< Gesami Hea:su 11 >

1 Hina Gode da na ga: ma: ne, na da dafawaneyale dawa: sa. Di da abuliba: le gogolele nama agoane sia: sala: ?, “Di sioga wa: le ahoabe agoane goumia masa.
Ni kwako Yahweh ninapata usalama; ni kwa namna gani utasema na mimi, “Ruka kama ndege hadi mlimani”?
2 Bai wadela: i hamosu dunu ilia oulali amola ilia dadi amo dimagale amola dunu moloidafa gasimigi amoga lelebe gala: musa: amabela: ?
Tazama! Waovu wana andaa pinde zao. Wana tayarisha gizani mishale yao kwenye kamba ili kufyatua mioyo ya wenye haki.
3 Liligi huluane da mugulusia, dunu noga: i da hahamomu hamedei ba: sa, “Di da abuliba: le agoane sia: sala: ?
Ikiwa misingi imeharibiwa, mwenye haki atafanya nini?
4 Be Hina Gode da Ea Hadigi Debolo diasu ganodini esala. Amola Ea fafai fisu da Hebene amo ganodini diala. E da soge huluane ganodini, dunu fi huluane ba: lala. Amola ilia adi hamobeale, amo huluane dawa: lala.
Yahweh yuko katika hekalu takatifu; macho yake yanatazama, yakiuchunguza ubinadamu.
5 E da noga: i dunu amola wadela: i hamosu dunu defele adoba: sa. Be E da wadela: i hame nabasu dunu amo bagadewane higasa.
Yahweh huwachunguza wote wenye haki na waovu, bali huwachukia wapendao kuwaumiza wengine.
6 E da wadela: i hamosu dunuma nenowai amola nenanebe salafa sanasisa. E da gia: i bagade fo amoga ilima se iaha.
Yeye huwanyeshea waovu makaa ya mawe na moto wa jehanamu; upepo uunguzao utakuwa ni sehemu yao kutoka katika kikombe chake!
7 Hina Gode Ea hou da moloidafa amola E da noga: i hou hamobe amoma asigisa. Nowa da amo hou hamosea, da Ea esalebe gadenene esalumu.
Kwa kuwa Yahweh ni mwenye haki, Naye hupenda haki; wenye haki watauona uso wake.

< Gesami Hea:su 11 >