< Malasu 4 >

1 Nagofelali! Dilia ada adi olelesea noga: le nabima! Amasea dili da Bagade Dawa: su Hou ida: iwane gala dawa: mu.
Sikilizeni wanangu, mafundisho ya baba yenu; sikilizeni kwa makini na mpate ufahamu.
2 Na adi olelebe amo da moloi houdafa. Amaiba: le, dili da eso huluane dawa: laloma.
Ninawapa mafundisho ya maana, kwa hiyo msiyaache mafundisho yangu.
3 Amola na mano fonobahadiga na da na ada ea mano afadafa galu.
Nilipokuwa mvulana mdogo katika nyumba ya baba yangu, ningali mchanga na mtoto pekee kwa mama yangu,
4 Amola na ada e da nama moloidafa hou olelesu. E da amane sia: su, “Dawa: ma! Amola na sia: mae gogolema amola na sia: defele hamoma. Amasea, dili da esalusu lamu.
baba alinifundisha akisema, “Yashike maneno yangu yote kwa moyo wako wote; yashike maagizo yangu na wewe utaishi.
5 Bagade Dawa: su Hou hogoi helema. Na sia: mae gogolema amola mae higama!
Pata hekima, pata ufahamu; usiyasahau maneno yangu wala usiyaache.
6 Dili da Bagade Dawa: su Hou ida: iwane gala amoma mae higama. Amasea, amo hou da dilia gaga: su agoane ba: mu. Bagade Dawa: su Hou asigiwane ba: ma. Amasea, amo hou da dili gaga: mu.
Usimwache hekima naye atakuweka salama; mpende, naye atakulinda.
7 Amola Bagade Dawa: su Hou lamu amo hou da ida: iwanedafa gala. Amola liligi oda amoga Bagade Dawa: su Hou da baligi dagoi.
Hekima ni bora kuliko vitu vyote; kwa hiyo jipe hekima. Hata ikikugharimu vyote ulivyo navyo, pata ufahamu.
8 Bagade Dawa: su Hou amoma hanama amola amane hou hamosea, dili da dunu hahawanedafa esalumu amola asigi dawa: su bagade dawa: su lamu.
Mstahi, naye atakukweza; mkumbatie, naye atakuheshimu.
9 Amo Bagade Dawa: su Hou da dunu huluane ba: ma: ne hamoma, amo hou ida: iwane gala amo ea dilia hou bagade dawa: su ba: mu.
Atakuvika shada la neema kichwani mwako na kukupa taji ya utukufu.”
10 Nagofe! Noga: le nabima amola dafawane sia: sa noga: le lalegaguma. Amasea di da osobo bagadega fifi masunu.
Sikiliza mwanangu, kubali ninachokuambia, nayo miaka ya maisha yako itakuwa mingi.
11 Na Bagade Dawa: su Hou olelei amo noga: le dawa: ma. Amasea, di da fifi asi helemu amo logo ganodini.
Ninakuongoza katika njia ya hekima na kukuongoza katika mapito yaliyonyooka.
12 Dima eno hou hame doaga: mu di moloi ahoanea da. Amola dia hehenasea da hame dafamu.
Utembeapo, hatua zako hazitazuiliwa; ukimbiapo, hutajikwaa.
13 Eso huluane dima hou olelei amoma dawa: ma amola amo da maedafa gogolema amoga dia esalalasu fidimu amola noga: le ouligima.
Mkamate sana elimu, usimwache aende zake; mshike, maana yeye ni uzima wako.
14 Wadela: le hamosu dunu ilia ahoabe amoga mae masa. Amola wadela: le hamosu dunu ilia hou amoga mae lama.
Usiuweke mguu wako katika njia ya waovu wala usitembee katika njia ya watu wabaya.
15 Amane mae hamoma wadela: i hou amoma gasigama. Amola amoma higale amola dia moloi logoga masa.
Epukana nayo, usisafiri katika njia hiyo; achana nayo, na uelekee njia yako.
16 Wadela: le hamosu dunu ilia da wadela: le hame hamosea, hamedafa golasa. Ilia da wadela: le hamomusa: nedigili ouesala amola eno dunuma wadela: le hamonanu fawane golasa.
Kwa kuwa hawawezi kulala mpaka watende uovu; wanashindwa hata kusinzia mpaka wamwangushe mtu.
17 Wadela: i hou amola gegesu hou da ilia ha: i manu amola hano nasu agoai gala.
Wanakula mkate wa uovu, na kunywa mvinyo wa jeuri.
18 Moloidafa dunu ilia logo da eso mabe defele ba: sa, hahawane bagade. Amola hadigi da misini, dialea, eso dogoa defele ba: sa.
Njia ya wenye haki ni kama nuru ya kwanza ya mapambazuko, ambayo hungʼaa zaidi na zaidi mpaka mchana mkamilifu.
19 Be wadela: le hamosu dunu ilia logo da gasi bagade ba: sa amola hedolo dafasa amola ili soi amo da ili hame ba: sa.
Lakini njia ya waovu ni kama giza nene; hawajui kinachowafanya wajikwae.
20 Nagofe! Na sia: dia noga: le nabima.
Mwanangu, yasikilize kwa makini yale ninayokuambia; sikiliza kwa makini maneno yangu.
21 Amo dia maedafa gogolema, eso huluane dawa: loma, dia dogo ganodini.
Usiruhusu yaondoke machoni pako, yahifadhi ndani ya moyo wako;
22 Na sia: da nowa dunu da amo noga: le dawa: sea, amo da esalusu imunu, amola ea da: i fidimu.
kwa sababu ni uzima kwa wale wanaoyapata na afya kwa mwili wote wa mwanadamu.
23 Dawa: ma! Dia asigiga dawa: su noga: le ouligima. Bai dia esalusu da dia asigi dawa: su dawa: i liligi amo defele ba: mu.
Zaidi ya yote, linda moyo wako, kuliko yote uyalindayo, maana ndiko zitokako chemchemi za uzima.
24 Sia: dafawane hame, ogogole maedafa sia: ma. Amola ogogosu hou amoma mae gilisima.
Epusha kinywa chako na ukaidi; weka mazungumzo machafu mbali na midomo yako.
25 Mae beda: iwane molole ba: le gusuma! Dia da hou moloiwane hamobeba: le, dia dialuma da gogosiane fili sa: imu da defea hame.
Macho yako na yatazame mbele, kaza macho yako moja kwa moja mbele yako.
26 Dia adi hamosea, noga: le dawa: lu hamoma amola adi hou dia hamobe amo da bu sinidigili hahawane ba: mu.
Sawazisha mapito ya miguu yako na njia zako zote ziwe zimethibitika.
27 Wadela: i hou dawa: ma! Moloiwane ahoanoma! Amola sadena: ne dafasa: besa: le dawa: ma.
Usigeuke kulia wala kushoto; epusha mguu wako na ubaya.

< Malasu 4 >