobogelalumu.
Nipe ufahamu, nami nitaishika sheria yako na kuitii kwa moyo wangu wote.
35 Dia hamoma: ne sia: i na noga: le fa: no bobogelaloma: ne, Dia ouligima. Bai amo hamoma: ne sia: i da nama hahawane hou iaha.
Niongoze kwenye njia ya amri zako, kwa kuwa huko napata furaha.
36 Di da nama bagade gagumusa: hanasu mae iawane, Dia sema amoma fa: no bobogema: ne hanai fawane nama ima.
Ugeuze moyo wangu kuelekea sheria zako, na siyo kwenye mambo ya ubinafsi.
37 Na da hamedei liligi amoma bagadewane dawa: sa: besa: le, na amo mae hamoma: ne fidima. Dia ilegele sia: i defele, nama noga: idafa hou hamoma.
Geuza macho yangu kutoka kwenye mambo yasiyofaa, uyahifadhi maisha yangu sawasawa na neno lako.
38 Di da nowa dunu da Dia sia: nabawane hamosea, ema hahawane hamomusa: ilegele sia: i. Amo na da Dia hawa: hamosu dunuba: le, Dia ilegele sia: i amo nama hamoma.
Mtimizie mtumishi wako ahadi yako, ili upate kuogopwa.
39 Na da nama ha lai dunu ilia nama gadesu, amoga beda: sa. Dia na gaga: ma. Dia moloidafa fofada: su hou da noga: idafa.
Niondolee aibu ninayoiogopa, kwa kuwa sheria zako ni njema.
40 Na da Dia hamoma: ne sia: i amo nabawane hamomu hanai gala. Esalusu gaheabolo nama ima. Bai Di da moloidafaba: le.
Tazama jinsi ninavyoonea shauku mausia yako! Hifadhi maisha yangu katika haki yako.
41 Hina Gode! Dia nama asigi hou da habowaliyale amo nama olelema! Dia ilegele sia: i defele, na gaga: ma!
Ee Bwana, upendo wako usiokoma unijie, wokovu wako sawasawa na ahadi yako,
42 Amasea, na da dunu amo da nama gadebe, ilima dabe sia: musa: dawa: mu. Bai na Dia sia: dafawaneyale dawa: sa.
ndipo nitakapomjibu anayenidhihaki, kwa kuwa ninalitumainia neno lako.
43 Na da eso huluane moloidafa sia: amo sia: noma: ne, Di hamoma. Bai na dafawane hamoma: beyale dawa: su da Dia fofada: su hou amo ganodini diala.
Usilinyakue neno la kweli kutoka kinywani mwangu, kwa kuwa nimeweka tumaini langu katika amri zako.
44 Na da Dia sema huluane, mae fisili, eso huluane nabawane hahamona ahoanumu.
Nitaitii amri yako daima, naam, milele na milele.
45 Na da halegale noga: ledafa lalalumu. Bai na da Dia olelesu adoba: le fa: no bobogele ba: sa.
Nitatembea nikiwa huru, kwa kuwa nimejifunza mausia yako.
46 Na da Dia hamoma: ne sia: be, amo hina bagade ilia odagiaba olelemu. Na da hame gogosiamu.
Nitasema sheria zako mbele za wafalme wala sitaaibishwa,
47 Na da Dia hamoma: ne sia: i nabawane hamonanebeba: le, hahawane ba: sa. Bai na da amo bagade hanasa.
kwa kuwa ninazifurahia amri zako kwa sababu ninazipenda.
48 Na da Dia hamoma: ne sia: i amo gaguia gadosa, amola amoma hanasa. Na da Dia: hamoma: ne sia: i amo dadawa: lalumu.
Ninaziinulia amri zako ambazo ninazipenda mikono yangu, nami ninatafakari juu ya maagizo yako.
49 Na da Dia hawa: hamosu dunu, amola Di da nama hahawane ilegele sia: beba: le, na da dafawane hamoma: beyale dawa: lusu lai dagoi. Amo ilegele sia: i bu dawa: ma.
Kumbuka neno lako kwa mtumishi wako, kwa sababu umenipa tumaini.
50 Na se nabasu ganodini amolawane, na dogo da denesi. Bai Dia ilegele sia: i da nama fifi ahoanusu i dagoi.
Faraja yangu katika mateso yangu ni hii: Ahadi yako inahifadhi maisha yangu.
51 Hidale gasa fi dunu da eso huluane nama higale ba: sa. Be na Dia sema amo fa: no bobogebe hame yolesi.
Wenye majivuno wamenisimanga bila kuchoka, hata hivyo sitaiacha sheria yako.
52 Dia musa: hemonega fofada: su hou, na da dawa: lala. Hina Gode! Amo da na dogo denesisa.
Ee Bwana, ninazikumbuka sheria zako za zamani, nazo zinanifariji.
53 Wadela: idafa dunu da Dia sema wadela: lesilalebe na ba: sea, na da ougi bagadewane ba: sa.
Nimeshikwa sana na ghadhabu kwa ajili ya waovu, ambao wameacha sheria yako.
54 Na da osobo bagadega ode bagahame esalu. Be na da Dia sema olelema: ne, gesami hea: su hahamosa.
Maagizo yako ni kiini cha nyimbo zangu popote ninapoishi.
55 Hina Gode! Na da gasia Di fofagini dadawa: lala. Amola na da Dia sema dadawa: lala.
Ee Bwana, wakati wa usiku ninalikumbuka jina lako, nami nitatii sheria yako.
56 Na da Dia hamoma: ne sia: i nabawane hamobeba: le, hahawane bagade ba: sa.
Hili limekuwa zoezi langu: nami ninayatii mausia yako.
57 Hina Gode! Na da Dima fawane hanai. Na da Dia sema fa: no bobogemusa: ilegele sia: sa.
Ee Bwana, wewe ni fungu langu, nimeahidi kuyatii maneno yako.
58 Na Dima ha: giwane edegesa! Dia ilegele sia: i defele, na wadela: i hou gogolema: ne olofole, nama asigima.
Nimetafuta uso wako kwa moyo wangu wote, nihurumie sawasawa na ahadi yako.
59 Na da nina: hou abodele, Dia hamoma: ne sia: i amoma fa: no bobogemusa: , ilegele sia: sa.
Nimezifikiri njia zangu na nimeelekeza hatua zangu katika mausia yako.
60 Mae oualigili, na da hedolowane Dia hamoma: ne sia: i nabawane hamomusa: ahoa.
Nitafanya haraka bila kuchelewa kuzitii amri zako.
61 Wadela: i hamosu dunu da na sa: ima: ne sanenesi. Be na da Dia sema hame gogolesa.
Hata waovu wanifunge kwa kamba, sitasahau sheria yako.
62 Gasi dogoa, na da nedigili, Dia moloidafa fofada: su hou amoma nodosa.
Usiku wa manane ninaamka kukushukuru kwa sababu ya sheria zako za haki.
63 Na da dunu huluane ilia da Dima hawa: hamosa amola Dia sema nabawane hamosa, ili huluane na dogolegei na: iyado agoane ba: sa.
Mimi ni rafiki kwa wale wote wakuchao, kwa wote wanaofuata mausia yako.
64 Hina Gode! Osobo bagade da Dia mae fisili asigidafa hou amoga nabai gala. Dia hamoma: ne sia: i, amo nama olelema.
Ee Bwana, dunia imejaa upendo wako, nifundishe maagizo yako.
65 Hina Gode! Di da Dia ilegele sia: i didili hamoi dagoi. Na da Dia hawa: hamosu dunu, amola Di da nama noga: le hamosa.
Mtendee wema mtumishi wako Ee Bwana, sawasawa na neno lako.
66 Nama bagade dawa: su amola hamoma: ne dawa: su ima. Bai na da Dia hamoma: ne sia: i amo dafawaneyale dawa: sa.
Nifundishe maarifa na uamuzi mzuri, kwa kuwa ninaamini amri zako.
67 Musa: , Di da nama se bidi hame i amogalu, na da giadofale ahoasu. Be wali, na da Dia sia: amo nabawane hamosa.
Kabla sijapata shida nilipotea njia, lakini sasa ninalitii neno lako.
68 Di da noga: idafa amola asigidafa. Dia hamoma: ne sia: i, amo nama olelema.
Wewe ni mwema, unalotenda ni jema, nifundishe maagizo yako.
69 Hidale gasa fi dunu da na hou ogogole olelei. Be na da na dogo huluane amoga Dia hamoma: ne sia: i amo nabawane hamonana.
Ingawa wenye majivuno wamenisingizia uongo, nitafuata mausia yako kwa moyo wangu wote.
70 Ilia da asigi dawa: su hame gala. Be na da Dia sema hamonanebeba: le, hahawane ba: sa.
Mioyo yao ni katili na migumu, bali mimi napendezwa na sheria yako.
71 Nama se bidi iasu da na hou noga: le fidi. Bai amoga na da Dia hamoma: ne sia: i noga: le dadawa: ahoasu.
Ilikuwa vyema mimi kupata shida ili nipate kujifunza maagizo yako.
72 Na ba: loba, sema amo Dia nama i, da osobo bagade su huluanedafa baligisa.
Sheria inayotoka kinywani mwako ina thamani kubwa kwangu kuliko maelfu ya vipande vya fedha na dhahabu.
73 Hina Gode! Di da na hahamoi, amola Di da na gaga: lala. Na da Dia sema huluane dadawa: musa: asigi dawa: su noga: i nama ima.
Mikono yako ilinifanya na kuniumba, nipe ufahamu niweze kujifunza amri zako.
74 Nowa dunu da Dima nodone dawa: sea, ilia da na ba: sea, nodomu. Bai na da Dia ilegele sia: su amo dafawaneyale dawa: sa.
Wakuchao wafurahie wanaponiona, kwa kuwa nimeweka tumaini langu katika neno lako.
75 Hina Gode! Dia fofada: su hou da moloidafa, amo na dawa: Amola dia nama se bidi iasu, bai da Dia mae fisili asigidafa hou olelesa.
Ee Bwana, ninajua kwamba sheria zako ni za haki, katika uaminifu wako umeniadhibu.
76 Dia mae fisili asigidafa hou da na dogo denesimu da defea. Bai na da Dia hawa: hamosu dunu, amola Di da amo nama defele hamoma: ne sia: i.
Upendo wako usiokoma uwe faraja yangu, sawasawa na ahadi yako kwa mtumishi wako.
77 Na esaloma: ne, Dia nama asigima! Bai na da Dia sema hahawane hamonana.
Huruma yako na inijie ili nipate kuishi, kwa kuwa naifurahia sheria yako.
78 Hidale gasa fibi dunu da ogogole nama diwaneya udidiba: le, ilia gogosiamu da defea. Be na da Dia hamoma: ne sia: su amo na asigi dawa: su ganodini dadawa: lalumu.
Wenye majivuno na waaibishwe kwa kunikosea mimi bila sababu, lakini mimi nitatafakari juu ya mausia yako.
79 Nowa dunu da Dima nodosa amola Dia hamoma: ne sia: i noga: le dawa: sa, ilia da nama misunu da defea.
Wale wakuchao na wanigeukie mimi, hao ambao wanazielewa sheria zako.
80 Na da Dia hamoma: ne sia: i noga: ledafa nabawane hamomu da defea. Amasea, na da hame hasalasiba: le, hame gogosiamu.
Moyo wangu usiwe na lawama katika kutii maagizo yako, ili nisiaibishwe.
81 Na da Dia gaga: su hou ba: musa: ouesalebeba: le, na da gufia: i dagoi. Na da Dia sia: fawane dafawaneyale dawa: sa.
Nafsi yangu inazimia kwa kutamani wokovu wako, lakini nimeweka tumaini langu katika neno lako.
82 Na da Dia ilegele sia: i hou doaga: ma: ne sosodo aligibiba: le, na da si sebe. Na da amane adole ba: sa, “Di da habogala na fidima: bela: ?”
Macho yangu yamefifia, nikingoja ahadi yako; ninasema, “Utanifajiri lini?”
83 Na da ohe gadofoga waini hano disu ha: digi dagoi defele ba: sa. Be na da Dia hamoma: ne sia: i hame gogolei.
Ingawa nimekuwa kama kiriba kwenye moshi, bado sijasahau maagizo yako.
84 Na da habowali seda ouesaloma: bela: ? Dia da habogala nama se iabe dunu, ilima se dabe ima: bela: ?
Mtumishi wako itampasa angoje mpaka lini? Ni lini utawaadhibu washtaki wangu?
85 Hidale gasa fibi dunu amo da Dia sema nabawane hame hamosa, ilia da na sa: ima: ne uli dogonesi.
Wenye majivuno wananichimbia mashimo, kinyume na sheria yako.
86 Dia hamoma: ne sia: i huluane da dafawaneyale dawa: mu defele gala. Dunu eno ilia da na hou ogogole sia: beba: le, nama se bagade iaha. Dia na fidima!
Amri zako zote ni za kuaminika; unisaidie, kwa sababu watu wananishtaki bila sababu.
87 Ilia da na gadenenewane fane legei dagoi. Be na da Dia hamoma: ne sia: su amo hame fisiagai.
Walikaribia kabisa kunifuta kutoka uso wa dunia, lakini sijaacha mausia yako.
88 Di da eso huluane mae fisili asigidafa hou hamonana. Amaiba: le, Dia nama asigidafa hou hamoma. Amasea, na da Dia sema nabawane hamomu.
Yahifadhi maisha yangu sawasawa na upendo wako, nami nitatii sheria za kinywa chako.
89 Hina Gode! Dia Sia: da eso huluane dialumu. Dia Sia: da Hebene ganodini, eso huluane dialumu.
Ee Bwana, neno lako ni la milele, linasimama imara mbinguni.
90 Dia mae fisili, asigidafa hou da eso huluane dialumu. Di da osobo bagade ea dialoba amogai ligisi. E da amogaiwane diala.
Uaminifu wako unaendelea kwa vizazi vyote, umeiumba dunia, nayo inadumu.
91 Di da liligi huluane ouligisa. Di da amo hamoma: ne sia: beba: le, liligi huluanedafa da ilia dialoba amogaiwane diala.
Sheria zako zinadumu hadi leo, kwa kuwa vitu vyote vinakutumikia.
92 Na da se nabawane esalu. Be Dia sema da nama hahawane hou ea bai hame ganiaba, na da se nabawane bogola: loba.
Kama nisingefurahia sheria yako, ningeangamia katika taabu zangu.
93 Na da Dia hamoma: ne sia: su amo mae fisili noga: ledafa ouligimu. Bai amoga Di da na esaloma: ne fidi.
Sitasahau mausia yako kamwe, kwa maana kwayo umehifadhi maisha yangu.
94 Na da Dia: ! Na fidima! Na da Dia hamoma: ne sia: i amo adoba: le fa: no bobogei.
Uniokoe, kwa maana mimi ni wako, kwa kuwa nimetafuta mausia yako.
95 Wadela: i hamosu dunu da na fane legema: ne ouesala. Be na da Dia sema amo na asigi dawa: su ganodini dawa: lalumu.
Waovu wanangojea kuniangamiza, bali mimi ninatafakari sheria zako.
96 Na da ba: loba, liligi huluane da dagomu bidi gala. Be Dia hamoma: ne sia: i da noga: idafa.
Katika ukamilifu wote ninaona mna kikomo, lakini amri zako hazina mpaka.
97 Na da Dia sema amoma bagadewane asigisa. Na da hahabe asili daeya, eso huluane amoga Dia sema dadawa: lala.
Aha! Tazama, sheria yako naipenda mno ajabu. Ninaitafakari mchana kutwa.
98 Dia hamoma: ne sia: i da eso huluane nama gilisisa. Dia hamoma: ne sia: i da na dawa: su hou amo nama ha lai dunu ilia dawa: su hou baligima: ne hamosa.
Amri zako zimenipa hekima zaidi kuliko adui zangu, kwa kuwa nimezishika daima.
99 Na dawa: su da nama olelesu dunu ilia dawa: su amo baligisa. Bai na da Dia hamoma: ne sia: su amo na asigi dawa: su ganodini dadawa: lala.
Nina akili zaidi kuliko walimu wangu wote, kwa kuwa ninatafakari juu ya sheria zako.
100 Na asigi dawa: su da da: i hamoi dunu ilia asigi dawa: su baligisa. Bai na da Dia hamoma: ne sia: su amo nabawane hamosa.
Nina ufahamu zaidi kuliko wazee, kwa kuwa ninayatii mausia yako.
101 Na da wadela: i hou hamosu amoma hame gilisi. Bai na da Dia sia: nabawane hamomusa: hanai gala.
Nimezuia miguu yangu isiende kwenye kila njia mbaya, ili niweze kutii neno lako.
102 Na da Dia hamoma: ne sia: su hame fisiagasu. Bai Dia Disu da na Olelesu Dunu.
Sijaziacha sheria zako, kwa kuwa umenifundisha wewe mwenyewe.
103 Dia hamoma: ne sia: su da hedai bagade. Ilia hedai da agime hano ea hedai baligisa.
Tazama jinsi maneno yako yalivyo matamu kwangu, matamu kuliko asali katika kinywa changu!
104 Dia sema da bagade dawa: su nama iaha. Amaiba: le, na da wadela: i hou hamobe huluane higasa.
Ninapata ufahamu kutoka mausia yako, kwa hiyo ninachukia kila njia ya upotovu.
105 Dia sia: da nama logo olelesu gamali defele gala. Dia sia: da na logo ba: ma: ne hadigi digagala: sa
Neno lako ni taa ya miguu yangu na mwanga katika njia yangu.
106 Na da Dia moloidafa hamoma: ne sia: i amo nabawane hamomusa: ilegele sia: i dagoi. Amo ilegele sia: i, na da hame gogolemu.
Nimeapa na nimethibitisha, kwamba nitafuata sheria zako za haki.
107 Hina Gode! Na da baligiliwane se naba. Dia musa: ilegele sia: i defele, na mae bogole esaloma: ne fidima.
Nimeteseka sana, uhifadhi maisha yangu, Ee Bwana, sawasawa na neno lako.
108 Hina Gode! Na Dima nodone sia: ne gadosu amo nabima. Dia hamoma: ne sia: su amo nama olelema.
Ee Bwana, pokea sifa za hiari za kinywa changu, nifundishe sheria zako.
109 Na Dima fa: no bobogemusa: , na esalusu fisimusa: momagele esala. Na da Dia sema hame gogolei.
Ingawa maisha yangu yako hatarini siku zote, sitasahau sheria yako.
110 Wadela: i hamosu dunu da na sa: ima: ne sanenesisa. Be na da Dia hamoma: ne sia: i mae fisili nabawane hamonana.
Waovu wamenitegea mtego, lakini sijayakiuka maagizo yako.
111 Na da Dia hamoma: ne sia: su mae fisili, eso huluane gagui dialebe ba: mu. Dia hamoma: ne sia: i da nama hahawane hou iaha.
Sheria zako ni urithi wangu milele, naam ni furaha ya moyo wangu.
112 Na da agoane ilegei dagoi. Na da Dia sema amo fa: no bobogelaleawane, na bogomu eso doaga: mu.
Nimekusudia moyoni mwangu kuyafuata maagizo yako mpaka mwisho.
113 Dunu amo da Dima noga: le hame fa: no bobogebe, na da higasa. Be na da Dia sema amoma asigisa.
Ninachukia watu wa nia mbili, lakini ninapenda sheria yako.
114 Di da na gesu amola na gaga: su. Na dafawane hamoma: beyale dawa: su ea bai da Dia ilegele sia: su.
Wewe ni kimbilio langu na ngao yangu, nimeweka tumaini langu katika neno lako.
115 Dili wadela: i hamosu dunu! Gasigama! Na da na Gode Ea hamoma: ne sia: i nabawane hamomu.
Ondokeni kwangu, ninyi mtendao mabaya, ili niweze kushika amri za Mungu wangu!
116 Hina Gode! Dia ilegele sia: i defele, nama gasa ima! Amasea, na da esalumu. Na dafawane hamoma: beyale dawa: su fisisa: besa: le, Dia fidima.
Nihifadhi sawasawa na ahadi yako, nami nitaishi; usiache matumaini yangu yakavunjwa.
117 Na dafasa: besa: le, na gaguma. Amasea, na da gaga: i dagoi ba: mu. Amola na da mae fisili, Dia hamoma: ne sia: i dadawa: lalu, nabawane hamomu.
Nitegemeze, nami nitaokolewa, nami daima nitayaheshimu maagizo yako.
118 Di da nowa dunu da Dia sema nabawane hame hamosea, Di da ili higale fisiagasa. Ilia ogogole ilegesu da hamedei liligi.
Unawakataa wote wanaoyaasi maagizo yako, kwa maana udanganyifu wao ni bure.
119 Di da wadela: i hamosu dunu huluane isu agoane ha: digisa. Amaiba: le, na da Dia hamoma: ne sia: i amoma nodosa.
Waovu wa nchi unawatupa kama takataka, kwa hivyo nazipenda sheria zako.
120 Na da Diba: le beda: sa. Dia moloidafa fofada: su houba: le, na da bagadewane beda: sa.
Mwili wangu unatetemeka kwa kukuogopa wewe, ninaziogopa sheria zako.
121 Na da hou noga: idafa amola moloidafa hamoi dagoi. Na ha lai dunu da na hasalasisa: besa: le, na mae yolesima.
Nimetenda yaliyo haki na sawa, usiniache mikononi mwa watesi wangu.
122 Na da Dia hawa: hamosu dunuba: le, Dia na fidima: ne ilegele sia: ma. Hidale gasa fifi dunu da na banenesisa: besa: le, Dia na fidima.
Mhakikishie mtumishi wako usalama, usiache wenye kiburi wanionee.
123 Na da Dia gaga: musa: ilegele sia: i amo nama doaga: ma: ne, sosodo ouesalebeba: le, na da si sebe.
Macho yangu yamefifia, yakitazamia wokovu wako, na kuitazamia ahadi yako ya kweli.
124 Dia mae fisili asigidafa hou defele, Dia na fidima. Amola Dia hamoma: ne sia: su nama olelema.
Mfanyie mtumishi wako kulingana na upendo wako na unifundishe maagizo yako.
125 Na da Dia hawa: hamosu dunu. Na da Dia olelesu noga: le dawa: musa: , asigi dawa: su bagade nama ima.
Mimi ni mtumishi wako; nipe ufahamu ili niweze kuelewa sheria zako.
126 Hina Gode! Dia hawa: hamomu eso da doaga: i dagoi. Bai dunu ilia da Dia sema nabawane hame hamosa.
Ee Bwana, wakati wako wa kutenda umewadia, kwa kuwa sheria yako inavunjwa.
127 Na da Dia hamoma: ne sia: su amoma hanai hou da gouli noga: idafa amoma hanai hou bagadewane baligisa.
Kwa sababu nazipenda amri zako zaidi ya dhahabu, naam, zaidi ya dhahabu safi,
128 Amaiba: le, na da Dia hamoma: ne sia: su huluane amoma fa: no bobogesa. Na da wadela: i hamosu logo amoga masunu higasa.
na kwa sababu naona maagizo yako yote ni adili, nachukia kila njia potovu.
129 Dia olelesu da noga: idafa. Na da na dogoa asigi dawa: su huluane amoga Dia olelesu nabawane hamosa.
Sheria zako ni za ajabu, hivyo ninazitii.
130 Dunu ilia da Dia olelesu liligi amo dawa: loma: ne olelesea, hadigi da maha amola hame dawa: su dunu da asigi dawa: su laha.
Kuingia kwa maneno yako kunaleta nuru, kunampa mjinga ufahamu.
131 Na da Dia hamoma: ne sia: su dawa: musa: bagadewane hanaiba: le, na da helega ha: ha: sa.
Nimefungua kinywa changu na kuhema, nikitamani amri zako.
132 Dia da Dima asigi dunu huluane ilima hamobe defele, nama ba: leguda: le, asigima.
Nigeukie na unihurumie, kama uwafanyiavyo siku zote wale wanaolipenda jina lako.
133 Dia ilegele sia: i defele, na dafasa: besa: le, amola wadela: i houga hasalasisa: besa: le, na fidima.
Ongoza hatua zangu kulingana na neno lako, usiache dhambi yoyote initawale.
134 Na da Dia hamoma: ne sia: i noga: le nabawane hamomusa: , nama ha lai dunu da na mae banenesima: ne, Dia na gaga: ma.
Niokoe na uonevu wa wanadamu, ili niweze kutii mausia yako.
135 Na hahawane ganoma: ne, Di nama misini, amola Dia sema nama olelema.
Mwangazie mtumishi wako uso wako na unifundishe amri zako.
136 Na si hano da hano yogo agoane daha. Bai dunu eno ilia Dia sema nabawane hame hamosa.
Chemchemi za machozi zinatiririka kutoka machoni yangu, kwa kuwa sheria yako haifuatwi.
137 Hina Gode! Di da moloidafa, amola Dia sema da moloidafa fofada: musa: defele gala.
Ee Bwana, wewe ni mwenye haki, sheria zako ni sahihi.
138 Hamoma: ne sia: i Dia i da dafawane moloidafa amola moloidafa fofada: musa: defele gala.
Sheria ulizoziweka ni za haki, ni za kuaminika kikamilifu.
139 Na ougi hou da na dogo ganodini lalu agoane nenana. Bai na ha lai dunu ilia da Dia hamoma: ne sia: su da hamedei liligi agoai ba: sa.
Jitihada yangu imenidhoofisha, kwa kuwa adui zangu wanayapuuza maneno yako.
140 Dia ilegele sia: i da dafawanedafa dialumu. Na da Dia ilegele sia: i bagadewane hanasa.
Ahadi zako zimejaribiwa kikamilifu, mtumishi wako anazipenda.
141 Na da hamedei dunu agoai, amola eno dunu ilia da na higasa. Be na da Dia olelesu liligi hame fisiagasa.
Ingawa ni mdogo na ninadharauliwa, sisahau mausia yako.
142 Dia moloidafa hou da mae fisili eso huluane dialumu. Dia sema da eso huluane dafawanedafa diala.
Haki yako ni ya milele, na sheria yako ni kweli.
143 Na da da: i dioi bagade amola bidi hamosu bagade ba: sa. Be Dia hamoma: ne sia: su da nama hahawane hou iaha.
Shida na dhiki zimenipata, lakini amri zako ni furaha yangu.
144 Dia hamoma: ne sia: su da eso huluane moloidafa fofada: su defele gala. Na esaloma: ne, asigi dawa: su noga: i amo nama ima.
Sheria zako ni sahihi milele, hunipa ufahamu ili nipate kuishi.
145 Na asigi dawa: su huluane amoga na dima wele sia: sa. Hina Gode! Na sia: be amo dabe adole ima. Amasea, na da Dia hamoma: ne sia: su amo nabawane hamomu.
Ee Bwana, ninakuita kwa moyo wangu wote, nami nitayatii maagizo yako.
146 Na Dima wele sia: sa. Na gaga: ma! Amasea, na da Dia sema didili hamomu.
Ninakuita; niokoe nami nitazishika sheria zako.
147 Eso da hame misia, na da Dia na fidima: ne wele sia: sa. Na da Dia ilegele sia: i nababeba: le, na da dafawane hamoma: beyale dawa: lusu lai dagoi.
Ninaamka asubuhi na mapema na kukuomba msaada; nimeweka tumaini langu katika neno lako.
148 Daeya ganini hadigibi galu, na da mae golale si dagane esala, Dia hamoma: ne sia: su dadawa: sa esala.
Sikufumba macho yangu usiku kucha, ili niweze kutafakari juu ya ahadi zako.
149 Hina Gode! Dia asigidafa hou da mae fisili dialebeba: le, na sia: nabima. Na esaloma: ne, Dia gogolema: ne olofole asigidafa hou nama olelema.
Usikie sauti yangu sawasawa na upendo wako, Ee Bwana, uyahifadhi maisha yangu, sawasawa na sheria zako.
150 Nama se iabe dunu da dodona: gi, amola Dia sema hamedafa fa: no bobogesa. Ilia nama gadenena maha.
Wale wanaopanga mipango miovu wako karibu nami, lakini wako mbali na sheria yako.
151 Be Hina Gode! Di da na gadenene lela, amola Dia hamoma: ne sia: su da eso huluane dialumu.
Ee Bwana, hata hivyo wewe u karibu, na amri zako zote ni za kweli.
152 Musa: ganiniwane, na da Dia hamoma: ne sia: i amoga dawa: lai. Dia hamoma: ne sia: i da eso huluane dialoma: ne hahamoi.
Tangu zamani nimejifunza kutoka shuhuda zako kwamba umezithibitisha ili zidumu milele.
153 Na se nabasu ba: ma! Amola na gaga: ma! Bai na da Dia sema noga: le ouligi.
Yaangalie mateso yangu, uniokoe, kwa kuwa sijasahau sheria yako.
154 Na hamobe hou amo gaga: ma, amola na halegale esaloma: ne hamoma. Dia ilegele sia: i defele, na gaga: ma.
Nitetee katika hali hii yangu na unikomboe, uyahifadhi maisha yangu sawasawa na ahadi yako.
155 Wadela: i hamosu dunu da gaga: su hame ba: mu. Bai ilia da Dia sema nabawane hame hamosa.
Wokovu uko mbali na waovu, kwa kuwa hawatafuti maagizo yako.
156 Be Hina Gode! Di hahanibi dunuma bagadedafa asigisa. Dia gogolema: ne olofole asigi hou nama olelema, amola na gaga: ma.
Ee Bwana, huruma zako ni kuu, uyahifadhi maisha yangu sawasawa na sheria zako.
157 Nama ha lai dunu amola nama banenesisu dunu da bagohame esafula. Be na da Dia sema fa: no bobogesu hame fisisa.
Adui wanaonitesa ni wengi, lakini mimi sitaziacha sheria zako.
158 Na da amo hohonosu dunu ba: sea, na da bagadewane higale ba: sa. Bai ilia da Dia hamoma: ne sia: i amoma hame fa: no bobogesa.
Ninawatazama wasioamini kwa chuki, kwa kuwa hawalitii neno lako.
159 Hina Gode! Ba: ma! Na da Dia hamoma: ne sia: su bagadewane hanasa. Dia asigidafa hou da afadenesu hame dawa: Amaiba: le, na gaga: ma!
Tazama jinsi ninavyopenda mausia yako; Ee Bwana, uyahifadhi maisha yangu, sawasawa na upendo wako.
160 Dia sema bai da dafawanedafa hou. Amola Dia moloidafa fofada: su huluane da eso huluane dialumu.
Maneno yako yote ni kweli, sheria zako zote za haki ni za milele.
161 Gasa bagade dunu da bai hamedene, udigili nama doagala: sa. Be na da Dia sema amo fa: no bobogesa.
Watawala wamenitesa bila sababu, lakini moyo wangu unatetemeka kwa neno lako.
162 Dunu amo da gobolo liligi bagadedafa hahawane hogole ba: sea, amo defele na da Dia ilegele sia: su ba: sea, hahawane bagade gala.
Nafurahia ahadi zako kama mtu aliyepata mateka mengi.
163 Na da ogogosu hou huluane bagade higasa. Be na da Dia sema bagade hanasa.
Ninachukia na kuchukizwa sana na uongo, lakini napenda sheria yako.
164 Di da moloidafa fofada: su hou hamonanebeba: le, na da eso huluane amoga, fesuale agoane Dima nodone sia: sa.
Ninakusifu mara saba kwa siku, kwa ajili ya sheria zako za haki.
165 Nowa da Dia sema hamoma: ne hanaiwane esalea, ilia da gaga: iwane esala. Ilia da dafasu hame dawa:
Wanaopenda sheria yako wana amani tele, wala hakuna kitu kinachoweza kuwakwaza.
166 Hina Gode! Dia na gaga: ma: ne, na da ouesala. Amola na da Dia hamoma: ne sia: be defele hamonana.
Ee Bwana, ninangojea wokovu wako, nami ninafuata amri zako,
167 Na da Dia olelesu nabawane hamonana. Na da na dogo huluane amoga Dia olelesu hanasa.
Ninazitii sheria zako, kwa sababu ninazipenda mno.
168 Na da Dia hamoma: ne sia: su amo nabawane hamosa. Dia da na hamobe huluane ba: lala.
Nimetii mausia yako na sheria zako, kwa kuwa njia zangu zote zinajulikana kwako.
169 Hina Gode! Na fidima: ne digini wele sia: su amo Dima doaga: ma: ne, logo doasima. Dia ilegele sia: i defele, dawa: lama: ne asigi dawa: su nama ima.
Ee Bwana, kilio changu na kifike mbele zako, nipe ufahamu sawasawa na neno lako.
170 Na sia: ne gadobe nabima. Amola Dia hamomusa: ilegei defele, na gaga: ma!
Maombi yangu na yafike mbele zako, niokoe sawasawa na ahadi yako.
171 Na da eso huluane Dima nodone sia: nanumu. Bai Di da nama, Dia sema amo olelesa.
Midomo yangu na ibubujike sifa, kwa kuwa unanifundisha maagizo yako.
172 Na da Dia sema amoga gesami lale hea: mu. Bai Dia hamoma: ne sia: su da moloi fofada: musa: defele gala.
Ulimi wangu na uimbe kuhusu neno lako, kwa kuwa amri zako zote ni za haki.
173 Di eso huluane, na fidimusa: , momagele ouesaloma. Bai na da Dia hamoma: ne sia: su amoma fa: no bobogelala.
Mkono wako uwe tayari kunisaidia, kwa kuwa nimechagua mausia yako.
174 Hina Gode! Dia fidima: ne gaga: su hou nama doaga: ma: ne, na da bagadewane hanasa. Na da Dia sema amo ganodini hahawane hou ba: sa.
Ee Bwana, ninatamani wokovu wako, na sheria yako ni furaha yangu.
175 Na da Dima nodone sia: nanumusa: , esalusu nama ima. Dia hamoma: ne sia: su na fidimu da defea.
Nijalie kuishi ili nipate kukusifu, na sheria zako zinitegemeze.
176 Na da sibi fisi defele, doulalala. Na da Dia hawa: hamosu dunu. Amaiba: le, Dia na hogomusa: misa! Bai na da Dia hamoma: ne sia: i noga: le ouligi.
Nimetangatanga kama kondoo aliyepotea. Mtafute mtumishi wako, kwa kuwa sijasahau amri zako.

< Gesami Hea:su 119 >