< Gesami Hea:su 111 >
1 Hina Godema nodoma! Na asigi dawa: su huluane amoga, na da dunu ilia gilisisu ganodini, Hina Godema nodone sia: mu.
Msifuni Bwana. Nitamtukuza Bwana kwa moyo wangu wote, katika baraza la wanyofu na katika kusanyiko.
2 Hina Gode Ea hamobe da noga: idafa. Dunu huluane ilia da Ea hamonanebe hahawane ba: sa, ilia da amo hou dawa: digimusa: hanai gala.
Kazi za Bwana ni kuu, wote wanaopendezwa nazo huzitafakari.
3 Ea hamobe huluane da hadigidafa amola noga: idafa. Ea moloidafa hou da eso huluane mae fisili, dialalalumu.
Kazi zake zimejaa fahari na utukufu, haki yake hudumu daima.
4 Hina Gode da Ea noga: idafa hou, ninia mae gogolema: ne, hamosa. Ea hou da asigidafa amola E da gogolema: ne olofosu dawa:
Amefanya maajabu yake yakumbukwe, Bwana ni mwenye neema na huruma.
5 E da nowa dunu da Ema nodone dawa: lalebe, ilima ha: i manu iaha. E da Ea gousa: su ninima hamoi, amo hamedafa gogolesa.
Huwapa chakula wale wanaomcha, hulikumbuka agano lake milele.
6 E da ga fi dunu ilia soge samogene, Ea fi dunuma iabeba: le, Ea gasa bagade hou ilima olelei dagoi.
Amewaonyesha watu wake uwezo wa kazi zake, akiwapa nchi za mataifa mengine.
7 Ea hamobe huluane amo ganodini, E da mae afadenene moloidafa fawane hamosa. Amola Ea hamoma: ne sia: be da hamedafa afadenesa.
Kazi za mikono yake ni za uaminifu na haki, mausia yake yote ni ya kuaminika.
8 Hina Gode da dafawane amola moloidafa agoane, Ea sema ninima i. Ea hamoma: ne sia: i liligi da eso huluane dialumu.
Zinadumu milele na milele, zikifanyika kwa uaminifu na unyofu.
9 E da Ea fi dunu halegale masa: ne, ilia se iasu diasu logo doasi dogoi. E da ilima eso huluane dialumu gousa: su hamoi. E da hadigidafa amola gasa bagade gala.
Aliwapa watu wake ukombozi, aliamuru agano lake milele: jina lake ni takatifu na la kuogopwa.
10 Dilia asigi dawa: su bagade lamusa: dawa: sea, Hina Gode Ea Dio nodone gaguia gadoma. E da nowa: dunuma Ea hamoma: ne sia: i amo nabawane hamosea, hou eno da noga: i, amola eno da wadela: i amo dawa: digima: ne, dawa: su iaha. Eso huluane mae fisili, Ema nodonanumu da defea.
Kumcha Bwana ndicho chanzo cha hekima, wote wanaozifuata amri zake wana busara. Sifa zake zadumu milele.