< Gesami Hea:su 118 >

1 Hina Gode da noga: idafa, amola Ea asigidafa hou da eso huluane dialumu. Amaiba: le, Ema nodone sia: ma!
Mshukuruni Yahwe, kwa kuwa ni mwema, kwa maana uaminifu wa agano lake wadumu milele.
2 Isala: ili fi dunu ilia amane sia: ma: ma, “Ea asigidafa hou da eso huluane dialumu.”
Israeli na aseme, “Uaminifu wa agano lake wadumu milele.”
3 Hina Gode Ea gobele salasu dunu ilia amane sia: ma: ma, “Ea asigidafa hou da eso huluane dialumu.”
Nyumba ya Haruni na iseme, “Uaminifu wa agano lake wadumu milele.”
4 Ema nodone sia: ne gadobe dunu huluane, ilia amane sia: ma: ma. “Ea asigidafa hou da eso huluane dialumu.”
Wafuasi waaminifu wa Yahwe na waseme, “Uaminifu wa agano lake wadumu milele.”
5 Na da se nabalalu, Na da Hina Gode Ea fidima: ne wele sia: i. E da na wele sia: be nababeba: le, na hahawane masa: ne asunasi.
Katika dhiki yangu nilimuita Yahwe; Yahwe alinijibu na kuniweka huru.
6 Hina Gode da namagaiba: le, na da hame beda: sa. Dunu enoga da nama adi hamoma: bela: ?
Yahwe yuko pamoja nami; sitaogopa; mwanadamu atanifanya nini? Yahwe yuko upande wangu kama msaidizi;
7 Hina Gode da na noga: le fidibiba: le, Gode da nama ha lai dunu banenesibi ba: mu.
nitawatazama kwa ushindi wale walio nichukia.
8 Ninia da osobo bagade dunuma dafawaneyale hamoma: beyale mae ouligili, Godema fawane dafawaneyale hamoma: beyale dawa: mu da defea.
Ni bora kuwa na makazi katika Yahwe kuliko kumtumainia mwanadamu.
9
Ni bora kukimbilia katika Yahwe kuliko kuamini katika wakuu.
10 Nama ha lai dunu bagohamedafa da na eale disi. Be Hina Gode Ea gasa bagade amoga na ili gugunufinisi.
Mataifa yote walinizunguka; kwa jina la Yahwe niliwakatilia mbali.
11 Nama ha lai dunu da na eale disi. Be Hina Gode Ea gasa bagade amoga na ili gugunufinisi.
Walinizunguka; naam, walinizunguka; kwa jina la Yahwe niliwakatilia mbali.
12 Ilia da agime wa: i agoane na guba: le eale disi. Be ili da laluga hedolodafa soge nene ahoanoba ha: ba: dobe agoane, Hina Gode Ea gasa bagade amoga na ili gugunufinisi.
Walinizunguka kama nyuki; walitoweka haraka kama moto kati ya miiba; kwa jina la Yahwe niliwakatilia mbali.
13 Na da ha lai dunu ilia nimiga banenesimu agoaiwane ba: i. Be Hina Gode da na fidi.
Walinishambulia ili waniangushe, lakini Yahwe alinisaidia.
14 Hina Gode da na nimi filisili, gasa i. Amola na gaga: i.
Yahwe ni nguvu yangu na furaha yangu, na ndiye anaye niokoa.
15 Gode Ea fi dunu ilia ha lai dunu banenesibiba: le, abula diasua hahawane wele sia: be nabima, “Hina Gode da Ea gasa bagadedafa amoga, ninia ha lai dunu hasalasi dagoi.”
Kelele za ushindi zimesikika katika maskani ya wenye haki; mkono wa kuume wa Mungu umeshinda.
16 Hina Gode Ea gasa bagade hou gegebe amo ganodini da ninima hasalasisu hou i dagoi.
Mkono wa kuume wa Mungu umetukuka; mkono wa kuume wa Yahwe umeshinda.
17 Na da hame bogomu. Be amomane, na da esalawane Hina Gode Ea hamoi hou olelelalumu.
Sitakufa, bali nitaishi na kuyatangaza matendo ya Yahwe.
18 E da nama se bagade i dagoi. Be amomane, E da na mae bogoma: ne fidi.
Yahwe ameniadhibu vikali; lakini hajaruhusu nife.
19 Na golili sa: ima: ne, Debolo diasu logo ga: i doasisima! Na da golili sa: ili, Hina Godema nodone sia: mu.
Unifungulie milango ya haki; nitaingia na nitamshukuru Yahwe.
20 Amo da Hina Gode Ea logo ga: su. Moloidafa dunu ilia fawane golili sa: ima: ne, logo da doasi ba: sa. Eno dunu hame.
Hili ni lango la Yahwe; wenye haki hupitia kwalo.
21 Hina Gode! Di da na sia: nabalu, nama hasalasisu gasa iabeba: le, na Dima nodosa.
Nitakushukuru wewe, kwa kuwa ulinijibu, na umekuwa wokovu wangu.
22 Igi amo diasu gagusu dunu ilia higale yolesi, amo da wali mimogodafa igi agoane hamoi dagoi.
Jiwe ambalo wajenzi walilikataa wajenzi limekuwa msingi.
23 Hina Gode Hi fawane da amo hou hamoi. Amola amo hou, ninia fofogadigili, hahawane ba: sa.
Yahwe ndiye afanyaye hili; ni la ajabu machoni petu.
24 Wali eso da Hina Gode Ea hasalasu eso. Ninia da hahawaneba: le, gilisili Ema nodomu da defea.
Hii ni siku ambayo Yahwe ametenda; tutaifurahia na kuishangilia.
25 Nini gaga: ma! Hina Gode! Nini gaga: ma! Hina Gode, ninia noga: le didili hamoma: ne fidima.
Tafadhali, Yahwe, utupe ushindi! Tafadhali, Yahwe, utupe mafanikio!
26 Gode da Dunu amo da Hina Gode Ea Dioba: le mabe, Ema hahawane dogolegele hamomu da defea. Ninia da Hina Gode Ea Debolo Diasu amoga Dima hahawane dogolegele hou ima: ne sia: sa.
Amebarikiwa yule ajaye katika jina la Yahwe; tunakubariki kutoka katika nyumba ya Yahwe.
27 Hina Gode da Godedafa. E da ninima noga: idafa hamoi dagoi. Dunu dilia! Ifa amoda gaguli, hahawane lolo manusa: muni gilisima. Amola oloda sisiga: le mogodigili lafia: ma.
Yahwe ni Mungu, na ametupa sisi nuru; ifungeni dhabihu kwa kamba pembeni mwa madhabahu.
28 Di da na Gode. Na Dima nodosa. Na da Dia gasa bagade hou amo sisia: lamu.
Wewe ni Mungu wangu, nami nitakushukuru; wewe ni Mungu wangu; nitakutukuza wewe.
29 Hina Godema nodone sia: ma! Bai E da noga: idafa. Amola Ea asigidafa hou da eso huluane mae fisili dialumu.
Oh, mshukuruni Yahwe; kwa kuwa ni mwema; kwa maana uaminifu wa agano lake wadumu milele.

< Gesami Hea:su 118 >