< Gesami Hea:su 107 >

1 Hina Godema nodone sia: ma! Bai E da noga: idafa, amola Ea asigisu hou da mae fisili dialumu.
Mshukuruni Bwana, kwa kuwa yeye ni mwema, upendo wake wadumu milele.
2 Hina Gode Ea gaga: i dunu huluane! Amo Hina Godema nodone sia: be bu dabuasili sia: ma. E da dilia ha lai dunu amo dilima bu se mae ima: ne, dili gaga: i.
Waliokombolewa wa Bwana na waseme hivi, wale aliowaokoa kutoka mkono wa adui,
3 Amola E da dili ga fi dunu ilia soge gusudili, guma: dini, ga (south) amola ga (north) amodili, buhagima: ne oule momafui.
wale aliowakusanya kutoka nchi mbalimbali, kutoka mashariki na magharibi, kutoka kaskazini na kusini.
4 Isala: ili fi dunu mogili ilia da logo hamedei hafoga: i sogega, dadoula lafiadalusu. Ilia da moilai bai bagade amogai fimusa: hogoi helele, hame ba: i.
Baadhi yao walitangatanga jangwani, hawakuona njia ya kuwafikisha mji ambao wangeweza kuishi.
5 Ilia da ha: i amola hano hanai, amola dafawane hamoma: beyale dawa: lusu huluane fisi dagoi.
Walikuwa na njaa na kiu, nafsi zao zikadhoofika.
6 Amalalu, ilia bidi hamosu ganodini, ilia Hina Godema digini wele sia: i. Amola Hina Gode da ilia se nabasu yolema: ne gaga: i.
Ndipo walipomlilia Bwana katika shida yao, naye akawaokoa kutoka taabu yao.
7 E da ili logo moloidafa amoga moilai bai bagade amoga esaloma: ne oule asi.
Akawaongoza kwa njia iliyo sawa hadi mji ambao wangeweza kuishi.
8 Hina Gode da eso huluane mae fisili ilima asigiba: le, amola ili fidima: ne hou noga: idafa hamonanebeba: le, ilia Ema nodone sia: mu da defea.
Basi na wamshukuru Bwana kwa upendo wake usiokoma, na kwa matendo yake ya ajabu kwa wanadamu,
9 E da hano hanai dunu bu guminisisa. E da ha: i dunu sadima: ne liligi noga: i ilima iaha.
kwa maana yeye humtosheleza mwenye kiu, na kumshibisha mwenye njaa kwa vitu vyema.
10 Mogili ilia da alalo yo, amola gasi ganodini esalu. Ilia da se iasu diasu ganodini, sia: inega la: gili, se nabawane esalu.
Wengine walikaa gizani na katika huzuni kuu, wafungwa wakiteseka katika minyororo,
11 Bai ilia da Gode Bagadedafa Ea hamoma: ne sia: i amo mae nabawane, Ema odoga: i.
kwa sababu walikuwa wameasi dhidi ya maneno ya Mungu na kudharau shauri la Aliye Juu Sana.
12 Ilia da gasa bagade hawa: hamobeba: le, gufia: i. Ilia da dafane, fidisu dunu hame ba: i.
Aliwatumikisha kwa kazi ngumu; walijikwaa na hapakuwepo yeyote wa kuwasaidia.
13 Amalalu, ilia bidi hamosu ganodini, ilia Hina Godema digini wele sia: i. Amola Hina Gode da ilia se nabasu yolema: ne gaga: i.
Ndipo walipomlilia Bwana katika shida yao, naye akawaokoa kutoka taabu yao.
14 E da ilia alalo yo amo gasi ganodini esalu, amoga gadili oule asili, ilia sia: ine fifilisi.
Akawatoa katika giza na huzuni kuu na akavunja minyororo yao.
15 Hina Gode da eso huluane mae fisili ilima asigiba: le, amola ili fidima: ne hou noga: idafa hamonanebeba: le, ilia Ema nodone sia: mu da defea.
Basi na wamshukuru Bwana kwa upendo wake usiokoma, na kwa matendo yake ya ajabu kwa wanadamu,
16 Hina Gode da balasega hamoi logo ga: su gadelale sala, amola ouliga hamoi galiamo amo gagoudane salasu dawa:
kwa kuwa yeye huvunja malango ya shaba na kukata mapingo ya chuma.
17 Mogili ilia da gagaoui dunu esalu. Ilia da wadela: i hou hamoiba: le, se nabasu.
Wengine wakawa wapumbavu kutokana na uasi wao, wakapata mateso kwa sababu ya uovu wao.
18 Ilia da ha: i manu ba: mu higale, amola bogomu gadenei ba: i.
Wakachukia kabisa vyakula vyote, wakakaribia malango ya mauti.
19 Amalalu, ilia bidi hamosu ganodini, ilia Hina Godema digini wele sia: i. Amola Hina Gode da ilia se nabasu yolema: ne gaga: i
Ndipo walipomlilia Bwana katika shida yao, naye akawaokoa kutoka taabu yao.
20 E da ilima uhima: ne sia: beba: le, ilia uhini, amola bogoi uli dogoiga hame sa: i.
Akalituma neno lake na kuwaponya, akawaokoa kutoka maangamizo yao.
21 Hina Gode da eso huluane mae fisili ilima asigiba: le, amola ili fidima: ne hou noga: idafa hamonanebeba: le, ilia Ema nodone sia: mu da defea.
Basi na wamshukuru Bwana kwa upendo wake usiokoma, na kwa matendo yake ya ajabu kwa wanadamu.
22 Ilia da Godema nodomusa: , gobele salasu hamomu da defea. Amola hahawane gesami hea: su amoga Ea noga: idafa hamonanu olelemu da defea.
Na watoe dhabihu za kushukuru, na wasimulie matendo yake kwa nyimbo za furaha.
23 Mogili da dusagai da: iya fila heda: le, hano wayabo bagade da: iya ahoasu. Ilia da amo hamobeba: le, bidi lasu.
Wengine walisafiri baharini kwa meli, walikuwa wafanyabiashara kwenye maji makuu.
24 Ilia da Hina Gode Ea noga: idafa hou, E da hano wayabo bagade da: iya hamoi, amo ba: i dagoi.
Waliziona kazi za Bwana, matendo yake ya ajabu kilindini.
25 E da sia: beba: le, fo bagadedafa da muni fulabobeba: le, hano da bagadewane fugagala: i.
Kwa maana alisema na kuamsha tufani iliyoinua mawimbi juu.
26 Hano gafului da dusagai da: ne gagadole, amalu bu hano lugudua legela dadafui. Se nabimu agoai ba: beba: le, dusagai da: iya hawa: hamosu dunu da bagadewane beda: gia: i.
Yakainuka juu mbinguni, yakashuka chini hadi vilindini, katika hatari hii ujasiri wao uliyeyuka.
27 Ilia da adini ba: i dunu agoane, feloale dadoula asi. Ilia hawa: hamomusa: dawa: su huluane da hamedei agoai ba: i.
Walipepesuka na kuyumbayumba kama walevi, ujanja wao ukafikia ukomo.
28 Amalalu, ilia bidi hamosu ganodini, ilia Hina Godema digini wele sia: i. Amola Hina Gode da ilia se nabasu yolema: ne gaga: i.
Ndipo walipomlilia Bwana katika shida yao, naye akawatoa kwenye taabu yao.
29 Hina Gode da isu bagade amola hano gafului amo bu legela sa: i.
Akatuliza dhoruba kwa mnongʼono, mawimbi ya bahari yakatulia.
30 Hawa: hamosu dunu da hano gafului legela sai: ba: le, hahawane nodoi. Amola, Hina Gode da ilia hanai hano bega dusagai ligisila masu sogebi, amoga ilia noga: le ligisila masu.
Walifurahi ilipokuwa shwari, naye akawaongoza hadi bandari waliyoitamani.
31 Hina Gode da eso huluane mae fisili ilima asigiba: le, amola ili fidima: ne hou noga: idafa hamonanebeba: le, ilia Ema nodone sia: mu da defea.
Basi na wamshukuru Bwana kwa upendo wake usiokoma, na kwa matendo yake ya ajabu kwa wanadamu.
32 Ilia da Ea gasa bagade hou amo dunudafa ilia gilisisu amo ganodini olelema: ma. Ilia da asigilai dunu ilia fada: i sia: su gilisisu amo ganodini Ema nodoma: ma.
Na wamtukuze yeye katika kusanyiko la watu, na wamsifu katika baraza la wazee.
33 Hina Gode da hano oda hale hafoga: lesisi. E da bubuga: su hano mae sa: ima: ne damunisisi.
Yeye aligeuza mito kuwa jangwa, chemchemi za maji zitiririkazo kuwa ardhi yenye kiu,
34 E da nasegagi soge afadenene, hafoga: i sali dialebe osobo hamoi. Bai dunu amogai esalu da wadela: le bagade hamoi.
nchi izaayo ikawa ya chumvi isiyofaa, kwa sababu ya uovu wa wale walioishi humo.
35 E da hafoga: i soge afadenene, bu hano wayabo agoai hamoi. Amola hafoga: i soge eno bu bubuga: su hano dasu hamoma: ne hamoi.
Aligeuza jangwa likawa madimbwi ya maji, nayo ardhi kame kuwa chemchemi za maji zitiririkazo;
36 E da amo sogega ha: aligi dunu fifi lama: ne, logo doasi. Amola ilia da amo ganodini fima: ne, moilai bai bagade gagui.
aliwaleta wenye njaa wakaishi humo, nao wakajenga mji wangeweza kuishi.
37 Ilia da ha: i manu bugi, amola waini efe bugili gagai. Amola amoga ilia ha: i manu bagade gamini gagai.
Walilima mashamba na kupanda mizabibu, nayo ikazaa matunda mengi,
38 E da Ea fi dunu hahawane ba: ma: ne hamoi, amola ilia mano bagohame lalelegei. E da ilia bulamagau afugili gagai ilia idi amo mae hagia: ma: ne hamoi.
Mungu aliwabariki, hesabu yao ikaongezeka sana, wala hakuruhusu mifugo yao kupungua.
39 Gode Ea fi dunu ilima ha lai dunu da ili hasalasili, se bagade ilima ianoba,
Kisha hesabu yao ilipungua, na walinyenyekeshwa kwa kuonewa, maafa na huzuni.
40 Hina Gode da ilima ha lai dunuma higale ba: i. E da ili sefasili, hafoga: i soge amo ganodini da logo hame, ili udigili dadoula masa: ne yolesi.
Yeye ambaye huwamwagia dharau wakuu, aliwafanya watangetange nyikani isiyo na njia.
41 Be E da hahani dunu amo bu se mae nabima: ne, gaga: i dagoi. E da ilia sosogo fi, ohe wa: i defele, bu bagade hamoi.
Lakini yeye aliwainua wahitaji katika taabu zao, na kuongeza jamaa zao kama makundi ya kondoo.
42 Moloidafa dunu da amo hou ba: beba: le, nodosa. Be wadela: i hamosu dunu da amo hou ba: beba: le, ouiya: lesisa.
Wanyofu wataona na kufurahi, lakini waovu wote watafunga vinywa vyao.
43 Bagade dawa: su dunu ilia amo hou dawa: digimu da defea. Ilia da Hina Gode Ea mae fisili asigidafa hou dawa: ma: ma.
Yeyote aliye na hekima, ayasikie mambo haya, na atafakari upendo mkuu wa Bwana.

< Gesami Hea:su 107 >