< Malasu 6 >
1 Nagofe! Dunu afae da dunu enoma dabea imunu ganoba, di da amo dunu fidimusa: , ea dabe disu imunu ilegele sia: bala: ?
Mwanangu, kama utaweka pesa zako kuwa dhamana kwa mkopo wa jirani yako; kama ukitoa ahadi yako katika mkopo wa mtu usiyemjua,
2 Di da dina: ilegele sia: i amoga fawane fedege agoane sani ganodini sa: ibala: ?
basi umejiwekea mtego mwenyewe na umenaswa kwa maneno ya kinywa chako.
3 Nagofe! Amaiba: le di da amo dunu ea gasaga la: gi dialebe. Be la: gi amo hedolo fadegale fasimusa: , na da logo dima olelemu. Amo dunuma hedolo doaga: le, e da dia la: gi amo fadegale fasimusa: ema edegema.
Mwanagu, ukinaswa kwa maneno yako mwenyewe, fanya haya ili kujiokoa, kwa kuwa umeangukia kwenye mikono ya jirani yako; nenda unyenyekee na ufanye shauri mbele ya jirani yako.
4 Mae golama amola mae helefima. Ema hedolo masa.
Usiruhusu usingizi katika macho yako wala kope za macho yako kusinzia.
5 Di da hedolowane amo la: gisu sani hou amoma hobeama amola ohe o sio da benea ahoasu dunu amoga hobeabe defele di hobeama.
Jiokoe mwenyewe kama swala kutoka katika mkono wa mwindaji, kama ndege kutoka katika mkono wa mwinda ndege.
6 Hihi dabuli dunu ilia da gedama ea fifi ahoabe ba: mu amola dawa: lalomu da defea.
Wewe mtu mvivu, mwangalie mchwa, zitafakari njia zake ili kupata busara.
7 Ilia da bisilua hame amola ouligisu hame gala.
Hana akida, afisa au mtawala,
8 Be amomane ili da ha: i manu da defele ba: sa amola gibu eso amoga ilia da ha: i manu ilia liligi ligisisu ganodini ligisisa amola esoi bagade ba: sea ili da ha: i manu defele ba: sa.
lakini huandaa chakula chake wakati wa joto na wakati wa mavuno huweka hazina ili kula baadaye.
9 Habowali hihi dabuli dunu da udigili golama: bela: ? Amola habogala e da bu nedigima: bela: ?
Ewe mtu mvivu, utalala hata lini? Wakati gani utainuka usingizini?”
10 E da amane sia: sa, “Na da fonobahadi golamu!” Amola e da amane sia: sa, “Na da na lobo gadoiba: le, fonobahadi helefimu.”
Lala kidogo, sizia kidogo, kunja mikono kupumzika kidogo” -
11 Be e da golai dianoba, hame gagui hou da wamolasu dunu ilia doagala: su hou defelewane ema doaga: mu.
ndipo umasikini wako utakapokujia kama mporaji na uhitaji wako kama askari wa vita.
12 Hamedei dunu amola wadela: le hamosu dunu da udigili ogogole sia: sisa: ahoa.
Mtu asiyefaa-mtu mwovu- huishi kwa kauli za udanganyifu wake,
13 Ilia da hou moloiwane hame sia: sa. Ilia da ilia siga, loboga amola emoga hamosa ea na: iyado ema ogogomusa: amane hamosa.
akipepesa macho yake, akiashilia kwa miguu yake na kusonta kwa videle vyake.
14 Ilia da wadela: i hou hamosu fawane dawa: sa amola ilia asigi dawa: suga da eno dunu wadela: lesimusa: dawa: sa.
Hufanya njama za uovu kwa hila ya moyo wake; daima huchochea faraka.
15 Ilia amane hamobeba: le, ilia da hedolowane se nabasu ba: mu. Ilia da bogoma: ne hedofale fasi dagoi ba: mu.
Kwa hiyo msiba wake utamkumba kwa ghafula, punde atavunjika vibaya wala hatapona.
16 Liligi fesuale gala amo da Hina Gode da bagade higasa. Amo da 1. Dunu ea odagi da gasa fi hou agoane ba: sa 2. Dunu da ea lafidili ogogosu sia: sia: sa 3. Dunu da ea loboga noga: i dunu fane legesa 4. Dunu da ea dogo ganodini wadela: i hou hamomusa: dawa: lala 5. Dunu da wadela: i hou hamomusa: gini hehenasa 6. Ba: su dunu da fofada: be amo ganodini ogogosu sia: enoenoi adole iaha 7. Dunu da sama gilisisu ganodini dunu se nabima: ne, mosolasu hou hamosa
Kuna vitu sita ambavyo Yehova huvichukia, saba ambavyo ni chukizo kwake.
Macho ya mtu mwenye kiburi, ulimi wa uongo, mikono inayomwaga damu ya watu maasumu,
moyo unaobuni njama mbaya, miguu inayokimbilia maovu upesi,
shahidi asemaye uongo na apandaye faraka kati ya ndugu.
20 Nagofe! Dia ada adi sia: sea mae gogolema amola dia ame ea olelei liligi amo noga: le dawa: loma.
Mwanangu, itii amri ya baba yako na wala usiyaache mafundisho ya mama yako.
21 Amo sia: di noga: le dia dogo ganodini ligisima amola dawa: loma.
Uyafunge katika moyo wako siku zote; yafunge kwenye shingo yako.
22 Elea olelei amo da di logoga ahoasea, di bisili logo olelemu. Amola amo olelei da di fidimu amola noga: le ouligimu gasi ganodini amola hadigi ganodini.
utembeapo, yatakuongoza; ulalapo yatakulinda, na uamkapo yatakufundisha.
23 Ilia olelebe hou amo da hadigi gamali agoai amola ilia olelebe amoga di da hahawane esalusu lamu.
Maana amri ni taa, na mafundisho ni nuru; kinga za kuadilisha za njia ya uzima.
24 Amo hou amoga da wadela: i uda adole lasu amoma higamu amola eno dunu ilia uda wadela: le hamomusa: adole ba: sea, amoga hobeamu.
Yanakulinda dhidi ya mwanamke malaya, dhidi ya maneno laini ya uzinzi.
25 Amola ea da: i hodo amo ba: beba: le amoga di mae hanama amola da dima hanaiwane ba: sea, di mae hanama amola ea si noga: i ba: be amoga mae ba: ma.
Moyoni mwako usiutamani uzuri wake wala usitekwe katika kope zake.
26 Amola nowa dunu e da ea da: i bidiga lasu uda lamusa: dawa: sea, agi ga: gi afadafa fawane ea bidi amoga bidi lasa. Be nowa dunu e da inia uda adole lasea, amo dunu e da ea liligi huluanedafa galagasa.
Kulala na malaya inaweza kugharimu bei ya kipande cha mkate, lakini mke wa mtu mwingine inagharimu uzima wako wote.
27 Di da dia bida: gia lalu oso ligisili gaguli ahoasea, dia abula sali da hame nema: bela: ?
Je mtu anaweza kubeba moto katika kifua chake bila kuuguza mavazi yake?
28 Di da lalu nenanebeba: le amo da: iya ahoasea, dia emo da gia: ma: bela: ?
Je mtu anaweza kutembea juu ya makaa bila kuchomwa miguu yake?
29 Amaiba: le amo defele inia uda amola diasea, amo se nabasu defele diala amola nowa dunu e amane hamosea, e da se nabimu.
Ndivyo alivyo mtu alalaye na mke wa jirani yake; yule alalaye na huyo mke hatakosa adhabu.
30 Amola da nowa dunu e ha: i manu wamolasea, e ha: i galea ema eno dunu ilia higale hame sia: sa.
Watu hawawezi kumdharau mwizi kama anaiba ili kukidhi hitaji lake la njaa.
31 Amomane ilia ba: sea, wamolasu e da bu liligi dabe imunu ia lai amo fesuale imunu amola e da liligi ea gagui amo huluane imunu.
Walakini akimatwa, atalipa mara saba ya kile alichoiba; lazima atoe kila kitu cha thamani katika nyumba yake.
32 Be nowa dunu da wamo inia uda lasea amo dunu e da gagaoui fawane amola asigi dawa: su hame gala e da hifawane hi hou gugunifinisisa.
Mtu anayefanya uzinzi hana akili; hufanya hiyo kwa uharibifu wake mwenyewe.
33 Amaiba: le, eno dunu ilia e higale ba: mu amola e se nabima: ne hiougili fofane, amola e da eso huluane gogosia: iwane esalumu.
Anasitahili aibu na majeraha na fedheha yake haiwezi kuondolewa.
34 Wamolai uda egoa e da mudale da: i diosu baligili da: i diomu. E da dabe lamusa: hame dagolesimu.
Maana vivu humghadhibisha mtu; hatakuwa na huruma wakati wa kulipa kisasi chake.
35 Amola egoa e adi bidi dia iasea amo liligi amoga da ea da: i dioi amola ea ougi da hame guminisimu.
Ujapompa zawadi nyingi, hatakubali mbadala wa kusuruhishwa wala kulipwa.