< Gesami Hea:su 118 >

1 Hina Gode da noga: idafa, amola Ea asigidafa hou da eso huluane dialumu. Amaiba: le, Ema nodone sia: ma!
Mshukuruni Bwana, kwa kuwa ni mwema; upendo wake wadumu milele.
2 Isala: ili fi dunu ilia amane sia: ma: ma, “Ea asigidafa hou da eso huluane dialumu.”
Israeli na aseme sasa: “Upendo wake wadumu milele.”
3 Hina Gode Ea gobele salasu dunu ilia amane sia: ma: ma, “Ea asigidafa hou da eso huluane dialumu.”
Nyumba ya Aroni na iseme sasa: “Upendo wake wadumu milele.”
4 Ema nodone sia: ne gadobe dunu huluane, ilia amane sia: ma: ma. “Ea asigidafa hou da eso huluane dialumu.”
Wote wamchao Bwana na waseme sasa: “Upendo wake wadumu milele.”
5 Na da se nabalalu, Na da Hina Gode Ea fidima: ne wele sia: i. E da na wele sia: be nababeba: le, na hahawane masa: ne asunasi.
Wakati wa maumivu yangu makuu nilimlilia Bwana, naye akanijibu kwa kuniweka huru.
6 Hina Gode da namagaiba: le, na da hame beda: sa. Dunu enoga da nama adi hamoma: bela: ?
Bwana yuko pamoja nami, sitaogopa. Mwanadamu anaweza kunitenda nini?
7 Hina Gode da na noga: le fidibiba: le, Gode da nama ha lai dunu banenesibi ba: mu.
Bwana yuko pamoja nami, yeye ni msaidizi wangu. Nitawatazama adui zangu wakiwa wameshindwa.
8 Ninia da osobo bagade dunuma dafawaneyale hamoma: beyale mae ouligili, Godema fawane dafawaneyale hamoma: beyale dawa: mu da defea.
Ni bora kumkimbilia Bwana kuliko kumtumainia mwanadamu.
9
Ni bora kumkimbilia Bwana kuliko kuwatumainia wakuu.
10 Nama ha lai dunu bagohamedafa da na eale disi. Be Hina Gode Ea gasa bagade amoga na ili gugunufinisi.
Mataifa yote yalinizunguka, lakini kwa jina la Bwana naliwakatilia mbali.
11 Nama ha lai dunu da na eale disi. Be Hina Gode Ea gasa bagade amoga na ili gugunufinisi.
Walinizunguka pande zote, lakini kwa jina la Bwana naliwakatilia mbali.
12 Ilia da agime wa: i agoane na guba: le eale disi. Be ili da laluga hedolodafa soge nene ahoanoba ha: ba: dobe agoane, Hina Gode Ea gasa bagade amoga na ili gugunufinisi.
Walinizunguka kama kundi la nyuki, lakini walikufa haraka kama miiba iteketeayo; kwa jina la Bwana naliwakatilia mbali.
13 Na da ha lai dunu ilia nimiga banenesimu agoaiwane ba: i. Be Hina Gode da na fidi.
Nilisukumwa nyuma karibu kuanguka, lakini Bwana alinisaidia.
14 Hina Gode da na nimi filisili, gasa i. Amola na gaga: i.
Bwana ni nguvu yangu na wimbo wangu, yeye amefanyika wokovu wangu.
15 Gode Ea fi dunu ilia ha lai dunu banenesibiba: le, abula diasua hahawane wele sia: be nabima, “Hina Gode da Ea gasa bagadedafa amoga, ninia ha lai dunu hasalasi dagoi.”
Sauti za shangwe na ushindi zinavuma hemani mwa wenye haki: “Mkono wa kuume wa Bwana umetenda mambo makuu!
16 Hina Gode Ea gasa bagade hou gegebe amo ganodini da ninima hasalasisu hou i dagoi.
Mkono wa kuume wa Bwana umeinuliwa juu, mkono wa kuume wa Bwana umetenda mambo makuu!”
17 Na da hame bogomu. Be amomane, na da esalawane Hina Gode Ea hamoi hou olelelalumu.
Sitakufa, bali nitaishi, nami nitatangaza yale Bwana aliyoyatenda.
18 E da nama se bagade i dagoi. Be amomane, E da na mae bogoma: ne fidi.
Bwana ameniadhibu vikali, lakini hakuniacha nife.
19 Na golili sa: ima: ne, Debolo diasu logo ga: i doasisima! Na da golili sa: ili, Hina Godema nodone sia: mu.
Nifungulie malango ya haki, nami nitaingia na kumshukuru Bwana.
20 Amo da Hina Gode Ea logo ga: su. Moloidafa dunu ilia fawane golili sa: ima: ne, logo da doasi ba: sa. Eno dunu hame.
Hili ni lango la Bwana ambalo wenye haki wanaweza kuliingia.
21 Hina Gode! Di da na sia: nabalu, nama hasalasisu gasa iabeba: le, na Dima nodosa.
Nitakushukuru, kwa kuwa ulinijibu, umekuwa wokovu wangu.
22 Igi amo diasu gagusu dunu ilia higale yolesi, amo da wali mimogodafa igi agoane hamoi dagoi.
Jiwe walilolikataa waashi, limekuwa jiwe kuu la pembeni.
23 Hina Gode Hi fawane da amo hou hamoi. Amola amo hou, ninia fofogadigili, hahawane ba: sa.
Bwana ametenda hili, nalo ni la kushangaza machoni petu.
24 Wali eso da Hina Gode Ea hasalasu eso. Ninia da hahawaneba: le, gilisili Ema nodomu da defea.
Hii ndiyo siku Bwana aliyoifanya, tushangilie na kufurahi ndani yake.
25 Nini gaga: ma! Hina Gode! Nini gaga: ma! Hina Gode, ninia noga: le didili hamoma: ne fidima.
Ee Bwana, tuokoe, Ee Bwana, utujalie mafanikio.
26 Gode da Dunu amo da Hina Gode Ea Dioba: le mabe, Ema hahawane dogolegele hamomu da defea. Ninia da Hina Gode Ea Debolo Diasu amoga Dima hahawane dogolegele hou ima: ne sia: sa.
Heri yule ajaye kwa jina la Bwana. Kutoka nyumba ya Bwana tunakubariki.
27 Hina Gode da Godedafa. E da ninima noga: idafa hamoi dagoi. Dunu dilia! Ifa amoda gaguli, hahawane lolo manusa: muni gilisima. Amola oloda sisiga: le mogodigili lafia: ma.
Bwana ndiye Mungu, naye ametuangazia nuru yake. Mkiwa na matawi mkononi, unganeni kwenye maandamano ya sikukuu hadi kwenye pembe za madhabahu.
28 Di da na Gode. Na Dima nodosa. Na da Dia gasa bagade hou amo sisia: lamu.
Wewe ni Mungu wangu, nitakushukuru, wewe ni Mungu wangu, nitakutukuza.
29 Hina Godema nodone sia: ma! Bai E da noga: idafa. Amola Ea asigidafa hou da eso huluane mae fisili dialumu.
Mshukuruni Bwana kwa kuwa ni mwema; upendo wake wadumu milele.

< Gesami Hea:su 118 >