< Gesami Hea:su 107 >

1 Hina Godema nodone sia: ma! Bai E da noga: idafa, amola Ea asigisu hou da mae fisili dialumu.
Mshukuruni Yahwe, maana ni mwema, na uaminifu wa agano lake wadumu milele.
2 Hina Gode Ea gaga: i dunu huluane! Amo Hina Godema nodone sia: be bu dabuasili sia: ma. E da dilia ha lai dunu amo dilima bu se mae ima: ne, dili gaga: i.
Waseme hivi waliokombolewa na Yahwe, wale aliowaokoa toka mkononi mwa adui.
3 Amola E da dili ga fi dunu ilia soge gusudili, guma: dini, ga (south) amola ga (north) amodili, buhagima: ne oule momafui.
Yeye amewakusanya kutoka nchi za kigeni, kutoka mashariki na magharibi, kutoka kaskazini na kusini.
4 Isala: ili fi dunu mogili ilia da logo hamedei hafoga: i sogega, dadoula lafiadalusu. Ilia da moilai bai bagade amogai fimusa: hogoi helele, hame ba: i.
Walitanga-tanga janwani katika njia ya nyika hawakuona mji wa kuishi.
5 Ilia da ha: i amola hano hanai, amola dafawane hamoma: beyale dawa: lusu huluane fisi dagoi.
Kwa sababu walikuwa na njaa na kiu, walikata tamaa kutokana na uchovu.
6 Amalalu, ilia bidi hamosu ganodini, ilia Hina Godema digini wele sia: i. Amola Hina Gode da ilia se nabasu yolema: ne gaga: i.
Kisha walimuita Yahwe katika shida yao, naye aliwaokoa toka katika dhiki yao.
7 E da ili logo moloidafa amoga moilai bai bagade amoga esaloma: ne oule asi.
Aliwaongoza kupitia njia ya moja kwa moja waweze kwenda mjini kuishi humo.
8 Hina Gode da eso huluane mae fisili ilima asigiba: le, amola ili fidima: ne hou noga: idafa hamonanebeba: le, ilia Ema nodone sia: mu da defea.
Oh ili watu wamsifu Yahwe kwa ajili ya uaminifu wa agano lake na kwa mambo ya ajabu aliowatendea wanadamu!
9 E da hano hanai dunu bu guminisisa. E da ha: i dunu sadima: ne liligi noga: i ilima iaha.
Maana hutosheleza shauku za walio na kiu, na hamu ya wale wenye njaa yeye huwashibisha kwa mambo mema.
10 Mogili ilia da alalo yo, amola gasi ganodini esalu. Ilia da se iasu diasu ganodini, sia: inega la: gili, se nabawane esalu.
Baadhi walikaa katika giza na uvuli wa mauti, walifungwa katika mateso na minyororo.
11 Bai ilia da Gode Bagadedafa Ea hamoma: ne sia: i amo mae nabawane, Ema odoga: i.
Hii ni kwa sababu walikuwa wameliasi neno la Mungu na walikataa maelekezo ya Aliye Juu.
12 Ilia da gasa bagade hawa: hamobeba: le, gufia: i. Ilia da dafane, fidisu dunu hame ba: i.
Aliinyenyekesha mioyo yao kupitia magumu; walipata mashaka na hakukuwa na mmoja wa kuwasaidia.
13 Amalalu, ilia bidi hamosu ganodini, ilia Hina Godema digini wele sia: i. Amola Hina Gode da ilia se nabasu yolema: ne gaga: i.
Kisha wakamwita Yahwe katika shida yao, naye akawatoa katika dhiki yao.
14 E da ilia alalo yo amo gasi ganodini esalu, amoga gadili oule asili, ilia sia: ine fifilisi.
Aliwatoa gizani na kwenye uvuli wa mauti na kuvunja vifungo vyao.
15 Hina Gode da eso huluane mae fisili ilima asigiba: le, amola ili fidima: ne hou noga: idafa hamonanebeba: le, ilia Ema nodone sia: mu da defea.
Oh ili watu wamsifu Yahwe kwa ajili ya uaminifu wa agano lake na kwa mambo ya ajabu aliyoyatenda kwa wanadamu!
16 Hina Gode da balasega hamoi logo ga: su gadelale sala, amola ouliga hamoi galiamo amo gagoudane salasu dawa:
Kwa maana amevunja malango ya shaba na kukata mapingo ya chuma.
17 Mogili ilia da gagaoui dunu esalu. Ilia da wadela: i hou hamoiba: le, se nabasu.
Walikuwa wapumbavu katika njia zao za uasi na kuteswa kwa sababu ya dhambi zao.
18 Ilia da ha: i manu ba: mu higale, amola bogomu gadenei ba: i.
Walipoteza hamu yao ya kula chakula chochote, na waliyakaribia malango ya kifo.
19 Amalalu, ilia bidi hamosu ganodini, ilia Hina Godema digini wele sia: i. Amola Hina Gode da ilia se nabasu yolema: ne gaga: i
Kisha walimlilia Yahwe katika shida yao, naye akawatoa katika dhiki yao.
20 E da ilima uhima: ne sia: beba: le, ilia uhini, amola bogoi uli dogoiga hame sa: i.
Alituma neno lake na likawaponya, na akawaokoa kutoka katika uharibifu wao.
21 Hina Gode da eso huluane mae fisili ilima asigiba: le, amola ili fidima: ne hou noga: idafa hamonanebeba: le, ilia Ema nodone sia: mu da defea.
Oh ili watu wamsifu Yahwe kwa ajili ya uaminifu wa agano lake na kwa mambo ya ajabu aliyoyatenda kwa wanadamu!
22 Ilia da Godema nodomusa: , gobele salasu hamomu da defea. Amola hahawane gesami hea: su amoga Ea noga: idafa hamonanu olelemu da defea.
Na watoe dhabihu ya shukrani na kutangaza matendo yake kwa kuimba.
23 Mogili da dusagai da: iya fila heda: le, hano wayabo bagade da: iya ahoasu. Ilia da amo hamobeba: le, bidi lasu.
Baadhi husafiri baharini katika meli na kufanya biashara juu ya bahari.
24 Ilia da Hina Gode Ea noga: idafa hou, E da hano wayabo bagade da: iya hamoi, amo ba: i dagoi.
Hawa huona matendo ya Yahwe na maajabu yake baharini.
25 E da sia: beba: le, fo bagadedafa da muni fulabobeba: le, hano da bagadewane fugagala: i.
Kwa maana aliamuru na alivumisha upepo wa dhoruba ambao uliyainua juu mawimbi ya baharini.
26 Hano gafului da dusagai da: ne gagadole, amalu bu hano lugudua legela dadafui. Se nabimu agoai ba: beba: le, dusagai da: iya hawa: hamosu dunu da bagadewane beda: gia: i.
Walipanda juu mawinguni na kushuka vilindini. Nafsi zao ziliyeyuka katika dhiki.
27 Ilia da adini ba: i dunu agoane, feloale dadoula asi. Ilia hawa: hamomusa: dawa: su huluane da hamedei agoai ba: i.
Waliyumba-yumba na kupepesuka kama walevi na hawakujua la kufanya.
28 Amalalu, ilia bidi hamosu ganodini, ilia Hina Godema digini wele sia: i. Amola Hina Gode da ilia se nabasu yolema: ne gaga: i.
Kisha walimlilia Yahwe katika shida yao, naye akawatoa katika dhiki yao.
29 Hina Gode da isu bagade amola hano gafului amo bu legela sa: i.
Aliituliza dhoruba, na mawimbi yakatulia.
30 Hawa: hamosu dunu da hano gafului legela sai: ba: le, hahawane nodoi. Amola, Hina Gode da ilia hanai hano bega dusagai ligisila masu sogebi, amoga ilia noga: le ligisila masu.
Ndipo walifurahia kwa sababu bahari ilikuwa shwali, na aliwaleta kwenye bandari waliyoitamani.
31 Hina Gode da eso huluane mae fisili ilima asigiba: le, amola ili fidima: ne hou noga: idafa hamonanebeba: le, ilia Ema nodone sia: mu da defea.
Oh, ili watu wamsifu Yahwe kwa ajili ya uaminifu wa agano lake na kwa mambo ya ajabu aliyowatendea wanadamu!
32 Ilia da Ea gasa bagade hou amo dunudafa ilia gilisisu amo ganodini olelema: ma. Ilia da asigilai dunu ilia fada: i sia: su gilisisu amo ganodini Ema nodoma: ma.
Wamtukuze yeye katika kusanyiko la watu na wamsifu yeye katika baraza la viongozi.
33 Hina Gode da hano oda hale hafoga: lesisi. E da bubuga: su hano mae sa: ima: ne damunisisi.
Aligeuza mito ikwa jangwa, chemchem ya maji ikawa nchi kame,
34 E da nasegagi soge afadenene, hafoga: i sali dialebe osobo hamoi. Bai dunu amogai esalu da wadela: le bagade hamoi.
na nchi ya matunda mengi ikawa nchi isiyozaa kwa sababu ya uovu wa watu wake.
35 E da hafoga: i soge afadenene, bu hano wayabo agoai hamoi. Amola hafoga: i soge eno bu bubuga: su hano dasu hamoma: ne hamoi.
Aligeuza jangwa likawa ziwa la maji na nchi kame ikawa chemchem ya maji.
36 E da amo sogega ha: aligi dunu fifi lama: ne, logo doasi. Amola ilia da amo ganodini fima: ne, moilai bai bagade gagui.
Aliwakalisha huko wenye njaa, nao walijenga mji na kuishi humo.
37 Ilia da ha: i manu bugi, amola waini efe bugili gagai. Amola amoga ilia ha: i manu bagade gamini gagai.
Walijenga mji ili kupanda mimea shambani, kupanda mizabibu, na kuleta humo mazao tele.
38 E da Ea fi dunu hahawane ba: ma: ne hamoi, amola ilia mano bagohame lalelegei. E da ilia bulamagau afugili gagai ilia idi amo mae hagia: ma: ne hamoi.
Yeye huwabariki wameongezeka sana katika hesabu. Haachi mifugo yao ipungue katika hesabu.
39 Gode Ea fi dunu ilima ha lai dunu da ili hasalasili, se bagade ilima ianoba,
Kisha wakapungua na kudhilika kwa dhiki na mateso.
40 Hina Gode da ilima ha lai dunuma higale ba: i. E da ili sefasili, hafoga: i soge amo ganodini da logo hame, ili udigili dadoula masa: ne yolesi.
Akawamwagia viongozi dharau na akawafanya wazunguke katika jangwa, mahali pasipo na njia.
41 Be E da hahani dunu amo bu se mae nabima: ne, gaga: i dagoi. E da ilia sosogo fi, ohe wa: i defele, bu bagade hamoi.
Lakini aliwalinda wahitaji dhidi ya mateso na kujali kwa ajili ya familia yake kama kundi la kondoo.
42 Moloidafa dunu da amo hou ba: beba: le, nodosa. Be wadela: i hamosu dunu da amo hou ba: beba: le, ouiya: lesisa.
Wenye haki wataona hili na kufurahi, na uovu wote utaona na kufunga kinya chake.
43 Bagade dawa: su dunu ilia amo hou dawa: digimu da defea. Ilia da Hina Gode Ea mae fisili asigidafa hou dawa: ma: ma.
Yeyote mwenye hekima anapaswa kuyaangalia haya na kutafakari juu ya matendo ya uaminifu wa agano la Yahwe.

< Gesami Hea:su 107 >