< Gesami Hea:su 110 >

1 Hina Gode da na Hina Godema amane sia: i, “Na lobodafadili fili, amogai esaleawane, Na da Dia ha lai dunu da Dia emoga osa: laligima: ne hasalasimu.
Zaburi ya Daudi. Bwana amwambia Bwana wangu: “Keti mkono wangu wa kuume, mpaka nitakapowafanya adui zako kuwa mahali pa kuweka miguu yako.”
2 Saione Goumia, Hina Gode da Dia Hina Bagade hou sedagilisimu. E amane sia: sa, “Dia ha lai dunu ili ouligima.”
Bwana ataeneza fimbo yako ya utawala yenye nguvu kutoka Sayuni; utatawala katikati ya adui zako.
3 Dia ha lai dunuma gegebe eso amoga, Dia fi dunu da hahawane Di fuligala: musa: misunu. Hehebolo mabe galu oubi mogele defele, Dia ayeligi dunu da Di hadigi agologa esalea, amogai Di fidimusa: misunu.
Askari wako watajitolea kwa hiari katika siku yako ya vita. Ukiwa umevikwa fahari takatifu, kutoka tumbo la mapambazuko utapokea umande wa ujana wako.
4 Hina Gode da dafawanedafa ilegele sia: i. Amo E da bu hame afadenemu. E amane sia: i, “Di da Melegisedege gobele salasu dunu ea sosogo fi amo ganodini eso huluanedafa gobele salasu dunu esalumu.”
Bwana ameapa, naye hatabadilisha mawazo yake: “Wewe ni kuhani milele, kwa mfano wa Melkizedeki.”
5 Hina Gode da Dia lobodafadili lela. E da ougi heda: sea, osobo bagade hina bagade dunu hasalasimu.
Bwana yuko mkono wako wa kuume, atawaponda wafalme siku ya ghadhabu yake.
6 E da fifi asi gala huluanema fofada: mu. E da gegesu sogebi amo, bogoi da: i hodo amoga nabalesimu. E da osobo bagade huluane amo ganodini, Hina bagade dunu huluane hasalasimu.
Atawahukumu mataifa, akilundika mizoga na kuwaponda watawala wa dunia nzima.
7 Hina Bagade da hano amo logo bega: dalebe, amoga dili manu. Amola amoga gasa laiba: le, E da gasa fili aligili, gegenanu hasalasimu.
Atakunywa maji katika kijito kando ya njia, kwa hiyo atainua kichwa chake juu.

< Gesami Hea:su 110 >