< Gesami Hea:su 103 >

1 Hina Godema nodoma! Na asigi dawa: su amola na esalusu huluane amoga Hina Gode Ea Hadigi Dio amoma nodomu da defea.
Nitamsifu Yahwe maisha yangu yote, na vyote vilivyomo ndani yangu, nitalisifu jina lake takatifu.
2 Na asigi dawa: suga na da Hina Gode Ea Dio nodone gaguia gadosa. Na da Ea asaboi asigi hou, amo hame gogolemu.
Maishani mwangu mwote nitamsifu Yahwe, na kukumbuka matendo yake yote mazuri.
3 E da na wadela: i hou huluane gogolema: ne olofosa. Amola na olo huluane uhinisisa.
Yeye husamehe dhambi zako zote; huponya magonjwa yako yote.
4 E da na bogosa: besa: le gaga: sa. E da nama asigiba: le amola nama gogolema: ne olofosu iabeba: le, na da hahawane bagade.
Huukomboa uhai wako dhidi ya uharubifu; hukuvika taji kwa uaminifu wa agano lake na hutenda kwa rehema.
5 E da liligi noga: idafa nama baligili iaha. Amaiba: le, na da buhiba agoai gasa bagade ayeligiwane esalumu.
Huyatosheleza maisha yako kwa mambo mema ili kwamba ujana wako ufanywe upya kama tai.
6 Hina Gode da enoga banenesi dunu ilima asigiba: le, ilima moloidafa fofada: su hamosa, amola ilima ilia hamobe defele bidi iaha.
Yahwe hutenda yaliyo haki naye hutenda hukumu ya haki kwa ajili ya wote walio onewa.
7 E da Ea hamomusa: ilegei amo Mousesema olelei. Amola Ea gasa bagade hamobe hou amo Isala: ili fi dunuma olelei.
Alimjulisha Musa njia zake, matendo yake kwa uzao wa Israeli.
8 Hina Gode da bagadewane asigisa, amola gogolema: ne olofosu hou dawa: E da hedolo hame ougisa. Be E da mae fisili, asigilala.
Yahwe ni wa huruma na neema; ni mvumilivu; ana agano kuu la uaminifu.
9 E da gagabole sia: sa, be gebewane hame sia: nana. E da wadela: i hou amoma ougili higasa. Be gebewane ougi hame diala.
Hataadhibu siku zote; hakasiriki siku zote.
10 E da ninia wadela: i hou hamobe amo defele, ninima se dabe hame iaha.
Hatushughulikii sisi kama dhambi zetu zinavyostahili au kutulipa kulingana na uhitaji wa dhambi zetu.
11 Mu amo da osobo bagade badilia gadodafa agoane diala. Amola nowa dunu da Hina Godema nodone dawa: sa, Hina Gode da amo sedade defei defele ilima asigisa.
Kama mbingu zilivyo juu zaidi ya nchi, ndivyo ulivyo ukuu wa uaminifu wa agano lake kwao wale wanaomcha yeye.
12 Eso mabe gusudili amola eso dabe guma: dini defei, amo defei defele Gode da ninia wadela: i hou hamoi amo ninima fadegale fasisa.
Kama vile mashariki ilivyo mbali na magharibi, hivi ndivyo ameondoa hatia zetu za dhambi zetu mbali nasi.
13 Osobo bagade ada da ea manoma asigibi defele, Gode da Ema nodone dawa: be dunu ilima asigisa.
Kama vile baba alivyo na huruma kwa watoto wake, ndivyo Yahwe alivyo na huruma kwao wamchao.
14 E da nini hahamoiba: le, ninia da: i hodo huluane dawa: Nini da osoboga hamoi, amo Hi dawa:
Maana anajua tulivyo umbwa; anajua kuwa tu mavumbi.
15 Be ninia esalusu da gisi agoai. Ninia da hame nasu sogea agoai heda: le, falegasa.
Kama ilivyo kwa mwanadamu, siku zake ni kama majani; hustawi kama ua katika shamba.
16 Amasea, fo da fulabosea, sogea da mini asi dagoi ba: sa. Amola bu hame ba: mu.
Upepo hulipiga, nalo hutoweka, na hakuna hata mmoja awezaye kuelezea mahali lilipokua.
17 Be dunu amo da Hina Godema nodone dawa: be, ilia da Ea asigidafa hou eso huluane ba: lalumu. Amola fa: no fifi manebe dunu huluane, amo da Ea Gousa: su hamoi, amola Ea hamoma: ne sia: i, amoma mae fisili fa: no bobogelalebe, ilia da Ea noga: idafa hou ba: lalumu.
Lakini agano la uaminifu wa Yahwe uko kwa wale wamchao yeye milele hata milele. Haki yake ni endelevu kwa uzao wao.
Wanashika agano lake na kukumbuka kutii maagizo yake.
19 Hina Gode da Ea Fisu Hebene ganodini ligisi. E liligi huluanedafa amoma Hina Bagadedafa.
Yahwe ameweka kiti chake cha enzi mbinguni, na ufalme wake watawala juu ya kila mtu.
20 Dilia gasa bagade a: igele dunu, amo da Ea hamoma: ne sia: be nabawane hamosa! Hina Godema nodoma!
Msifuni Yahwe, enyi malaika zake, ninyi hodari wenye nguvu na mtendao neno lake, na kutii sauti ya neno lake.
21 Dilia Hebene ganodini esalebe hawa: hamosu dunu, amo da Hina Gode Ea hanai defele hamosa! Hina Godema nodoma!
Msifuni Yahwe, enyi jeshi la malaika wote, ninyi ni watumishi mfanyao mapenzi yake.
22 Hina Gode Ea hahamoi esalebe liligi huluane, amo da Ea ouligibi soge huluane amo ganodini esalebe! Dilia Hina Godema nodoma! Na asigi dawa: su! Hina Godema nodoma!
Msifuni Yahwe, viumbe wake wote, mahali popote atawalapo. Nitamsifu Yahwe maisha yangu yote.

< Gesami Hea:su 103 >