< Gesami Hea:su 102 >

1 Hina Gode! Na sia: ne gadobe nabima, amola na fidima: ne disa sia: ne gadobe nabima.
Sikia maombi yangu, Ee Yahwe; sikia kulia kwangu kwako.
2 Na da se nabasu ganodini esalea, Dia na mae yolesima. Na sia: nabawane, na wele sia: be hedolowane alofema.
Usiufiche uso wako mbali nami wakati wa shida. Unisikilize. Nikuitapo, unijibu upesi.
3 Na esalusu da lalu mobi defele hedolo alalolesisa. Na da: i da lalu dogolo agoai diala.
Kwa maana siku zangu zinapita kama moshi, na mifupa yangu kama moto.
4 Na da gisi bioi agoai, banenesi dagoi ba: sa. Na da ha: i manusa: dawa: su fisi dagoi.
Moyo wangu umeumizwa na niko kama majani yaliyo kauka. Ninasahau kula chakula chochote.
5 Na da ha: giwane gogonomosa. Na da: i da geloga: le, gasa dabua ba: la.
Kwa muendelezo wa kuugua kwangu, nimekonda sana.
6 Na da gugunia sio hafoga: i soge ganodini esalebe agoai defele ba: sa. Na da sio sia, gugunufinisi mebu ganodini esalebe, agoai ba: sa.
Niko kama mwali wa jangwani; nimekuwa kama bundi magofuni.
7 Na da molole diala lalabolala. Na da sio amo da diasu dabuamogoa hisu olobolalebe, agoai ba: sa.
Ninalala macho kama shomoro faraghani, pekeyake juu ya paa.
8 Eso huluane mae fisili, na ha lai dunu da nama gadelala. Dunu amo da nama habosesa, ilia da na dioba: le gagabui aligima: ne sia: sa.
Adui zangu wananilaumu mchana kutwa; wale wanao nidhihaki hutumia jina langu katika laana.
9 Na da nasubu naha amola na si hano da na hano nasu amoga gilisisa. Bai Dia da nama baligili ougi galu. Di da na gaguia gadole, bu galagudui.
Ninakula majivu kama mkate na kuchanganya kinywaji changu kwa machozi.
Kwa sababu ya hasira yako kali, umeniinua juu kunitupa chini.
11 Na esalusu da daeya baba gala: be agoai ba: sa. Na da gisi bioi agoai gala.
Siku zangu ni kama kivuli kanachofifia, na ninanyauka kama majani.
12 Be Hina Gode! Di da Fifi Ahoanusu Hina Bagade esala. Fa: no fifi manebe dunu huluane ilia Di hamedafa gogolemu.
Lakini wewe, Yahwe, unaishi milele, na kumbukumbu lako ni kwa vizazi vyote.
13 Di da wa: legadole, Saione fi ilima asigiba: le fidimu. Ilegei esodafa da doaga: i dagoi. Dia ilima asigimu eso da doaga: i dagoi.
Wewe utasimama na kuirehemu Sayuni. Sasa ni wakati wa mkurehemu yeye. Wakati ulio teuliwa umefika.
14 Saione Moilai Bai Bagade da gugunufinisi dagoi. Be Dima hawa: hamosu dunu ilia da Saione amoma asigi amola fofagisa.
Maana watumishi wako wameyaridhia mawe yake pendwa na kuyaonea huruma mavumbi ya magofu yake.
15 Fifi asi gala dunu huluane da Hina Godema beda: mu. Osobo bagade hina bagade dunu ilia da Ea gasa bagade houba: le beda: gia: mu.
Mataifa wataliheshimu jina lako, Yahwe, na wafalme wote wa nchi watauheshimu utukufu wako.
16 Hina Gode da Saione Moilai Bai Bagade amo bu buga: le gagusia, E da Ea gasa bagade hou dunu huluanema olelemu.
Yahwe ataijenga tena Sayuni na ataonekana katika utukufu wake.
17 E da Ea musa: fisiagai fi dunu, ilia sia: amola ilia sia: ne gadobe nabimu.
Wakati huo, atajibu maombi ya fukara; hatayakataa maombi yao.
18 Fa: no fifi manumu, ilia Hina Gode Ea hamoi dawa: ma: ne amola Ema nodone sia: ma: ne, Ea hamobe huluane dedene legema.
Hii itaandikwa kwa ajili ya vizazi vijavyo, na watu ambao bado hawajazaliwa watamsifu Yahwe.
19 Hina Gode da Ea gadodafa Hadigi Sogebi (Hebene) amogainini osobo bagadega ba: legudui.
Maana ametazama chini toka mahali pa juu patakatifu;
20 E da se iasu diasu esalebe dunu ilia gogonomosu amo nabalu, dunu da se imunusa: fofada: i dagoi, ili halegale masa: ne fadegalesi.
Toka mbinguni Yahwe ameiangalia nchi, ili kusikia kuugua kwa wafungwa, kuwafungua waliohukumiwa kufa.
21 Amasea, Saione Moilai Bai Bagadega, ilia da Ea Dio gaguia gadomu, amola Yelusalemega, Ema nodone sia: nanumu.
Kisha watu watalitangaza jina la Yahwe katika Sayuni na sifa zake katika Yerusalemu
22 Fifi asi gala amola hina bagade ilia fi dunu da gilisili, Hina Godema nodone sia: ne gadosea, amo hou da ba: mu.
pindi mataifa na falme watakapokusanyika pamoja kumtumikia Yahwe.
23 Na da goi ayeligiawane, Hina Gode da na gogaeanesi. E da na esalusu dunumuginisi.
Amechukua nguvu zangu katikati ya siku zangu za kuishi, amezifupisha siku zangu.
24 Gode! Na da: i hame hamoiawane, na waha bogoma: ne mae oule masa. Hina Gode! Di da eso huluane fifi ahoana!
Nilisema, “Mungu wangu, usinichukue katikati ya siku zangu; wewe uko hapa hata kizazi chote.
25 Musa: hemonega, Di da osobo bagade hahamoi. Amola Dia loboga, mu hahamoi.
Tangu zama za kale wewe uliiweka nchi mahali pake; mbingu ni kazi ya mikono yako.
26 Ilia da alalolesili, hame ba: mu. Be Di da amanewane fifi ahoanumu. Ilia da abula agoane, nuini abubula masunu. Di da dunu amo da abula gisa: le ha: digisu defele, mu amola osobo bagade ha: digimu amola ili da alalolesi dagoi ba: mu.
Mbingu na nchi zitaangamia lakini wewe utabaki; zitachakaa kama mavazi; utaziondoa kama watu waondoavyo mavazi yaliyo chakaa, nazo hazitaonekana tena.
27 Be Di da afadenesu hou hame dawa: Dia esalusu da hamedafa dagomu.
Lakini wewe ni yuleyule, na miaka yako haitakuwa na mwisho.
28 Dia da ili gaga: beba: le, ninia mano amola iligaga fi da eso huluane gaga: iwane esalumu.
Watoto wa watumishi wako wataendelea kuishi, na uzao wao utaishi katika uwepo wako.

< Gesami Hea:su 102 >