< Gesami Hea:su 114 >

1 Isala: ili dunu (Ya: igobe egaga fi) ilia da ga fi soge amo Idibidi fisili, gadili ahoanoba,
Israeli ilipotoka Misri, na nyumba ya Yakobo toka kutoka katika wale watu wa kigeni,
2 Hina Gode da Yuda fi Ea hadigi fi ilegei dagoi. Amola E da Isala: ili fi Ea fidafa ilegei.
Yuda ilifanyika kuwa mahali pake patakatifu, Ufalme wa Israeli.
3 Maga: me Hano Wayabo da ili ba: lalu, hobea: i. Yodane Hano da yogodalu yolei.
Bahari iliona ikakimbia; Yordani ilirudi nyuma.
4 Goumi ilia da goudi agoane hahadiasu. Amola agolo ilia da sibi mano agoane hahadia lafia: su.
Milima iliruka kama kondoo waume, vilima viliruka kama wana-kondoo.
5 Hano wayabo! Di da adiba: le hobeabela: ? Amola Yodane hano di da abuliba: le yogo ahoanu amo fisibala: ?
Ewe Bahari kwa nini ulikimbia? Yordani kwa nini ulirudi nyuma?
6 Goumi! Di da abuliba: le goudi manoga hadiabe defele hadialula: ? Agolo soge! Dilia da abuliba: le, sibi manoga suagagala: gagadobe defele hamosula: ?
Milima, kwa nini uliruka kama kondoo waume? Enyi vilima wadogo, kwa nini mliruka kama wana-kondoo?
7 Osobo bagade! Hina Gode da mabeba: le, Ya: igobe ea Gode Ea midadi yaguguma.
Tetemeka, ee nchi, mbele za Bwana, uweponi mwa Mungu wa Yakobo.
8 Bai E da igi amo afadenene hano wayabo hamosa, amola magufu adobo amo hano bubuga: su agoane hamosa.
Aligeuza mwamba kuwa ziwa la maji, jiwe gumu kuwa chemchem.

< Gesami Hea:su 114 >