< Gesami Hea:su 108 >
1 Gode! Na da Dima dafawaneyale dawa: i dagoi. Na da Dima nodosa gesami hea: mu amola Dima nodomu.
Wimbo. Zaburi ya Daudi. Ee Mungu, moyo wangu ni thabiti; nitaimba na kusifu kwa moyo wangu wote.
2 Na a: silibu! Nedigima! Na sani baidama amola na ‘laia’ dusu liligi! Nedigima! Na da amoga eso didilisimu!
Amka, kinubi na zeze! Nitayaamsha mapambazuko.
3 Hina Gode! Na da fifi asi gala amo ganodini Dima nodomu! Na da dunu fifi asi gala huluane amo ganodini Dima nodone sia: mu.
Nitakusifu wewe, Ee Bwana, katikati ya mataifa; nitaimba habari zako, katikati ya jamaa za watu.
4 Dia mae fisili asigidafa hou da muagado doaga: sa! Dia hame fisisu hou da muagado digila heda: sa!
Kwa maana upendo wako ni mkuu, ni juu kuliko mbingu; uaminifu wako unazifikia anga.
5 Gode! Dia gasa bagade hou amo muagado ganodini olelema! Amola Dia hadigi hou amo osobo bagade fifi asi gala dunu huluane ba: ma: ne, olelema!
Ee Mungu, utukuzwe juu ya mbingu, utukufu wako na uenee duniani kote.
6 Dia gasa bagade amoga nini gaga: ma! Dunu amo da Dia dogolegei, ilia da gaga: su ba: ma: ne, ninia sia: ne gadosu amoma dabe adole ima.
Tuokoe na utusaidie kwa mkono wako wa kuume, ili wale uwapendao wapate kuokolewa.
7 Ea hadigi sogebi amogainini, Gode da amane sia: i “Na da hasalasili, Siegeme moilai amola Sagode Fago amo alalo hahamone, huluane momogili Na fi dunuma imunu.
Mungu amenena kutoka patakatifu pake: “Nitaigawa Shekemu kwa ushindi na kulipima Bonde la Sukothi.
8 Gilia: de fi da Na: Ma: na: sa fi amola da Na: Ifala: ime fi da Na dialuma figisu amola Yuda fi da Na Hina Bagade Dagulu.
Gileadi ni yangu, Manase ni yangu, Efraimu ni kofia yangu ya chuma, nayo Yuda ni fimbo yangu ya utawala.
9 Be Na da Moua: be amo Na lobo dodofesu ofodo hamomu. Amola Na da Idome amo Ni lai dagoi, amo enoga dawa: digima: ne, Na da emo salasu gisa: le, Idomema galagamu! Na da Filisidini dunu hasalasiba: le, hasalasu halasu wele sia: mu.
Moabu ni sinia langu la kunawia, juu ya Edomu natupa kiatu changu; nashangilia kwa kushindwa kwa Ufilisti.”
10 Gode! Nowa da na oule, gasa bagade gagili sali moilai bai bagade Amoga heda: ma: bela: ? Nowa da na sigi aligili, Idome amoga masa: bela: ?
Ni nani atakayenipeleka hadi mji wenye ngome? Ni nani atakayeniongoza hadi nifike Edomu?
11 Di da dafawane nini higale fisiagabela: ? Di da ninia dadi gagui dunu ilima gilisili mogodigili ga hame masa: bela: ?
Ee Mungu, si ni wewe uliyetukataa sisi, na hutoki tena na majeshi yetu?
12 Ninima ha lai dunu da nini hasalasa: besa: le, Dia nini fidima. Bai osobo bagade dunu ilia fidisu da hamedeidafa gala.
Tuletee msaada dhidi ya adui, kwa maana msaada wa mwanadamu haufai kitu.
13 Gode da ninimagasea, ninia da ilima hasalasimu. E da ninima ha lai dunu ili hasalasimu.
Kwa msaada wa Mungu tutapata ushindi, naye atawaponda adui zetu.